Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Mkuu acha roho mbaya na uchochezi.
Kwanini usichukulie kuwa Manara kapewa promo, ivo wazazi wengi watapeleka watoto wao kufundishwa dini au watakuwa wanamsikiliza Manara, kwa vile ana elimu nzuri ya dini!!

Kumbuka,Huwezi rithi mbigu kwa kuuwa wasio na hatia.
 
Hivi Haji Manara ni mwislamu wa kabila gani? aliingiaje uislam wakati baba yake Sunday Manara alikuwa mkristu au ndio wale watoto walioteguka na kudai demokrasia kabla ya miaka 18? au siku hizi kuna waislamu wanaitwa Sunday? halafu iweje utani wa Simba na Yanga upelekwe Ikulu wakati Hajis Manara siku hizi kapanda daraja yupo na anaongelea Laliga tu wala sio kubwabwaja na akina Utopolotopolo kama wanavyosikika huko wasafi. mwisho ujumbe wangu kwako Hajis wape salaam zao hiyo tarehe 08/03/2020
Lini Sunday Manara alikuwa Mkristo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dhihaka hiyo angefanyiwa Mkristo nchi ingetulia sasa? Acheni Unafiki DC Jerry Muro amewadhihaki na kuwadhalilisha Waislamu hasa kupitia Walimu wao wa Madrassa. Waislamu wote nchini Tanzania mkilinyamazia hili nanyi sitokuja kuwaelewa tena kwani hapa mmedhihakiwa vilivyo na sasa muda wa Kudhihakiwa hivi ufikie Kikomo. Msikubali ng'o na Sisi Wakristo tunaopenda Haki tutakuwa nyuma yenu kuwaungeni mkono kwani hata Sisi ( Wakristo tunaojielewa ) tumesikitishwa na kukasirishwa sana na Kauli hizi za Kifedhuli za aliyewahi kuwa Msemaji wa Yanga SC sasa ni Mkuu wa Wilaya Ndugu Jerry Muro.
Mkubwa una chuki na timu au? ni hilo tu la kufundisha madrasa?
 
Nyie waislam sasa ni ukoma sugu,.. Hivi nyie watu roho zenu ni za aina gani na huyo Mungu wenu ni Mungu wa aina gani, mbona ni wakorofi na msiyechoka kutafuta migogoro, malumbano, kila kukicha,.. Hayo mapepo yenu yanastahili yabaki huko baharini. Yaani nyie kila kukicha dunia nzima mnawaza kukorofishana,... Mara mfumo Kristo, mara hili mara lile,.. Hapo alipotukana uislam ni wapi,.. Huyo Manara hakumwambia Nugaz ameiingilia mpira taaluma asiyoijua arudi kwenye mapori akafanye anachokijua?.... Muro kumkumbusha Manara akawasaidie watu kwa elimu yake ya madrasa ni kuutukana uislam? Wewe kama ulipata cheti kinachoonyesha umepitia skuli, ni zero kbs. Waislam mna matatizo makubwa sana, mnataka watu wasikohoe, wala wasitamke neno uislam,.. Nyie ni viumbe vya aina gani,.. Na dunia leo inakua sio mahala pema penye amani tena ni kwasababu yenu nyie watu, shetani ana wa drive vizuri sana,.. Me naamini wote tungekua na mafundisho ya krikrito hapa duniani pangekua na amani nzr na ya ajabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Uislam ni ushetani, naamini hivyo na iko hivyo,.. Ukitulia vzr na kuzipitia hoja zao,.. Ni wazi kbs waislam ni watu wa shari na sio binadamu wa kawaida,.. Hawako ktk mpango wa Mungu kbs,.. Yaani wanawaza mabaya kila siku, daah!!... Namshukuru Mungu kunifanyia niwe mkristo maana najisikia amani kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom