Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

Wapi alipo kashifu Waislamu/Uislamu?

Kwa nini unapenda kuishi kwenye Dunia ya kutafuta lawama zisizo kuwepo? Kila siku kutafuta mchawi asiyekuwepo?
Uchawi huo unao mwenyewe katika fikra zako.

Huyo Haji kila siku anakashfu watu. Yeye ana haki hiyo? Watu wamwona kama mlemavu na kumwacha kama alivyo.
 
mimi ni muislamu lakini nasema jerry muro yuko sahihi, manara ana kashfa sana kwa yanga tumemchoka, kuambiwa akafundishe madrasa sio kosa, hakuna mahali ametukanwa
 
Kwani muumin wa kiislam kuambiwa akafundishe madarasa ni kosa??,

Inategemea anaambiwa katika tone gani Mdau. Ukirejea Tone ya DC Jerry Muro juu ya Msemaji wa Simba SC Haji Manara ilikuwa ni ya Kidhihaka na Dharau nyingi. Habari nilizozipata kutoka kwa baadhi ya Waislamu wanajiandaa Kumshtakia DC Jerry Muro kwa Mamlaka husika na kama asipochukuliwa Hatua haraka basi Wao Waislamu kama Waislamu watamshtakia Mwenyezi Mungu kupitia ile Dua yao moja Hatari sana ambayo wakiombea Ufe unakufa Kweli au wakiomba uwe Shoga unakuwa kweli au wakiomba uwe Mwendawazimu basi hapo hapo inakuwa hivyo. Nikiwa kama Mkristo nawaomba Waislamu Tanzania nzima wasilinyamazie hili la DC Jerry Muro na wamuadabishe upesi mno.
 

Wakristo tumezidi sana Kuwadhalilisha na Kuwadharau Waislamu na Mimi kama Mkristo ninayejitambua najitoa muhanga Kuwatetea. Na Wakristo wenzangu mkizidi Kunipinga katika hili au msipokubaliana nami basi na Mimi muda wowote kuanzia sasa nitaukana ( nitaachana ) na huu Ukristo wangu wa Ulutheri ( Lutheran ) Kidhehebu na kuhamia rasmi kwa Waungwana na Watu wema na wavumilivu Waislamu.
 
mi ni muislamu namsapoti jerry muro, manara hana uislamu wowote ni mlevi, anatangaza biashara ya kamari, huyo ni mjinga tu, hakuna muislamu atakaemsapoti huyo mdhalilishaji wa yanga, mwambie yanga waislamu tuko nyuma ya jerry muro tutamsapoti kwa kila hali.
 
Nanyie punguze kulalamika! Mbona hakuna ubaya wowote katika maongozi yake ?

-
 
Sasa wee Mzukulu ndiyo mchochezi no moja nashauri Jeshi la Police likufungulie Jalada la uchunguzi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzukulu,

Mtoa mada naona amechanganyikiwa kiasi cha kutaka kutupotosha na kutuchonganisha. Tumpuuze huyu. Hakuna mahali dini imedharauliwa ila ni ufinyu wa mawazo na upofu wa kuchanganua maudhui ya hoja husika.
 
Wwe Jela ina kwita jiangalie sana na unacho comment kwa mitandao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pumbavu kabisa, tangu mwaka uanze sijaona uzi wa kikuku kama huu, kwanza unajaza server za JF tuu kwa huu ushuzi
 
Mtoa mada naona amechanganyikiwa kiasi cha kutaka kutupotosha na kutuchonganisha. Tumpuuze huyu. Hakuna mahali dini imedharauliwa ila ni ufinyu wa mawazo na upofu wa kuchanganua maudhui ya hoja husika.
Tz watu wengi sana reason capacity zao ziko chini sana kama huyo mleta maada,na hiyo ni changa moto kubwa sana kwa Serekali!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah mnakuza mambo Sana waswahili ... Kuambiwa kafundishe madrasa ni tusi , kwahiyo angeambiwa kafundishe UDSM ndio mngefurahi??


Huyo Manara ana Inferiority Complexity anapenda kudharau wengine yeye akitikiswa kidogo anapanick... Atulie tucheze soka Kama anataka mipasho aingie kwenye ulingo wa siasa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hii picha nimeikuta fb, iwapo huyu ni Mwenyewe, sioni kosa, kwani mimi binafsi nilikua sijui kama Manara anaijua dini yake vizuri kufikia hatua ya kuwa mwalimu.

Nampongera Jerry kwani ndio aliyenipa ufahamu huo, kwamba, licha ya manara kuwa msemaji mzuri, pia ni mwanadini kindakindaki.

Sasa hiyo dhahaka imetoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…