Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Wewe ni msimamizi mzuri na ukiamua kitu kinafanyika mifano ipo hai kama Makao makuu yetu kuhamia Dodoma wengine hawakuamini na walifikiri ni usanii lakini sasa hivi Mji wetu Mkuu Kikatiba kabisa ni Dodoma.
Hivyo basi binafsi naamini kama Halmashauri zetu nchi nzima zikiweza kutumia sehemu ya mapato inazokusanya kwa maendeleo ya hizo Halmashauri tutafika mbali sana
Najua unaogopa wizi wa hizo fedha lakini kama ukiamua kutumia nguvu yako ya Kikatiba kama Rais wa Nchi nina uhakika hawataweza kuiba hizo fedha, tafadhali tuachie hii zawadi au niseme urithi kama ukifanikiwa hapo yaani kuacha Halmashauri zinazowajibika hakika utakuwa mkombozi wa hii nchi.
Hivyo basi binafsi naamini kama Halmashauri zetu nchi nzima zikiweza kutumia sehemu ya mapato inazokusanya kwa maendeleo ya hizo Halmashauri tutafika mbali sana
Najua unaogopa wizi wa hizo fedha lakini kama ukiamua kutumia nguvu yako ya Kikatiba kama Rais wa Nchi nina uhakika hawataweza kuiba hizo fedha, tafadhali tuachie hii zawadi au niseme urithi kama ukifanikiwa hapo yaani kuacha Halmashauri zinazowajibika hakika utakuwa mkombozi wa hii nchi.