Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
[emoji23] [emoji23] uwez pnga kila kitu atakama ww n mpnzan sasa "ILE SEHEMU" sa apo tusi lipo ap??Mleta mada anazungumzia lugha iliyotumika sio ushoga.
Mbuzi hajawahi kukosea kulenga sehemu ileeeee!!!! Duh!
Hii ndio ilikuwa target ya NGO zinazotetea hili. Yaani wanatumia udhaifu wa tafsiri ya sheria kuhalalisha wote warudi.Hahahahahah
Critical thinking is better than argumentation!!
No body is fighting with anybody ideologically.. What you have to do is to THINK be for you argue!!!
Tafsiri ya kisheria ni kwamba mwanafunzi akipata mimba amebakwa!!!
Na adhabu yake Ni kifungo kisichopungua miaka 30 jela.
Kama Ni hivyo unawezaje kumwita mtu aliebakwa immoral!!?
Nakama hoja Ni maadili Na yakwamba waschana woote wanaopata mimba Ni umalaya hivyo kurudi shule Ni kuendekeza utovu wa nidhamu Na uvunjifu wa maadili mema..
Kwanini tusianze Na kufuta Sheria ya SOSPA!!!
Na wafungwa woote waachiliwe huru mana hawakubaka isipokuwa walijipatia uroda kwa Malaya!!
Kafungue shule yako, uwasomeshe hiiii!!!!!Hapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Hivi unaijua "ile sehemu" kama unaujua hebu tueleze.[emoji23] [emoji23] uwez pnga kila kitu atakama ww n mpnzan sasa "ILE SEHEMU" sa apo tusi lipo ap??
naona watetezi wa ushoga mnataka kuandamana maana nyie ndio huwa mnakosea ile sehemu
Sio utamaduni wote wa nje ni mbaya; kuna mambo mazuri na mabaya, na ni vizuri kuiga Yale mazuri. Kumrudisha mwanafunzi mzazi shule faida ni nyingi kuliko hasara!tujifunze na sisi kuwa na mambo yetu, na viwango vyetu vya maadili ambavyo tunavisimamia.
NGO na wafadhili wake ambao wengi ni wazungu wasilazimishe kuleta mambo ambayo sisi hatujaona maana yake.
we sasa unahamasisha uzinzi mashuleni,mwanao wa kike akikuomba ruhusa akapigwe sindano ya kuzuia mimba akiwa darasa la saba au form two utajisikiaje? au ukisikia walimu wanawagawia kondomu wanafunzi,na mwanao kapewa,utajisikiajeour no 1,leo amegusia topic muhimu mno ambaye yeye kama kawaida kaiweka kimihemko,please wana JF tujaribu kuidadisi hapa,ni kweli kila mzazi anapenda mtoto wake aelimike shuleni,
mtoto wa kike inapotokea anapata mimba why anaathibiwa yeye tu,maana anafukuzwa shule hadi yule wa kiume aliyempa mimba anaachiwa aendelee na masomo,kwangu huu ni utaratibu dume na unaendeleza ukandamizaji wa watoto wa kike,halafu baadaye tunakuja kupiga kelele ohooo mbona hatuna wasomi wengi wa kike,
kumbe wengi wao wameathiriwa na mfumo dume,solutions watoto wa kike waruhusiwe kuendelea na shule baada ya kuzaa,iandaliwe kampeni nchi nzima ili watoto wa kike wanaopenda wapigwa sindano za kuzuia mimba,na hizi zinatofautiana kutoka mwezi mmoja hadi miezi sita,ila ni lazima kila mmoja kupimwa maana zina side effects kutegemeana na mhusika,condoms zigawiwe bure mashuleni na iandamane na elimu nzuri how to use it safely,
its time noe tabia hii ya kuwafukuza shule only girls ife maana ni ya kibaguzi.
Mpongeze kwa hatua nzuri. Alizozifanya.Hapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Huo utaratibu mwingine ndo ninao udai hapa...Ni upii!!?kabla ya kutoa kauli tHii ndio ilikuwa target ya NGO zinazotetea hili. Yaani wanatumia udhaifu wa tafsiri ya sheria kuhalalisha wote warudi.
Mtoto anae jifungua aandaliwe utaratibu mwingine wakusoma sio kuchanganywa na wasio wazazi.