Uchaguzi 2020 Rais Magufuli umetutia sana Moyo vijana wako kwenye suala la ajira

Sio Rahisi kwa Kiongozi mkubwa ku-admit mateso ya vijana..

Na kakiri kwamba ATALISHUGHULIKIA suala la ajira kwa NGUVU zote.

Msema kweli ndie mpenzi wa MUNGU .


Vijana twendeni pamoja na Rais Magufuli.View attachment 1598263
Kwani kwa wafanyakazi alisemaje kipindi cha kampeni zilizopita 5years back, na vijana wanaotajwa hapo wewe kwa akili yako unadhani hawajui kipindi chote hiko hata leo aje kusema hayo? Unasema msema kweli mpenzi wa Mungu ni sahihi kabisa, tuambie pia na mtu anaye hadaa watu ni nani?
Mnakuwa wepesi kudanganywa kama mmerogwa. Ndo mana mnaambiwa someni muelimike ili msishikiwe akili hizo
 
Andishi refu pumba tupu.
Nakushauri ulipeleke Uhuru media na sio hapa ili misukule wenzio walisome
 
Hebu tuambie mazingira gani mazuri yamewekwa ya kufanya biashara hapa Tanzania. Kuanzisha biashara leo ni ngumu zaidi kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita!

Acheni Propaganda sisi wengine tuna deal moja kwa moja na wafanyabiashara kila siku tunajua maumivu yao na hawana pa kusemea. Kila.mmoja anaogopa.
 
Sio Rahisi kwa Kiongozi mkubwa ku-admit mateso ya vijana..

Na kakiri kwamba ATALISHUGHULIKIA suala la ajira kwa NGUVU zote.

Msema kweli ndie mpenzi wa MUNGU .


Vijana twendeni pamoja na Rais Magufuli.View attachment 1598263

Mtu mwenye akili, akikuambia jambo la kijinga na wewe ukamkubalia, atakudharau - Mwl. Nyerere
Maguful anatudharau sana huyu... Matatizo kayatengeneza yeye mwenyewe, kashindwa kuyatatua alafu leo anakuja kututhibitishia anavyotudharau...
Ni akili ndogo tu ndo watampigia kura hili dubwasha...!
 
Hujui unachoongea kuhusu ajira na hii Ni siasa tu mzee
Mzee Ana miradi mikubwa inayohitaji pesa nyingi Sana ambayo kuitekeleza Ni Pasua kichwa kwake kuajiri, kuongeza mishahara na vyeo,kulipa mafao Ni hasara hiyo pesa Ni Bora apeleke kwenye miradi yake ili aonekane mwamba kafanya makubwa

Lakini anajaribu kuweka Mambo sawa kujibu hoja za wapinzani lakini kiukweli anatafuta dhamana tu akipita itakuwa imepita pia
Huyu jamaa Kawa mnyenyekevu juzi tu na wananchi walivyokuwa wasahaulifu wameshamsahau
kagundua Mambo Ni tofauti na alivyodhani ndiyo maana kajirudi kuwa mnyonge
Lakini akipita msimu huu Hana Cha kupoteza Tena huu ndiyo itakuwa msimu wa kulimia meno kwelikweli
Kwa sababu nguvu anayotumia kwenye kampeni na pesa anayotumia lakini bado wananchi hawamuelewi
Kama atashinda Ni kwa nguvu zake binafsi na analifahamu Hilo kwa hiyo kazi mnayo itakuwa Ni mwendo wa visasi tu

Unajua mtu akitaka kufanya Jambo kwa Siri akikaa nalo moyoni Kuna namna anaweza kuwa ameliongelea kwa namna fulani lakini wengine sio rahisi mkaelewa alichomaanisha
Yaani hatokuwa na mpango
Na majimbo ambayo upinzani utashinda
Sasa mtu wa aina hiyo hafai kuwa kiongozi wa nchi
Majimbo yenye wabunge wa upinzani walipelekewa maendeleo ili kuwafanya wananchi waone kwamba ccm Ni Bora kuliko hao wapinzani lakini wenye akili huwa tunatambua mchango wa viongozi wetu kwamba kupitia hao tumepata maendeleo kupitia ccm yaani Kama Jimbo lingekuwa ccm hata hayo maendeleo tusingepata kwa kuwa tayari tungekuwa kwenye himaya ccm huwa wanadeal na majimbo muhimu ambayo yako upinzani na wanayahitaji kwelikweli
 
Uvccm ndio wafanya biashara?
 
1.Somesha watu namba ili wakuabudu
2.komoa na washughulikie washushe wawe masikini wafanyabiashara haswaa Hadi wakimbie wa nje,wenye pesa wote ni wamepiga dili.
3.Ua sekta binafsi kazi zote wape suma jkt.
4.Vunja vunja kabisa diplomasia ili export ife
5.Ua demokrasia na Uhuru
6.Ondoa punguza mzunguko wa pesa mtaani
7.Nyima watumishi haki zao za kikatiba za nyongeza za mishahara ili ajira binafsi zife
8.ongeza Kodi kila sehemu ili ukusanye kingi mara moja hata biashara zife we ushapata Kodi yako
9.Ua competition kwa kufanya monopoly biashara zote miliki wewe.

