Naionya jamii maana mkuu hata mkikaa mkaongea kesho anakuja kivingine kabisa.Mkuu andiko lako sijapenda kwa nini umeamua kuandika haya leo na juzi ,hii pana sijaipenda kama mkuu anakufaham vizuri na mnafamiana why ulete hapa kwa nini usimfuate ukamnongoneza
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu kusema kuwa ametengeneza ajira 6m, hii utusaidie tumjue jinsi alivyo kichwaniRais wangu, hivi unajua kuwa pamoja na kukupinga sana ila ni miongoni mwa watendaji wako wasaidizi wakuu ndani ya serikali? Kwa taarifa yako ninasimamia moja ya taasisi ambazo kwa siku za hivi karibuni umeelekeza macho yako yote pale. Nipo na vijana wako unaowatuma kila siku na mambo yanaenda vizuri sana kwao chini ya usimamizi wangu usiofuata mkumbo wala ulambaji viatu. Pale ofisi ya msajili mkuu wa Hazina ni nyumbani kwangu na tunafanya vikao kila mara.
Twende kwenye mada.
Unajua kuwa mimi ni mwenyeji mkubwa pale Hazina? Unajua kuwa naelewa madudu yote uliyofanya dhidi ya sekta binafsi kuanzia mwaka 2016 mpaka jana? Unajua kuwa ninazo taarifa za uhakika kuwa kwa utaifishaji holela na uvurugaji wa mipango uliofanya nchi nzima umegharimu ajira za watu siyo chini ya elfu 50?
Naomba nikueleze kuwa siyo kila msaidizi wako anafurahishwa na jinsi unavyoendesha nchi! Naomba kwa leo niishie hapo ila nyongo ikizidi itatoka!
Tukutane Dodoma kesho kwenye ripoti muhimu uliyotutuma kuifanyia kazi Dar!
Ajira may be 7m.Rais wangu, hivi unajua kuwa pamoja na kukupinga sana ila ni miongoni mwa watendaji wako wasaidizi wakuu ndani ya serikali? Kwa taarifa yako ninasimamia moja ya taasisi ambazo kwa siku za hivi karibuni umeelekeza macho yako yote pale. Nipo na vijana wako unaowatuma kila siku na mambo yanaenda vizuri sana kwao chini ya usimamizi wangu usiofuata mkumbo wala ulambaji viatu. Pale ofisi ya msajili mkuu wa Hazina ni nyumbani kwangu na tunafanya vikao kila mara.
Twende kwenye mada.
Unajua kuwa mimi ni mwenyeji mkubwa pale Hazina? Unajua kuwa naelewa madudu yote uliyofanya dhidi ya sekta binafsi kuanzia mwaka 2016 mpaka jana? Unajua kuwa ninazo taarifa za uhakika kuwa kwa utaifishaji holela na uvurugaji wa mipango uliofanya nchi nzima umegharimu ajira za watu siyo chini ya elfu 50?
Naomba nikueleze kuwa siyo kila msaidizi wako anafurahishwa na jinsi unavyoendesha nchi! Naomba kwa leo niishie hapo ila nyongo ikizidi itatoka!
Tukutane Dodoma kesho kwenye ripoti muhimu uliyotutuma kuifanyia kazi Dar!
Hahahaha, ni kweli kabisa Mkuu usemaloZamani nilikuwa nikiwadharau mama ntilie, nilipokuja kufanya utafiti wa kipato chao cha siku ns kushuhuda maendeleo yao ilijikuta najutia maono yangu. Ujinga wetu ni kutojua kuona fulsa, unakuja situkia barakoa zimebadili maisha ya watu. Ndipo unaanza kumkumbuka marehemu Ruge[emoji23][emoji23]
S
Sawa Mkuu ,sikatai lakini huoni mtoa mada au mada imekaa kinafiki,namanisha kwa nini hakuyasema haya hata mwezi mmoja kabla kasubili mpaka bunge limevunjwa ndo anayasema? Lakini kama si unafiki kwa nini kuendelea fanya kazi na mtu ambae hukubaliani nae ,why usiachie nafasi unayoitumikia ili kujitenga na dhambi iyo maana ata ukifa njaa bado hutaonekana shujaa kuliko kujificha nyuma ya kibodi huku bado unaendelea lipwa na posho za kusafili na huyo huyo ambaye amempa za uso .
