SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Lakini kuhusisha imani hapo Jerry kavuka mipaka ila Kwa vile ni kada wa CCM hafanywi kitu.Manara na muro Wanajuana wale
Vita zao za maneno haijaanza leo
Muwavumiliee
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.... Mwakasege siku hizi anatoa upako nayeMuro juzi alikuwa anaombewa na mwalimu Mwakasege pale Kawe kwenye mkutano mkubwa wa Injili.
Nadhani safari ya kulitwaa jimbo la Kawe imeanza.
Ikumbukwe hata Manara ananyemelea ubunge wa Kawe ili ausimamie vizuri uwanja wa Simba!
Mkuu acha roho mbaya na uchochezi.Nawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.
Hilo ni GongowaziHatuna mwana Simba SC Mpuuzi kama Wewe tafadhali. Acha Unafiki!
Lini Sunday Manara alikuwa Mkristo?Hivi Haji Manara ni mwislamu wa kabila gani? aliingiaje uislam wakati baba yake Sunday Manara alikuwa mkristu au ndio wale watoto walioteguka na kudai demokrasia kabla ya miaka 18? au siku hizi kuna waislamu wanaitwa Sunday? halafu iweje utani wa Simba na Yanga upelekwe Ikulu wakati Hajis Manara siku hizi kapanda daraja yupo na anaongelea Laliga tu wala sio kubwabwaja na akina Utopolotopolo kama wanavyosikika huko wasafi. mwisho ujumbe wangu kwako Hajis wape salaam zao hiyo tarehe 08/03/2020
Huyo Jana Mauro ni moja ya vitendea kazi vya bashite katika kazi chafu pamoja na mzee wa kiba100Muro alidhamiria kulisema alichokisema maana kuna sehemu anamtaja Musiba na anamsifia anachokifanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubwa una chuki na timu au? ni hilo tu la kufundisha madrasa?Dhihaka hiyo angefanyiwa Mkristo nchi ingetulia sasa? Acheni Unafiki DC Jerry Muro amewadhihaki na kuwadhalilisha Waislamu hasa kupitia Walimu wao wa Madrassa. Waislamu wote nchini Tanzania mkilinyamazia hili nanyi sitokuja kuwaelewa tena kwani hapa mmedhihakiwa vilivyo na sasa muda wa Kudhihakiwa hivi ufikie Kikomo. Msikubali ng'o na Sisi Wakristo tunaopenda Haki tutakuwa nyuma yenu kuwaungeni mkono kwani hata Sisi ( Wakristo tunaojielewa ) tumesikitishwa na kukasirishwa sana na Kauli hizi za Kifedhuli za aliyewahi kuwa Msemaji wa Yanga SC sasa ni Mkuu wa Wilaya Ndugu Jerry Muro.
Lazima atakuwa Chizi tu. Nawakubali sana Waislamu katika hili na huenda Wilaya fulani sasa ikaongozwa na DC aliyewehuka.
Yanga hoyeeee!Wewe na msemaji wa simba mnatumia tunguli.
Uislam ni ushetani, naamini hivyo na iko hivyo,.. Ukitulia vzr na kuzipitia hoja zao,.. Ni wazi kbs waislam ni watu wa shari na sio binadamu wa kawaida,.. Hawako ktk mpango wa Mungu kbs,.. Yaani wanawaza mabaya kila siku, daah!!... Namshukuru Mungu kunifanyia niwe mkristo maana najisikia amani kbsNawaaminia Waislamu na najua kama Mheshimiwa Rais atashindwa Kumwajibisha DC wake Jerry Muro basi Wao watamuwajibisha kwa namna yao ya Kipekee kabisa na nitashangaa kuona Waislamu wote nchini Tanzania wanalinyamazia hili. Nawakubali sana Waislamu hivyo msiniangushe katika hili na lazima DC Jerry Muro ama awaombeni Radhi haraka au asubiri yale Maombi yenu Maalum na ya Kipekee ya Wakaidi Kwake Allah ( Mwenyezi Mungu ) Msikubali kabisa Waislamu tafadhali.