Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

Je mwanafunzi akimpa mimba Mwalimu wake? 'Tatizo hapa ni maadili katika jamii zetu' inatakiwa tutatue tatizo na siyo kulikimbia
kilicho katazwa ni mwanafunzi kupewa mimba afu azae afu arudi shule,, hilo la Mwanafunzi kumpa mimba mwalimu wake hilo lako
 
Sasa km hawezi kusomesha watoto walio pata uja uzito kwa kubakwa na mtu huyo huyo anawaonea huruma wauaji na kuwatoa jela... ! Hii inaleta picha gani, km kiongozi ni msomi anashindwaje kujua tatizo la ujauzito ni suala mtambuka... kuwasomesha waathirika siyo sababu ya kulikuza ... uelewa huu unazungumzika kisomi tu nje ya hapo haiwezekani, ukitaka maoni ya watu halina mashiko kabisaaa tena huku kwa walalahoi wasomi wa shule za kata watakushangaa ... ajabu mtawala msomi (km kweli) anaamini hivyo
 
Sheria ni msumeno wote wanatakiwa kufukuzwa shule.

Ndo maana lazima uwe na utulivu, uelewa na busara ya "shule" kulijadili hili siyo kila mtu anapumzi ya kulizungumzia..... kaa huyu amekariri sheria ni msumeno hajui hata kwanini inakua msumeno kwa "watoto"
 
Sikulaumu, kumuunga mkono Rais kwa hili jambo lazima wewe huna elimu.
Ujue wewe ndiyo unamatatizo,yanayo takiwa kupingwa ni sheria na siyo utekelezaji wa sheria,sioni wewe ulioenda shule ukiijadili,sheria ni msumeno kila mahali duniani,kama ina madhara inatakiwa uizungumzie hiyo sheria,rais namuunga mkono akifuata sheria na akiwa na mdomo miwili kama sasa nampinga mfano(kuwaachia kina babu seya),hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria,kuna sheria mbovu nyingi sana na zinahitaji kubadishwa.
 
Naam ulisema kweli
 
Vitoto havisomi vimefail Massimo matokeo mabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…