Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

Haa haa. Something is very wrong in upstairs. Hata hajui kuwa barakoa hazivaliwi muda wote mpaka unapokuwa umelala au uko nyumbani. Anajifanya hajui kuwa barakoa ni pale unapokuwa kwenye msongamano wa watu wengi tu.
Nanukuu tena... "Siku ina masaa 48"
 
kukubali Nini?!!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Ni vema akalihutubia Taifa ili kuweka mwongozo thabiti dhidi ya Corona.
 
Kwenye corona ukijitoa ufahamu na kujitia una roho ngumu lazima unyooshwe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo hii kauli tu ya kwamba vaeni barakoa ndio mlikuwa mnaipigania?

Vituko haviishi duniani
 
Kwahiyo mmeridhika, hadi muambiwe mvae barakoa ndio mfurahi. Vaeni sasa baba yenu kasema
Mkuu kauli ya kiongozi ina mamlaka na ni rahisi watu kuitii, kiongozi sio sawa na wewe anapoongea.

Rais akiongea utopolo kuna watu wanajazwa utopolo
Akiongea sense kuna watu wanapata sense.

Take it to the head.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo hii kauli tu ya kwamba vaeni barakoa ndio mlikuwa mnaipigania?

Vituko haviishi duniani
Sasa unavaaje barakoa wakati naniiii..... haipo TZ??
 
Hii paragraph imehitimisha nia ya serekali katika kupambana na janga la corona ni ipi.

Imagine social distancing pamoja na kuvaa barakoa vimepondwa na kuonekana kuwa havina maana na maombi yamewekewa msisitizo!View attachment 1708025
Magufuli ana ugomvi binafsi na mzee Barakoa. Inabidi wapatanishwe kama hawajaumizana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…