Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?

Nani wakumwachia nchi toka upinzani? Mbowe? Unataka Hazina yetu itoweke kabisa then akimbilie Marekani? Si unaona hata watoto wake majina yao ya Kimarekani.
Mkuu nchi hii ina watu zaidi ya milioni 55,please toka humo ulimo fungiwa
 
Tofautisha Kati ya nchi na Dikteta Kama Magufuli.
Nyerere alikuwa mwema, alipita na Tanzania ipo, Magufuli ni katili atapita na kuiacha Tanzania.

Mimi ni msaliti wa shetani anayeitwa CCM na mzalendo wa Tanzania. Nyie vilaza mtu yoyote anayewachukia eti ni msaliti wa nchi, nyie mtakufa wote na Tanzania mtaiacha

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaanza kufa wewe tena na Corona
 
Mtu akiishi nje ya nchi yake amekuwa kakataa kwao? Mbona nimefanya harakati nyingi tu za Siri za kuwatia adabu nyie mashetani kwenye uchaguzi huu wa 2020.
Wewe kweli mshamba hasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini tayari tumeshakunyoosha unapumlia mpira tu kwa sasa ila unajikaza tu kila ugusapo unagonga mwamba la Buringi uko hoi bin tabani.
 
Rais Magufuli kasisitiza kuwa uchaguzi mkuu 2020 upo palepale, jee wapinzani waliosema kama hakuna Tumehuru ya uchaguzi basi watahakikisha kuwa haufanyiki nini kinaendelea?

Hivi kweli serikali hii inaweza kujitia uziwi kwenye jambo hili LA Tumehuru na kusubiri matokeo ya nini watafanya upinzani?View attachment 1399821

Sent using Jamii Forums mobile app
mnaandaliwa ki saikolojia
 
Kwa kuwa tume ni mali binafisi ya ccm, apo kwa taharifa hii hujaandika la maana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa na ulivyo mpinzani hujui kuandika: apo = hapo; taharifa = taarifa; maana lolote = maana yeyote. Rudi shule ndipo uwe na kibali cha angalau kujadili kuhusu utawala wa PhD holder
 
Chini ya tume Huru ya uchaguzi?
Nani kakudanganya kuwa duniani kuna Tume huru ya uchaguzi? Kuna uchaguzi na anayeshindwa kama alikuwa chama tawala, Tume inachupa na kuwa huru. Chama tawala kikishinda! Tume siyo huru
 
Rais Magufuli kasisitiza kuwa uchaguzi mkuu 2020 upo palepale, jee wapinzani waliosema kama hakuna Tumehuru ya uchaguzi basi watahakikisha kuwa haufanyiki nini kinaendelea?

Hivi kweli serikali hii inaweza kujitia uziwi kwenye jambo hili LA Tumehuru na kusubiri matokeo ya nini watafanya upinzani?View attachment 1399821

Sent using Jamii Forums mobile app
Tume huru ina maana gani? Ni ile yenye wanachama wa CHADEMA? au mseto kama ile iliyowahi kuundwa Zanzibar? Hao watu huru ni akina nani? Kuna maneno yanatumika na hawa wazembe bila hata kujua kitakachopatikana ni kitu gani. Vikisimama jukwaani vinazua mambo ambayo hata hayapo dunia hii.
 
Back
Top Bottom