Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Mungu si athumani, naomba Mungu siku moja litokeo nyumbani kwake, alafu aje achukue wiki nzima yupo kimya, alafu akizungumza azungumzee maneno kama haya aliyoyasema!
NINA HASIRA ACHA NIISHIE HAPA
Duh..hivi mnajua hizi partisan politics Tanzania zimeshatuondolea roho ya upendo kabisa? Kila nikifikiria watu (CCM) walivyokuwa wanawakebehi supporters wa upinzani....inakuwa ngumu kuamini kwamba CCM haijali wapiga kura wake.....
Wacha tuisome number!