Mwisho kama kweli ameona kuna tatizo na kiongozi husika alie mtaja ok anatusaidiaje?
mkuu embu tutoe tongotongo kidogoRais wangu, hivi unajua kuwa pamoja na kukupinga sana ila ni miongoni mwa watendaji wako wasaidizi wakuu ndani ya serikali? Kwa taarifa yako ninasimamia moja ya taasisi ambazo kwa siku za hivi karibuni umeelekeza macho yako yote pale. Nipo na vijana wako unaowatuma kila siku na mambo yanaenda vizuri sana kwao chini ya usimamizi wangu usiofuata mkumbo wala ulambaji viatu. Pale ofisi ya msajili mkuu wa Hazina ni nyumbani kwangu na tunafanya vikao kila mara.
Twende kwenye mada.
Unajua kuwa mimi ni mwenyeji mkubwa pale Hazina? Unajua kuwa naelewa madudu yote uliyofanya dhidi ya sekta binafsi kuanzia mwaka 2016 mpaka jana? Unajua kuwa ninazo taarifa za uhakika kuwa kwa utaifishaji holela na uvurugaji wa mipango uliofanya nchi nzima umegharimu ajira za watu siyo chini ya elfu 50?
Naomba nikueleze kuwa siyo kila msaidizi wako anafurahishwa na jinsi unavyoendesha nchi! Naomba kwa leo niishie hapo ila nyongo ikizidi itatoka!
Tukutane Dodoma kesho kwenye ripoti muhimu uliyotutuma kuifanyia kazi Dar!
Izifiki hiyo idadi . Laki Saba minus ndo idadi ya ajira Tz . Huu ni mwaka wa nne Sina ajira. Pamoja na kufight kote sijapata hata dili la kubeba zege Kwenye mradi SGRTanzania ajira hazifiki million 2 kwa ujumla wake.
Wewe mpumbavu, Magufuli kaharibu uchumi wa Tanzania halafu alivyo mpumbavu linaidanganya Dunia eti limetengeneza ajira mil 6,Pathetic kabisa hili jamaa, lifie mbali hukoUthibitishie umma kuwa magu kateta uongo..?
Hata ukiweza kututhibitishia hapohapo jiulize swali hili "kwanini watu wanachepuka"
Ukijijibu hilo then fatilia mfumo tulioiga wa siasa unaendeshwaje hapo hautapata tabu kujisumbua!
Hilo ni Bwege la mabwegeWanakuja watakwambia fisadi leo nilikuwa bungeni aliposema ajira direct 1milion+ na inderect 6milion mkapa aliinama na kutizama chini sema kamera sijuwi kama zimeona duh!
Yaani ajira direct 1milion zina impact kubwa sana kwenye uchumi tungekuwa tunaona imagine ukate mishahara yao kodi kwa 11% mapato ya serikali yangekuwaje.
Jamaa anaonekana ni mpishi mzuri wa pilau.
Hata Ujerumani haina viwanda elfu 8,shenz taipu sana hili jituPia wanasema kuna viwanda vipya elfu 8 , hivi vinatengeneza bidhaa gani na zinauzwa wapi ?
Halafu jamaa hajuagi hata uongo, wenzake wanatia uongo unaofanana na ukweli yeye anatwanga tu. Bora hata waziri mkuu kadanganya kasema Ajira laki sita. Hapo kaongeza kama laki tatu. Maan ajira zote kwa miaka mitano hazifiki laki tatu.Wakiajiri watu wote hao tusingelala kwa matarumbeta ya wasifiaji kama kwenye Corona kulivyotungwa mistari.Hakuna hizo ajira Bali anafurahisha genge.
Alisema akimaliza uhakiki anapandisha mishahara hadi leo hakuna.Sifa za Jukwaani zinazoambatana na stress.
naKataifisha fedha za wafanyabiashasha maduka ya ubadilishaji fedha, nk
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Ajira 6,000,000 sio mchezo wewe mwenyewe umeshindwa kujistfyAjira may be 7m.
Jiulize reli ya Tanga vijana wangapi wanafanya, wanakula nini wanalala wapi
Mama ntilie hana shamba ananunua wapi mahitaji, hayo mahitaji yanasafirishwa yaani ni chain hadi kwa mkulima na muuza mbolea.
Haya reli zingine pia ya Dar isaka, reli ya umeme, bwawa la umeme bado hujaelewa tu na kuwa mwenyeji wa hazina!?
Acha ushamba.
Je una habari Dodoma tu kuna wafanyakazi wa serikali wamehamia 15,000
Huoni sector ya ujenzi ime boom wewe uko hazina tu.
Drs wameajiriwa
Sometimes we have to be real.
Pale nilishangaa sijui nimuamini UMNY au MAJALIWA hahahahahaaaaaCCM ni mabingwa wa kupika takwimu,tunawagonjwa 4 mwingine tunawagonjwa 66
Hahahaaaa sijui wanataka wafanye yapi mengine