Hizi ni sera za kikomunisti za kuwafanya watu wawe masikini ili uwatale anaegoma kukuabudu mshughulikie mtumie Uhamiaji,tra,mpe uhujumu uchumi kisha ficha file lake aozee ndani milele au atoe pesa kununua Uhuru wake.

Wenzetu waliona mbali Sana huwezi pewa uongozi Kama una poverty mind
 
Hawezi fanya kitu sababu atohitaji Tena kura zetu, muhimu tuanze upya mpeni Lisu, kumrudisha tena ni sawa na kumkopesha pesa tena mtu unaemdai huku ukijua hana uwezo wa kukulipa
 
@godjohn8@gmail.com, mwenye mawasiliano hayo ni mvivu kufikiri yahani anaamini kuwa haiwezekani kulinda amani na kuajiri???, Yahani kuimarisha amani kunazuia waalimu watumwe kwenda kufundisha, ma dr. kwenda kutibu!!!....... Miaka 5 inatosha kuwaonesha kuwa Magufuli hana mpango na ajira, zote za serekali na binafsi, hana kabisa mpango huo na anajitahidi kupunguza payroll ya serekali iwe ndogo iwezekanavyo.
Hawa vijana wasiojifunza hata kwa kuona wanasaidiwa vipi?. Subirini aapishwe wakione cha mtema kuni.
 
Kama hujawahi kuchanganyikiwa na unatamani uchanganyikiwe sikiliza kauli za mzee baba kwenye kampeni zake. Kama aliwaahidi wafanyakazi mishahara minono na maslahi mazuri katika kampeni zilizomuingiza madarakani 2015 na wafanyakazi hawakumuangusha matokeo yake kila mtu anajua. " nitapunguza mishahara mikubwa mikubwa, mingine itabaki hivyo hivyo na sina mpango wa kuongeza" .
Hiyo ya ajira kwa vijana ni gia ya kupatia kura na kasema vijana ni 60% ya wapiga kura wote. Sasa akili kwenu vijana.
 
viwanda vimemshinda, wafafanyabiashara kawavuruga wamehamisha mitaji yao hizo ajira atazitoa wapi? huyo mzee ni muongo mkubwa.
Alafu ansema kuwa wametengeneza ajira million 6 tangua aingie madarakani. Yahani jamaa ana ndimi 2. Utapeli mtupu.
 
Sio Rahisi kwa Kiongozi mkubwa ku-admit mateso ya vijana..

Na kakiri kwamba ATALISHUGHULIKIA suala la ajira kwa NGUVU zote.

Msema kweli ndie mpenzi wa MUNGU .


Vijana twendeni pamoja na Rais Magufuli.View attachment 1598263
Kila kiongozi mwenye maono huwa kipaumbele cha kwanza ni ajira. Sasa Sasa haha anataka kutwambia hakuona tatizo la ajira wakati anaingia madarakani au hakikuwa kipaumbele kwake kama Fly over.

Mkuu ameshanza kuelewa somo la maendeleo ya watu badala ya maendeleo ya vitu. Lakini kitu anachotakiwa kukisema wazi ni jinsi gani atatengeneza hizo ajira. Hizo fly over na reli wote tunajua ilikuwa ni mipango ya JK na yeye kaitekeleza tu. Kitu alichofanya ambacho hatukuwa kukisikia ni Bwawa la Umeme la Nyerere. So far simuoni kama yuko creative ..... ingawa wote tunajua ni msimamiaji mzuri.
 
Ni kweli baada ya 28/10/2020 apige kote kote kwenye ajira na hayo maendeleo etc ingawa pia tukumbuke dunia inapita kwenye wakati mgumu na hiyo covid-19 etc na tunategemea na mataifa mengine kama UK etc

Unemployment rate hits highest level in three years​

Published19 minutes ago
Related Topics

The UK unemployment rate has surged to its highest level in over three years as the pandemic continues to hit jobs.
The unemployment rate grew to 4.5% in the three months to August, compared with 4.1% previously.
An estimated 1.5 million people were unemployed in the period, 209,000 more than a year earlier, the Office for National Statistics (ONS) said.
It comes as the government prepares to impose tough local lockdown rules that will force some businesses to close.
Jonathan Athow, the ONS's deputy national statistician for economic statistics, said: "In the latest period almost half a million fewer people were in work than just before the pandemic, while almost 200,000 others said they were employed but were currently not working nor earning any money.
"Since the start of the pandemic there has been a sharp increase in those out of work and job hunting but more people telling us they are not actively looking for work.
"There has also been a stark rise in the number of people who have recently been made redundant."

Related Topics​

More on this story​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…