Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Hiyo kauli ya Magufuli ni jaribio la hatari la kuikwepesha serikali yake na jukumu lake la msingi na ni kinyume kabisa na matakwa ya katiba. Kwa mujibu wa katiba ya JMT sehemu ya kwanza, jukumu la msingi la serikali ni ustawi wa wananchi. Katika mazingira ambayo wananchi hawana angalau moja kati ya mahitaji yao ya msingi kutokana na janga la asili, uhalali wa serikali uko wapi kama haitatoa msaada wa haraka?
 
asante sana kaka kwa kuweka mambo sawa;
 
Rais kaongea ukweli, mkiongea suala la kutokwenda kwakweli rais km rais hayuko sawa, tulitakiwa kumuona akiwa kule, ni faraja tosha tu, lakini kwa speech sijaona ubaya

Unachokisema sio kweli ndugu yangu " Kidabibiago" hayo maneno haambiwi mtu anayekuomba msaada. Waombaji hawa, hawakujitakia, hawa ni wafa maji. Wanaomba wasaidiwe, hayo tunayasema kwenye kongamano la wanataaluma au la wasomi. Rais hakuwa anajadili mada, alikuwa anajadili tukio la kusikitisha, tukio lililopoteza maisha ya watu 17, lililowaacha watu zaidi ya 100 wakiwa majeruhi na wengine wapo hospitalini hadi sasa. Alikuwa anawambia yatima waliopoteza wazazi wao, alikuwa anawambia wajane na wagane waliofiwa na wapendwa wao, alikuwa anawambia wazazi waliopotelwa na watoto wao.
Hakika kauli hii haikuwa sahihi ukiongezea hata hili la kutofika kule.
 

Tusisubiri serikali itujengee nyumba kwa sababu serikali haijaleta tetemeko. Okay. Tunapodai serikali itujengee hospitali, serikali ndio imeleta magonjwa? Ni serikali gani duniani inasaidia pale tu ambapo ni wao serikali ndio wamesababisha matatizo?

Ndio maneno yenyewe ya ngebe hayo kutoka kwa Rais! Nani kailaumu C.C.M. kwamba imeleta tetemeko? Rais una inject siasa kwenye janga la Taifa, Rais is excessively and dangerously politicized.

Serikali imesema itasaidia patakaposhindikana. How? Umejuaje nani kashindwa? Ni wapi serikali imetangaza mchakato wa ku assess wapi panaposhindikana?

First of all, raia wote ni sawa ki haki mbele ya serikali, hakuna anae deserve kujengewa mwingine aachwe, wote tunalipa kodi! If anything masikini wasio kwenye ajira rasmi ndio hawalipi kodi! Kwa nini wajengewe wengine tujijengee?

Tujijengee, tusisubiri serikali, lakini misaada ya vifaa vya ujenzi inakuja. Inakuja kupewa nani ?????

Ikulu nzima na ofisi ya Waziri Mkuu zina mawaziri na wakurugenzi kibao mnakaa chini mnaandika ma speech yamepinda hayana mantiki namna hii, haya make sense mbele ya umma, these people are incredible light weights and tyrannical hawa Majaliwa na Magufuli ndio maana wanaandikiwa vitu ovyo ovyo vile wanavyotaka kuvisikia.

Magufuli anaposema watu waambiwe ukweli aende mwenyewe basi akawaambie wahanga wa tetemeko maneno ya ngebe namna hiyo.
 
Namnukuu ;"
Tetemeko halikuletwa na Serikali"

Kwa hiyo wajibu wa serikali ni nini?atuambie ni kukusanya michango basi, hizi sio kauli za kuwapa faraja wahanga wa tetemeko.
 
Mkuu maelezo yako yamenyooka sana, hoja nyingine ni kuwa aliomba japo robo ya roho ya JK na SHEIN kwa nyakati tofauti je yeye ana roho ya aina gani??siku zote mwanaume unavyoonekana ukiwa na wenzio maneno na matendo yako vina akisi mbali sana toka ngazi ya familia.Pata picha hapo mambo mengine ni magumu hata kuyaelezea.
 
Kama tungekuwa na umoja kila mfanyakazi angechangia tshs 15,000 mwezi huu, mkulima tshs 3000 na m/biashara tshs 115000. Hapa tungepata fedha zaidi ya 100 billion ambazo zinatosha kurudisha hali ya maeneo yaliyoathiriwa na majanga.
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Waswahili wanaita kusimbulia !nitakusaidia lakini utanikoma hiyo ngebe nitayofungia msaada mpaka utatamani kuukataa msaada!
 
tatizo kubwa la magufuli hua njano anaita njano,, kama kuna nyekundu hawezi kukwambia kuna kitu kinafanana na jezi ya nyumbani ya simba, atakwambia kuna nyekundu kifupi hana tabia ya kutoa matumaini hewa
 
...sasa naamini hata hizo zinaweza zisiwafikie walengwa...naona wanajenga precedent ya kuepa kupeleka pesa za wahanga....wazee wa kupindisha priority...hukawii kukuta pesa inapelekwa Dodoma...kusaidia kuhamia....lol
we amini tuu kwani who cares?
 
kama sikosei kuna mtu mmoja alimshukuru Rais kwa kutuletea kupatwa kwa jua, je?ilikanushwa?
 
Kama tungekuwa na umoja kila mfanyakazi angechangia tshs 15,000 mwezi huu, mkulima tshs 3000 na m/biashara tshs 115000. Hapa tungepata fedha zaidi ya 100 billion ambazo zinatosha kurudisha hali ya maeneo yaliyoathiriwa na majanga.

Mfuko wa TAIFA wa maafa hauna senti yaani uhuru Na Museveni wanarespond haraka kuliko serikali.
Unaahirisha ziara alafu unajifungia Ikulu wiki nzima ......sibora angeenda Zambia akamuombe waachee kupitisha copper Durban Wakati Tazara iPo..
Rais akienda mahala Ni Tofauti Na Waziri Mkuu Au Makamu ...rais Ni rais na marais wanaongea Na marais mambo ya kuongea Na mtu ambaye Hana uamuzi wa mwisho hawapendi
 
hivi nyie wengine hizi bange hua mnavutia wapi?? we umefika kagera ujue watu wameanza kusaidiwa ama laa? wewe binafsi umewasaidia nini wabukoba?
 
Hahaha!huko ndo alikopiga pushup kwenye kampen,mkacheka,mkashangaa na wengine kukata mauno.Sasa zamu yenu
 
Sio wanawake wote pande mbili... Nimeishi nao nawafahamu nadhani vichwa vyao vina mapungufu wana matatizo ya kisaikolojia poleni sana najua hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…