Rais Magufuli, tafadhali mtumbue Harrison Mwakyembe, wizara upande wa michezo imemshinda

Rais Magufuli, tafadhali mtumbue Harrison Mwakyembe, wizara upande wa michezo imemshinda

Kwa kitendo ulichofanya cha kutaka kuihujumu timu yetu ya simba tunasema hatuna imani na wewe tena kwenye mpira wa miguu. Hii timu ya simba sio timu ya serikali bali ina wanachama wake ambao wanafanya maamuzi juu ya klabu. Na sisi ndio wanachama ambao tumeamua kumpa timu Mo Dewji na ametusaidia kufika robo fainali africa mpaka kusaidia Tanzania kuingiza timu nne mashindano ya africa lakini hilo hulioni. Tunakuomba ujiuzulu mapema kabla hatujafanya maandamano ya kukupinga hadharani.
Nawasilisha.
heko, Mwakyembe ni CCM na ameagizwa kivuruga simba ili YANGA AMBAYO NI TIMU YA CCM irudi kwenye chati, walimteka roma mkatoliki wakamzuia asiongee, sasa wakamteka mo wakamzuia na wanataka asiwe na hisa, alafu wao watazinunua
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtapata TABU SANAAH!!! Mwakyembe piga kazi, simamia sheria za michezo ipasavyo[emoji28][emoji8][emoji60][emoji123]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtapata TABU SANAAH!!! Mwakyembe piga kazi, simamia sheria za michezo ipasavyo[emoji28][emoji8][emoji60][emoji123]
We utakuwa mtoto wa kilomoni[emoji3][emoji3]
 
hawa walisababisha Serengeti boys ifanye Vibaya lile kombe lililofanyika hapa
CAF walileta zile pesa za kuwezesha mashindano, wakaziweka TFF , wizara ikaenda ikazichukua na TFF wakaanza kuwa wanaomba wizarani, TFF wakachukia wakawa kama wameisusia michuano hii
 
Maskini Simba yangu tunarudi kulekule
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtapata TABU SANAAH!!! Mwakyembe piga kazi, simamia sheria za michezo ipasavyo[emoji28][emoji8][emoji60][emoji123]
Hata glori ni mchezo.. asimamie huo
 
Maagizo kutoka kwake atamtumbua vipi..MO waachie timu Yao yasije kukuta ya Yusuf...mwaka huu watu watatembeza mabeseni sio mabakuli kama Jangwani
 
Back
Top Bottom