HII KAULI ITAWAAHUSU WATOTO WA MASIKINI AMBAO MKUBWA KILA KUKICHA ANASEMA YEYE YUKO KWA AJILI YA KUWASAIDIA. MTOTO WA MWENYE NAZO AKISHAJIFUNGUA ATAMPELEKA PRIVATE SCHOOL. Napenda kumjulisha Rais wangu kwamba sio wote waliopata mimba wanapenda, ELIMU NI HAKI KWA KILA MTOTO, haijalishi hali yake.