Wewe ulitaka asemeje?
Hebu rudia tena kusikiliza hako kahotuba hapo huu.
Ulitaka aseme Serikali yangu itahakikisha ndani ya mwezi mmoja wahanga wote Wa tetemeko watakuwa wamesha jengewa nyumba nzuri,na wanapatiwa Chakula mwaka mzima bure,na makaburi ya walio tangulia mbele za haki yana jengwa buree.?
Amesha sema muache mihemuko ya kisiasa kwenye suala la majanga kama hili,tujitokeze kusaidia wahanga, nawewe muhanga usibweteke jishughulishe,Serikali YAKE itatoa mile ilicho nacho,,
Usije sema nimepewa bati 20 nyumba yangu ni ya bati 70.
Hili janga halija letwa wala kuratibiwa na Serikali sema itathaminisha Mali iliyo haribiwa na kukipwa hiyo sahau,utasaidiwa kile Serikali kuu imekipata toka ndani na nje kwa wadau.