Mabadiliko katika jamii yoyote ni lazima na Uongozi wowote utakuwa na malengo binafsi, namuunga mkono Rais ila jamani si kwake tu, na kwa mwengine yyt haya maneno machafu yaacheni, nachukizwa tu na baadhi ya vitendo vya wanasiasa Afrika kwanza kuwa uchaguzi umeisha halafu bado wanazozana au kuzungumzana, pili kuwa masuala ya msingi na hakki za Raia kuzinadi kuwa maendeleo, kweli neno maendeleo ni kutoka sehemu, mahala flani kwenda mahala flani lkn yanazingatio, maana Hatua kubwa ni hisia za Raia kwenye kutafuta aman ya Roho, hv anapokuja mtu kusema Maendeleo ni barabara kutoka mahala flani mpaka mahala flani ndio maendeleo? umekamilisha hisia za Raia? au kumrahisishia na kumpa tu hakki yake ya msingi, kurahisisha usafiri maana wapo wengi watatumia barabara ile na maisha bado yapo chini sina maana kuwa zisejengwe bali Rais gani duniani towa Afrika kanadi kuwa maendeleo ni barabara au maji wakati ni hakki zao.
Kwa kumaliza tu ni kwamba Juhudi za kuinua Tanzania ya Viwanda ihusike vyema kwenye akili zetu ni dhana njema kustawisha Uchumi wa Taifa hongera Rais lkn Usiisahau Zanzibar maana ni Nusu ya Tanzania.
Ahsanteni wadau.