Rais Magufuli, vunja vunja Wizara hii katika uchapakazi wako Ikulu

Husiogope, sijawai kuona au hata kusikia kuna mtu kachomolewa humu JF na wanaojipendekeza kwa mkurlu kwa maoni aliyochangia na kubuluzwa mahakamani.

So dont worry kijana
Hide my ID plz
 
Itakuwa kichekesho, na vile una makalio makubwa mji wote utazizima kwa kicheko, doh tumuombee JPM aibuke kwa lengo moja tu la kuyaona makalio yako jombaa
Jiwe akizinduka natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua. Kutakuwa hamna haja ya kuendelea kuishi tena.
 
Embu tucheze kamali kidogo tujue huyu mzee yupo kweli au hayupo,
Roma ampitie lissu hapo Brussels waje tuangalie kama nyumba haina mwenyew. ni mtazamo
Wapambe wataua
 
Mpuuzi wewe wananchi unataka kuwaongezea mzigo? Waziri anafanya kazi peke yake hakuna wakurugenzi wa wizara na staff wengine? kwanza ilitakiwa wizara zisiwe zaidi ya 7
 
Wasameheni wooote maana hakuna ajuae alipo mwana wa adam mpaka saa hii wa nje na wa ndani
 
Aivunje hiyo Wizara yee akiwa wapi??
Tuanzie hapo kwanza.
 
Wacha yeye avunjwe kwanza.
 
Ukitaka kumtesa Mtanzania, mnyime Habari anayotaka kuisikia kwa hamu na shauku kubwa. [emoji16][emoji16][emoji16] ni mtazamo tuu msikasirike washkaji
Uko sahihi mkuu kwa hali ilivo huku mtaani ni shida.
 
Mmmmm, subiri kidogo! Unataka hayo yafanyike lini? Mimi sipo, subiri wenyewe warudi, watakupa jibu.
 
anashuhulikaje na wazee jinsia na watoto ukiacha afya.wewe mzee wako kashawahi kushuhulika nae??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…