Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,658
Sio msukuma huyo... Kaishi huko tu wasukuma hawana urafiki na watu jamii ya Rwanda... Nadhani ni hukoWasukuma nyodo asili yao....!!
Wasukuma huwa ni wakarimu asilia... Kwa huyu hana uasili wowote Wa kisukuma... Huwezi mfananisha na Cheyo huyu... Mzee Wa kujaza watu mapesa huyu anawaondolea watu mapesa... Total vice versa