Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah Malawi/Sudan wote walijitungia Sheria kama hizo lkn sasa hivi hao viongozi wako wananyooshwa kwa uzuri kabisa.Natambua mantiki ya hoja yako lakini tambua hii nchi inaongozwa kwa mihemko na sio kwa mujibu wa sheria na katiba!
Ndio maana kwa kutambua udhaifu wa kutofuata sheria watawala wanajitungia sheria zitakazo wapa kinga pindi waondokapo madarakani!
Raisi Nyerere alipomsamehe yule Mgiriki aliyesema serikali yake iko mfukoni mwake alikuwa anatumia katiba au sheria gani? Si ni katiba hii hii aliyotuachia muanzilishi wa aina hii ya serikalini tuliyonayo au ?Wewe mleta uzi unatumia sheria za nchi gani? Yaani unamuelekeza Rais wa Nchi aingilie uhuru wa Mahakama? Wote waliopo mahabusu kwa kesi hukuwaona bali umemuona huyo Lissu tu? Basi na hao mahabusu waachiwe hadi uchaguzi uishe ndo wakamatwe tena na kuendelea na kesi zao.
Nakuona makonda unaendelea kupanga njama zako za kummaliza LissuUhalifu huwa hauhusiani na kutia nia.
Huwezi omba excuse kuwa kwa kuwa nagombea msinikamate kwa makosa niliyofanya kabla ya kutangaza nia hakuna.
Akikanyaga tu nchini ni segerea hakuna majadiliano ni yeye tu kujiandaa kisaikolojia
two wrongs do not make it right YEHODAYANgoja tu huyo TUNDU lisu Arudi ndipo ataijua vizuri Tanzania aliyoiacha miaka hii ambayo hakuweko mjinga mkubwa
Wapambe wake wamweleze LIve bila kumeza maneno kuwa yeye hakujali kuchafua nchi na sisi watanzania kama kuchafuka alishatuchafua sana we have nothing to loose or to reverse akifika zamu yetu sisi kushughulika na yeye.Kama vile ambayo yeye alikuwa hajali haogopi yeyote ndani ya nchi au nje ya nchi kufanya aliyofanya na sisi hatujali hatuogopi yeyote na chochote tutakula naye sahani moja aje tu tunamngoja kwa hamu
Lolote linawezekana mkuuTunaamini Hashimu Rungwe atakua rais.
Yehodaya ni Makonda mwenyewe. Hiyo id inahudiwa na makonda na vijana wake.Hivi Kumbe YEHODAYA ni makonda... chondechinde kaka, usimalizie hasira zako za kigamboni kwa Lisu, duniani tunapita tu kama ulivyopita kwenye mchujo pale Kigamboni na maiha yanaendelea kama kawa...
Tafadhali sana mheshimiwa sana, Raisi wetu, Dkt. Magufuli, yahusu huyu Tundu Lissu atakaporudi nyumbani Tanzania. Kama kweli alikuwa msaliti, ni Mungu tu ajuaye na ni Mungu tu aliye hakimu wa haki.
Mheshimiwa sana, wewe ni Mkatoliki na pia mseminari, waijua vema hadithi ya mwana mpotevu na kondoo aliyepotea.
Tundu Lissu ni Mtanzania kama wewe, baba, kaka na mtoto wa familia Tanzania yetu wewe. Hotuba yako (Uchaguzi House) ya leo 22/07/2020 nimependa na iwe ya kweli kwa vitendo.
Tafadhali, chondechonde, akirudi huyo (Tundu Lissu) Jumatatu, muacheni arudi kwa style yake, afanye anayotaka kufanya bila kuvunja sheria. Hakuna haja ya kutunishiana misuri kwa sasa, muacheni aje, kama figusu, mfanyieni baada ya uchaguzi na sio sasa. Tutachafuka na kuchafuana sote, nyumba yetu sote (Tanzania) itanuka, mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee au figisu zozote.
Mheshimiwa sana Rais Magufuli, kama umesoma, umesomea au kutaarifiwa. Ni hayo tu yangu. Nyumba Tanzania ni yetu sote. Bila matusi au mkwaruzo tuwe kama nguchiro na Mchwa, nyumba moja bila mkwaruzano.
Ni hayo tu kwa leo. Ubarikiwe na Uongozwe kwa niaba aliye juu na amri ya uhai wako kwake.
HAKUNA wa kumtegema mwanadamu mwenzie, sote tu mavumbi na mavumbini tutarudi- haina haja ya kutunishiana misuri iloihali sote twarudi mavumbini na JPJP hana cha kupoteza hata kama atakuwa Raisi wa awamu moja
Miradi ni Miradi, hakuna wa kupambana na nguvu za Muumba hapa chini ya jua... tetemeko likija, miradi yote inakuwa mavumbi, act of nature cant be stopped mbele ya hiyio miradi na ni Mungu tu ajuaye mbele yetu kuna nini...
JPJP ni mtu wa Mungu, mwenye huruma ... na askiie kilio cha anao waongoza nikiwemo mimi... ushauri bila malipo .
Lissu ni level ndogo kwa raisi kuhangaika naye, msafiri mmoja kurudi nyumbani haimsumbui rais. Waambie walio level ya kiprotokali na Mwananchi/raia Lissu.
Rais ana majukumu makubwa kushugulika na Lissu.
Kweli ila akimuweka ndani ntaamini kuwa mzee magu muoga sana .
