Jasili!onyesha njia how,wajiongeze vipi?
Kijana wa Darasa la Saba,akifika mjini akapata bajaji/bodaboda ya kuingiza buku mbili,akapanga chumba,akapata kadem,Kamaliza maisha!kumuambia Mhitimu wa chuo kikuu,na yeye aendeshe bodaboda,ni kumtukana matusi ya nguoni,na ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Anajua kulima na kufuga,muoneshe auze wapi?
Anajua IT,mpe tatizo atengeneze APP atatue apate pesa.
Hata Diamond,asingefika hapo alipo,bila ya watu kuona kipaji,pesa ikawekwa,nyimbo zikatengenezwa,alikuwa na kipaji,matunda ya kipaji yasingejurikana bila rasilimali fedha.
Vijana Wana uwezo mkubwa tu,wape nafasi uone Maajabu.
Hivi unajua kwamba kampuni Kama Google na Microsoft wanatumwa sana vijana waliosomea IT wa Ghana na Nigeria kutengeneza software,Tena kwa gharama nafuu kuliko kutumia Mhitimu wa Havsrd?
Weka njia,sio maneno meengi