Rais Magufuli, tafadhali mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee

Rais Magufuli, tafadhali mpeni Tundu Lissu ushirikiano, msaidieni atulie na baada ya uchaguzi ndio kesi zake ziendelee

Simuabudu mtu ila ninatambua mamlaka yake juu ya anawowaongoza...kwa kulitambua hilo, namuomba aache kitimanyongo, sote tu Raia wa nchi moja...
Una Maana unamuomba aache roho Mbaya sio ?
 
Lisu sio mzalendo na hahurumii watanzania walio wengi anaangalia maslahi yake tu ya Ugombea Uraisi niseme wazi kachafua nchi akitaka nchi innyimwe misaada wananchi wanyonge wafe kwa kukosa huduma za afya za ufadhili nk Lisu akitua Tanzania Niko tayari kumuua ninyongwe Wala siogopi kutetea alichosema Tanzania innyimwe misaada iwe ya ukimwi ya uzazi or whatever

Serikali Kama hamtaki kumwuua Lisu The traitor nitamuua come what may akitua tu Tanzania popote atakapuwa I will kill him this traitor and I don't care whether I will will be hanged Or not Not yote maisha ila kichwa Cha Lisu halali yangu na sijali heri mtu mmoja aangamie kulilko taifa liangamie U don't care
 
Una Maana unamuomba aache roho Mbaya sio ?
Sijui kama ana roho mbaya au la, ninacho muomba ni kuepusha shari. Amuache huyo Lissu afanye siasa na baada ya uchaguzi ndio figusu ziendekee kama zipo
 
Una Maana unamuomba aache roho Mbaya sio ?
Sijui kama ana roho mbaya au la, ninacho muomba ni kuepusha shari. Amuache huyo Lissu afanye siasa na baada ya uchaguzi ndio figusu ziendekee kama zipo.
 
Lisu sio mzalendo na hahurumii watanzania walio wengi anaangalia maslahi yake tu ya Ugombea Uraisi niseme wazi kachafua nchi akitaka nchi innyimwe misaada wananchi wanyonge wafe kwa kukosa huduma za afya za ufadhili nk Lisu akitua Tanzania Niko tayari kumuua ninyongwe Wala siogopi kutetea alichosema Tanzania innyimwe misaada iwe ya ukimwi ya uzazi or whatever

Serikali Kama hamtaki kumwuua Lisu The traitor nitamuua come what may akitua tu Tanzania popote atakapuwa I will kill him this traitor and I don't care whether I will will be hanged Or not Not yote maisha ila kichwa Cha Lisu halali yangu na sijali heri mtu mmoja aangamie kulilko taifa liangamie U don't care
Yehodaya , hivi leo umeamkia Upande gani? Punguza makali hata kama mapenzi yako kwa Tanzania ni ya juu zaidi kuliko wengine ...kujitoa mhanga sio jambo jema... unahitaji msaada wa mawazo mbadala
 
Hivi wewe unaakili au unafikiri kwa kutumia makalio, hivi TL alizungumza aliyotendewa tu, hatusahau sie alivyoenda akasababisha ndege zetu zikamatwe na ujue ndege zile ni kodi yetu wananchi acha utani wako.
sasa kama ndege zimekamatwa kwa wewe kushindwa kulipa deni halali unalodaiwa utamlaumu TL, si ulipe deni la watu mambo yaishe...we vp.
 
Ndio maana nikasema, JPM ni mkatoliki na kanisani hakosagi, (Sala za "baba yetu uliye mbinguni na kanuni ya Imani -nicene creed anazijua sana na kuziishi vema") anaijua vema imani ya mkatoliki haitaki visasi wala na pia Kwamba Mungu ndio hakimu wa haki, sasa kama yote hayo anayajua, ya nini kufanyiana bifu na Lissu... si amsamehe tu (hata kama sio mkosaji) kimya kimya au hata kuutangazia umma na aseme - Lissu karibu nyumbani ndugu yetu, kuwa na amani, mimi bado ni Raisi wako, utake usitake... Lissu hata afanye nini , haindoi ukweli kwamba JPM ni Raisi na kama akishindwa hiyo October, bado atakuwa kwenye historia ya kwamba alikuwa Raisi wa Tz, ya nini bifu na kukaa kimya na au kuruhusu watu wampake matope kwamba anahusika.. yatosha sasa, kimya kimekuwa kingi, na asema basi...
Sioni sababu ya kumsemea Lisu
Urais ni tahasisi
Hadi leo hakuna Lisa alilofanya Magufuri individual au raia Magufuri , tunachokiona ni hisia kwamba Lisu alitaka kuuawa na Rais au serikali, na anayesema ni Lisu mwenyewe!
Sasa Magufuri asamehe mini?
 
Sio woga no order ya mahakama.Mahakama na Raisi ni vitu tofauti na Chadema SIKU ZOTE HUWA HAMTAKI RAISI AINGILIE MAAMUZI YA BUNGE WALA mahakama.

La Lisu hataingilia kama alivyofanya kwa Kabendera pamoja na mama kabendera kuomba sanaaaaa.

Lisu ajiandae tu.Alivyoligema atalinywa
Kwahyo unqifundisha mahatma jinsi ya kufanya?

Kweli lissu mnamuogopa sana kwemye ushindani.
 
Sioni sababu ya kumsemea Lisu
Urais ni tahasisi
Hadi leo hakuna Lisa alilofanya Magufuri individual au raia Magufuri , tunachokiona ni hisia kwamba Lisu alitaka kuuawa na Rais au serikali, na anayesema ni Lisu mwenyewe!
Sasa Magufuri asamehe mini?
Hujawahi kusikia kwamba anything happen in Tanzania- the buck stops with him...
yeye ndiye alikuwa Raisi na makandokando ya Lissu wakati yanatokea, ni yeye alikuwa kiongozi Mkuu ... Hilo pekee linatosha kumfanya aombe msamaha...
 
Back
Top Bottom