Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Mikoa Ipi? Siku Hizi wanaingia Kwa Kutumia Vyeti vya Kuzaliwa So wengi wanamaliza Wakiwa na miaka 13-14wanatia mimba kaka,nenda mikoani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikoa Ipi? Siku Hizi wanaingia Kwa Kutumia Vyeti vya Kuzaliwa So wengi wanamaliza Wakiwa na miaka 13-14wanatia mimba kaka,nenda mikoani
Nyundo 30 hazimuhusu mwanaume??Sheria ni msumeno wote wanatakiwa kufukuzwa shule.
kuiba na kubaka yote makosaKubaka mtoto wa miaka 3 ni sawa na kuiba nyanya gengeni?
kuiba na kubaka yote makosa
kilicho katazwa ni mwanafunzi kupewa mimba afu azae afu arudi shule,, hilo la Mwanafunzi kumpa mimba mwalimu wake hilo lakoJe mwanafunzi akimpa mimba Mwalimu wake? 'Tatizo hapa ni maadili katika jamii zetu' inatakiwa tutatue tatizo na siyo kulikimbia
Sheria ni msumeno wote wanatakiwa kufukuzwa shule.
Sheria ni msumeno wote wanatakiwa kufukuzwa shule.
Ujue wewe ndiyo unamatatizo,yanayo takiwa kupingwa ni sheria na siyo utekelezaji wa sheria,sioni wewe ulioenda shule ukiijadili,sheria ni msumeno kila mahali duniani,kama ina madhara inatakiwa uizungumzie hiyo sheria,rais namuunga mkono akifuata sheria na akiwa na mdomo miwili kama sasa nampinga mfano(kuwaachia kina babu seya),hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria,kuna sheria mbovu nyingi sana na zinahitaji kubadishwa.Sikulaumu, kumuunga mkono Rais kwa hili jambo lazima wewe huna elimu.
Naam ulisema kweliHabari wanaJF,
Leo akiwahutubia wakazi wa Bagamoyo, Mkoani Pwani. Rais Magufuli amesema hakuna Mwanafunzi aliyebeba ujauzito atakayerudi shule katika utawala wake. Akaongeza kuwa hawezi kufanya kazi ya kusomesha wazazi.
" Inaweza kufika kipindi darasa zima linawatoto, Mwalimu akifundisha wao wanatoka nje kwenda kunyonyesha".
Hata kama ni watoto wangu, yani nikupeleke shule alafu upate mimba nikurudishe? Aende akapate mimba aone kama nitamrudisha.
Mimi nimetoa fedha ili mwanafunzi asome bure, halafu leo mtu apate mimba arudi shule? Ndani ya utawala wangu, haitotokea.
Wakati mwingine ukizikiliza hizo NGOs zitakuwa zinalipeleka taifa pabaya. Ndani ya utawala wangu haitotokea. NEVER.
Hizi NGOs kama zinawapenda sana hao watoto zikafungue shule zao za kusomesha wazazi. Serikali haiwezi kuwasomesha.
Hawa wanaotuletea haya mambo hawatupendi ndugu zangu. Wametuletea dawa za kulevya, wameleta ushoga ambao hata ng'ombe hawana.
Huku kuiga iga tutakuja kuiga mambo ambayo hata hayafai. Wanakuja na misaada ambayo ni mali zetu wametuibia.
Nyie wafugaji mmefuga lakini hamjawahi kuona hata mbuzi au nguruwe amekosea huu mchezo. Lakini wao wanataka Watanzania wakosee.
Wakati huo huo, Rais amesema kuwa anawaomba msichukue maeneo ya Magereza, hata mimi nikifungwa siku moja nipate sehemu ya kulima.
Rais Magufuli ametoa eneo la ekari 65 kwa wananchi lililokuwa na mgogoro kati yao na Jeshi la Magereza.
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli wote hawakusomesha wazazi. Huyu Samia anasomesha wazazi.Alikuwa sahihi
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli wote hawakusomesha wazazi. Huyu Samia anasomesha wazazi.