Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wote tunafahamu kuwa michezo ni afya..wakati dunia nzima kukiwa tumebakiwa na league chache tu zinazoendelea za Mpira wa miguu, kumezifanya ligi hizo zijipatie umaarufu mkubwa. Ligi zilizobaki ni ligi kuu ya Beralus, ligi daraja la pili ya beralus, ligi kuu ya Nicaragua, ligi kuu ya Turkmenistan, ligi kuu ya Taiwan na mapema wiki ijayo ligi kuu ya Korea Kusini inatazamiwa kuendelea.. Hivyo natoa wito kwa mamlaka husika kuruhusu ligi ya Mpira wa miguu (VPL) kuendelea ili vilabu viweze kujipatia pesa za matangazo ya television na kuipatia umaarufu duniani.