Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wote tunafahamu kuwa michezo ni afya..wakati dunia nzima kukiwa tumebakiwa na league chache tu zinazoendelea za Mpira wa miguu, kumezifanya ligi hizo zijipatie umaarufu mkubwa. Ligi zilizobaki ni ligi kuu ya Beralus, ligi daraja LA pili ya beralus, ligi kuu ya Nicaragua, ligi kuu ya Turkmenistan, ligi kuu ya Taiwan na mapema wiki ijayo ligi kuu ya korea kusini inatazamiwa kuendelea.. Hivyo natoa wito kwa mamlaka husika kuruhusu ligi ya Mpira wa miguu (VPL) kuendelea ili vilabu viweze kujipatia pesa zamatangazo ya television na kuipatia umaarufu duniani.
Utakuwa shabiki wa mbumbumbu. Mnahofu Mo hatakuwa na fedha kipindi hiki cha corona kuwapa mnunue mechianatafuta wapi kuna weak points ku win the masses. anajua michezo ina watu wengi..... atawafurahisha na kupata support
Toka chato uje DDM/DSM ukutane na watu tutajua korona imekwisha
The way hiyo kitu ita boost maambukiz at very high rate is such a way hatutokuwa salama sana. Hata waki enforce laws viwanjan. Kwa jinsi wabongo walivyo na mizaha hawatojli tena. Watajiachia.Wote tunafahamu kuwa michezo ni afya..wakati dunia nzima kukiwa tumebakiwa na league chache tu zinazoendelea za Mpira wa miguu, kumezifanya ligi hizo zijipatie umaarufu mkubwa. Ligi zilizobaki ni ligi kuu ya Beralus, ligi daraja la pili ya beralus, ligi kuu ya Nicaragua, ligi kuu ya Turkmenistan, ligi kuu ya Taiwan na mapema wiki ijayo ligi kuu ya Korea Kusini inatazamiwa kuendelea.. Hivyo natoa wito kwa mamlaka husika kuruhusu ligi ya Mpira wa miguu (VPL) kuendelea ili vilabu viweze kujipatia pesa za matangazo ya television na kuipatia umaarufu duniani.
Utashangaa wale waheshimiwa waliojifungia wanawasha kideo kuangalia mechi za yanga
Hiyo ni habari mbaya kwa utopolo fc maana hakuna kitu wataambuliaHabari mbaya kwa mikia wazee wa dezo
kina magufuli wapo wengi,dezo ipi?unajua msimamo wa ligi weweHabari mbaya kwa mikia wazee wa dezo
kina magufuli wapo wengi,dezo ipi?unajua msimamo wa ligi weweHabari mbaya kwa mikia wazee wa dezo
muda mwingine natamani corona imdedishe huyo mtu mmoja ili tutie akiliTuendelee kutumia akili za mtu mmoja tutaelewana tu baadaye.
Kama kwenye ukoo wako hakuna aliyekufa na kuugua corona utashangilia sana
muda mwingine natamani corona imdedishe huyo mtu mmoja ili tutie akiliTuendelee kutumia akili za mtu mmoja tutaelewana tu baadaye.
Kama kwenye ukoo wako hakuna aliyekufa na kuugua corona utashangilia sana
Si vema kumuombea MTU mabaya ila ikimpata itasaidia kuelewa namna tatizo lilivyomuda mwingine natamani corona imdedishe huyo mtu mmoja ili tutie akili
Unajua mafioso style wewe..mdosi kachoka watu watacheza mechi zote za mikia alafu Chuma mwenyewe atakuwa anaangalia mechi zote liveHiyo ni habari mbaya kwa utopolo fc maana hakuna kitu wataambulia
"Not everything is for everybody"
Punguza jazba mpaka unatuma msgs mbilikina magufuli wapo wengi,dezo ipi?unajua msimamo wa ligi wewe
muda mwingine natamani corona imdedishe huyo mtu mmoja ili tutie akili
kutuma sms mbili mbili ni jazba? unajua msimamo wa ligi?unajua kama Simba anahitaji kufunga mechi 3 kati ya 11 kutangazwa bingwa?Punguza jazba mpaka unatuma msgs mbili