Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Wagombea watarajiwa wa CCM wajipime kwanza kama wanatosha, wasikurupuke tu na kwenda kukiumiza chama

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Wagombea watarajiwa wa CCM wajipime kwanza kama wanatosha, wasikurupuke tu na kwenda kukiumiza chama

Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM amewataka wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wajipime kwanza kama wana ubavu badala ya kukurupuka.

Amewataka wagombea kujipima uwezo wao na kulinganisha sifa walizonazo na zile za watia nia wengine kama huna unachowazidi ni heri ukakaa pembeni badala ya kukipa chama mzigo.

Chanzo: ITV habari

My take:
Nakubaliana na Rais Magufuli kwa 100%

Hapa kwa Lugha nyepesi tu ni kwamba kama umeshajigundua Wewe hauko katika ' Team Magufuli ' usijisumbue Kugombea Nafasi yoyote utajuta!
 
Kwani huyu mzee ana mpango wa kugombea tena jamani
 
Watia nia.wengine..wapi.hao.sasa wakujipima.kwao.kwanza?
 
Aondoe nguvu ya polisi na kuweka time huru hapo huo ubavu wao utatosha
 
Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM amewataka wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wajipime kwanza kama wana ubavu badala ya kukurupuka.

Amewataka wagombea kujipima uwezo wao na kulinganisha sifa walizonazo na zile za watia nia wengine kama huna unachowazidi ni heri ukakaa pembeni badala ya kukipa chama mzigo.

Chanzo: ITV habari

My take:
Nakubaliana na Rais Magufuli kwa 100%
Ianzie kwake, yeye atatosha?. .... Watia nia wasishughulikiwe ki Membe Membe ili apatikane aliye bora zaidi.
 
Alete kwanza sera ya ccm 2015-2020 amefanya nini?
Acha roho ya kutu. Ilani ya Ccm imetekelezwa vizuri kabis. Miundo mbinu imeimarishwa, hospital na vituo vya afya vimejengwa,rushwa na ubadhilifu umedhibitiwa na Elimu bure shule ya msingi mpaka form four, we unataka nini?
 
Anaonekana anaogopa zaidi ushindani wa ndani ya chama kuliko wa nje, kazi anayo, hayo manunuzi mnayoendelea kuyafanya mpaka leo hayata waacha salama, lazima mvurugane tu.

Hata kama wengine mmewahamishia CUF na NCCR, kazi mnayo, mnakurupuka na mipango fake bila kufikiria outcome.
Acha uzushi na chuki za kisiasa. Chadema nyie ni mafisadi.
 
Tayari hofu kuu imeikumba CCM kuelekea 2020. Kauli hii ya Mwenyekiti taifa CCM isichukuliwe kwa wepesi na kina johnthebaptist wafia chama ambao Mwenyekiti John Pombe Joseph Magufuli amewaita diehards

June 1, Dodoma
Tanzania



Source: millard ayo
JPM amenena ukweli.
 
Acha roho ya kutu. Ilani ya Ccm imetekelezwa vizuri kabis. Miundo mbinu imeimarishwa, hospital na vituo vya afya vimejengwa,rushwa na ubadhilifu umedhibitiwa na Elimu bure shule ya msingi mpaka form four, we unataka nini?
Mim nataka 50mln za kila kijiji.
 
Mliozoea kupewa kwa kuvua Pichu mjiandae atawefyeka kwelikweli.
 
Mkuu unataka kutuaminisha kua Lwakatale na silinde nao wamenunuliwa?
Mwanaume kutongoza ufanikiwe sio lazima utoe pesa kila wakati, pesa inatumika zaidi km kilainishi, lakini hata mpangilio wa maneno yako pekee yanaweza kuwa yanatosha.
 
Tulipokuwa tunafanya procurement hatukuyaona haya?
 
Back
Top Bottom