Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Nani kabweteka anaisubiri serikali huku analala nje? Mnashangaza sanaRais yupo sahihi kabisa, hakuna haja ya unafiki. Wananchi waanze ujenzi wa nyumba zao sio kusubiri Serikali. Serikali na wahisani watasaidia si kwa asilimia 100 kiasi cha kuwafanya wabweteke kusubiri serikali.
Body language haiendani na yanayotoka mdomoni. Kama unazo japo akili kidogo tafakari,, angalia pia set nzima ya hayo makabidhiano. Angalia body language za wahusika wote.inahitaji akili kidogo kuelewaKwa kweli sina milioni saba ya kulipa... Ila Mkuu ana maneno mazito! Anasema waathirika wasikae tu huko wanangoja hela za serikali kwa sbb wanasikia zimechangwa,waanze kujisaidia kwanza wao na serikali itawasaidia pale waliposhindwa.
Mkuu anasema mtu ukuta umedondoka, anataka asubiri serikali ndio imtengenezee! Watu wajue tetemeko ni janga la asili halijaletwa na CCM. Waanze kwa kujenga wenyewe kuta zilizodondoka sio wasubiri serikali, sababu maisha yanendelea na watu wanatakiwa wafanye kazi kwa kujenga nyumba zao na sio kila kitu serikali itafanya.
Na wale wanasiasa wanaotaka kutumia janga hili kujinufaisha kisiasa mkuu anasema waache mara moja.
Na kasema wote wanaotumia janga hili kukusanya misaada kwa njia ya kitapeli, basi wakamatwe mara moja.
Sasa kiongozi ulitaka Mh aongea vitu ambavyo hakiwezekani ili mkalili badae mje mnanga tatizo sisi watz tumezoea porojo ukweli hatutakiMwogope Mungu ndugu yangu....waliofikwa hawakupenda ndugu yangu.
Kwani amekuwa Mungu mtu?Mkuu,una milioni 7?
Zitapelekwa kwenye madawati[emoji15] [emoji15] Du! Aya ela zitapangiwa kazi nyingine[emoji86] [emoji86]
Unaijiabisha
Japan inaongoza kwa janga hili,uliwahi sikia kauli hiziLikitokea tena serikalini itajenga nyumba ngapi
Wewe ulitaka asemeje?
Hebu rudia tena kusikiliza hako kahotuba hapo huu.
Ulitaka aseme Serikali yangu itahakikisha ndani ya mwezi mmoja wahanga wote Wa tetemeko watakuwa wamesha jengewa nyumba nzuri,na wanapatiwa Chakula mwaka mzima bure,na makaburi ya walio tangulia mbele za haki yana jengwa buree.?
Amesha sema muache mihemuko ya kisiasa kwenye suala la majanga kama hili,tujitokeze kusaidia wahanga, nawewe muhanga usibweteke jishughulishe,Serikali YAKE itatoa mile ilicho nacho,,
Usije sema nimepewa bati 20 nyumba yangu ni ya bati 70.
Hili janga halija letwa wala kuratibiwa na Serikali sema itathaminisha Mali iliyo haribiwa na kukipwa hiyo sahau,utasaidiwa kile Serikali kuu imekipata toka ndani na nje kwa wadau.
Bweteka sasa.Dunia nzima majanga yapo kila siku, na mengine makubwa sana kuliko hili la Bukoba. Hata hapa kwetu yameshapita majanga makubwa pengine kuliko hili na kupoteza maisha ya watu wengi sana. Lakini mbona kauli za kukasirishana na kikatili kama hizi hatujawahi kuzisikia kote huko? Msipende kutetea kila kitu kama ile wanaokosoa ni maadui wa nchi hii, ni kukubali kuwa ulimi uliteleza au kashauriwa vibaya kutoa kauli hiyo
UKUTA si umepigwa marufuku au sijaelewa??kawambia waathirika wa tetemeko wajenge UKUTA na wasisubiri serikari.