Umesahau mhimiliu ulio jichimbia chini zaidi ndugu? Si alisema mwenyewe au unataka kukumbushwa lini, wapi na wakati gani? Binafsi, natambua kwamba JPM ni Raisi hadi hapo Raisi atakapo tangwazwa yeye au mwingine, usalama wa Lissu na watanzania wote uko chini yake kama commander in chief of armed forces, haijalisi Lissu anakuja au hakuji... sote ni watanzania, nyumba moja, ya nini kugombia fito? ya nini kutunishiana misuri? ya nini ...?
Tafadhali sana mheshimiwa sana, Raisi wetu, Dkt. Magufuli, yahusu huyu Tundu Lissu atakaporudi nyumbani Tanzania. Kama kweli alikuwa msaliti, ni Mungu tu ajuaye na ni Mungu tu aliye hakimu wa haki.
Mheshimiwa sana, wewe ni Mkatoliki na pia mseminari, waijua vema hadithi ya mwana mpotevu na kondoo aliyepotea.
Tundu Lissu ni Mtanzania kama wewe, baba, kaka na mtoto wa familia Tanzania yetu wewe. Hotuba yako (Uchaguzi House) ya leo 22/07/2020 nimependa na iwe ya kweli kwa vitendo.
Tafadhali, chondechonde, akirudi huyo (Tundu Lissu) Jumatatu, muacheni arudi kwa style yake, afanye anayotaka kufanya bila kuvunja sheria. Hakuna haja ya kutunishiana misuri kwa sasa, muacheni aje, kama figusu, mfanyieni baada ya uchaguzi na sio sasa. Tutachafuka na kuchafuana sote, nyumba yetu sote (Tanzania) itanuka, mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee au figisu zozote.
Mheshimiwa sana Rais Magufuli, kama umesoma, umesomea au kutaarifiwa. Ni hayo tu yangu. Nyumba Tanzania ni yetu sote. Bila matusi au mkwaruzo tuwe kama nguchiro na Mchwa, nyumba moja bila mkwaruzano.
Ni hayo tu kwa leo. Ubarikiwe na Uongozwe kwa niaba aliye juu na amri ya uhai wako kwake.
Kanisa katoliki linaruhusu ndoa za mitala au mtu akiwa na title basi ya sheria za kanisani hazi apply kwake ?Tafadhali sana mheshimiwa sana, Raisi wetu, Dkt. Magufuli, yahusu huyu Tundu Lissu atakaporudi nyumbani Tanzania. Kama kweli alikuwa msaliti, ni Mungu tu ajuaye na ni Mungu tu aliye hakimu wa haki.
Mheshimiwa sana, wewe ni Mkatoliki na pia mseminari, waijua vema hadithi ya mwana mpotevu na kondoo aliyepotea.
Tundu Lissu ni Mtanzania kama wewe, baba, kaka na mtoto wa familia Tanzania yetu wewe. Hotuba yako (Uchaguzi House) ya leo 22/07/2020 nimependa na iwe ya kweli kwa vitendo.
Tafadhali, chondechonde, akirudi huyo (Tundu Lissu) Jumatatu, muacheni arudi kwa style yake, afanye anayotaka kufanya bila kuvunja sheria. Hakuna haja ya kutunishiana misuri kwa sasa, muacheni aje, kama figusu, mfanyieni baada ya uchaguzi na sio sasa. Tutachafuka na kuchafuana sote, nyumba yetu sote (Tanzania) itanuka, mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee au figisu zozote.
Mheshimiwa sana Rais Magufuli, kama umesoma, umesomea au kutaarifiwa. Ni hayo tu yangu. Nyumba Tanzania ni yetu sote. Bila matusi au mkwaruzo tuwe kama nguchiro na Mchwa, nyumba moja bila mkwaruzano.
Ni hayo tu kwa leo. Ubarikiwe na Uongozwe kwa niaba aliye juu na amri ya uhai wako kwake.
Wambie waache kumwinda maana inaonekana wanakusikiliza kama ni level ndogo mwacheni awe huru kufanya siasaLissu ni level ndogo kwa raisi kuhangaika naye, msafiri mmoja kurudi nyumbani haimsumbui rais. Waambie walio level ya kiprotokali na Mwananchi/raia Lissu.
Rais ana majukumu makubwa kushugulika na Lissu.
Tafadhali sana mheshimiwa sana, Raisi wetu, Dkt. Magufuli, yahusu huyu Tundu Lissu atakaporudi nyumbani Tanzania. Kama kweli alikuwa msaliti, ni Mungu tu ajuaye na ni Mungu tu aliye hakimu wa haki.
Mheshimiwa sana, wewe ni Mkatoliki na pia mseminari, waijua vema hadithi ya mwana mpotevu na kondoo aliyepotea.
Tundu Lissu ni Mtanzania kama wewe, baba, kaka na mtoto wa familia Tanzania yetu wewe. Hotuba yako (Uchaguzi House) ya leo 22/07/2020 nimependa na iwe ya kweli kwa vitendo.
Tafadhali, chondechonde, akirudi huyo (Tundu Lissu) Jumatatu, muacheni arudi kwa style yake, afanye anayotaka kufanya bila kuvunja sheria. Hakuna haja ya kutunishiana misuri kwa sasa, muacheni aje, kama figusu, mfanyieni baada ya uchaguzi na sio sasa. Tutachafuka na kuchafuana sote, nyumba yetu sote (Tanzania) itanuka, mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee au figisu zozote.
Mheshimiwa sana Rais Magufuli, kama umesoma, umesomea au kutaarifiwa. Ni hayo tu yangu. Nyumba Tanzania ni yetu sote. Bila matusi au mkwaruzo tuwe kama nguchiro na Mchwa, nyumba moja bila mkwaruzano.
Ni hayo tu kwa leo. Ubarikiwe na Uongozwe kwa niaba aliye juu na amri ya uhai wako kwake.