Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kama Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure mbona yanafanyika maombi mengi sana dhidi ya Corona ikiwa ni pamoja na kufanga ila bado watu wanapukutika?Kwani wapi amesema havina maana?
Mbona unataka kumlisha maneno???
Amesisitiza maombi kwa sababu Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure!
Maombi ndiyo msingi wa yote..tukifanya hayo mengine yote tukasahau maombi itakuwa kazi bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujaona mafanikio Yake kwa mwaka 2020 Basi una matatizo.Kama Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure mbona yanafanyika maombi mengi sana dhidi ya Corona ikiwa ni pamoja na kufanga ila bado watu wanapukutika?Ni sahihi kufanya kitu ambacho hakina msaada?Matokeo ya maombi huwa yanapimwaje?Yaani nikitaka kujua mafanikio ya maombi katika kapambana na Corona napimaje?
Tuna kiongozi tunayeambiwa ni mwanasayansi lakini haamini mambo ya kisayansi, kweli elimu ya bongo ni nyosoNdio amesema muendelee "kujifukizia" hata wasaidizi wake wameumwa na wamepona kwa "kujifukizia". Hata watoto wake wameumwa na wamepona kwa kujifukizia heheh! kumbe Rais ana dawa sisi tunahangaika tu!
Akili ya kisoda hii, niko na barakoa yangu hapa una jingine?Afya yako ni wajibu wako. Anza kwanza wewe kutelekeza wajibu wako..unataka rais aje akuvalishe barakoa na unaijua corona vizuri. Acha visingizio
Wapambe wengi wa jiwe wala hawatambui majukumu yake kama raisUnayajua majukumu ya Rais?? isome katiba vyema hapo ndipo kuna msingi wa malalamiko, wananchi hawakurupuki.
Umejuaje kuwa mafanikio ya mwaka 2020 yalitokana na maombi na wala siyo kutokana na sababu nyingine kama vile zile hatua tulizochukua kipindi kile ambapo kipindi hiki hatujazichukua,labda ilitokana na kirusi cha Corona variant 1 ambacho hakikuwa kikali kwetu na sasa hivi labda tuna variant 2 ambacho ni kikali zaidi,e.t.c?Kama hujaona mafanikio Yake kwa mwaka 2020 Basi una matatizo.
Mwaka huu kitaifa yameanza Jana 20 February..ni siku tatu.
Hii haimaanishi tutaishia hapo.
Wewe endelea kubeza kila kitu na kumlisha maneno ambayo hajayaongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamwambia atumie kitu ambacho hana. Mtu mwenye akili hawezi kuwa na mawazo butu hivyoUchumi gani ambao Tanzania iko nao hadi mataifa makubwa yafanye nayo vita? South Afrika, Misri, Nigeria wao watasemaje kama Tanzania itasema ni vita? Tumia hata ka akili kadogo uliko nako kufikiri.
Utajua weweAkili ya kisoda hii, niko na barakoa yangu hapa una jingine?
Kuna kampeni ya kifamilia, wilaya, mkoa na kitaifa na kwa kila ngazi kuna kiongozi wake na huyo kiongozi anawajibu wake hata ngazi ya kimataifa kuna kiongozi wake akivurunda huko tutalalamika tu.Utajua wewe
Ukikakaa nje ya Dsm kizembe lazima uchakaeMagufuli kachakaaa ghafla nini shida.?
Mtu aliyezoea matumizi ya nguvu kwa kila kitu pasipo na akili ni majangaHii hotuba Rais ameitoa makusudi kumjibu Askofu mkuu yuda Thadeus ruwaichi. Hii siyo sawa kabisaa kufanywa na mkuu wa nchi. Halafu Rais magufuli huwa anatuonaje!?? Kwenye hotuba yake anasema; Barakoa kitaalam inatakiwa kuvaliwa kwa masaa 4, kisha uitupe na kuvaa nyingine. Rais anasema siku ina masaa 48, kwa hiyo utalazimika kuvaa barakoa 12 kwa siku..!!
Hivi Rais wetu mbona anatudharau Sana sisi wapiga kura wake!?? Yaani kweli siku moja ina masaa 48?? Halafu kwani barakoa unavaa hata ukiwa umelala??
Rais usitufanyie hivyo bhaana!
Waliotilia shaka usomi wake wana hojai thought usomi wake ungemsaidia lakin 0.
yaan amejenga maadui wake kichwani ambao hawaonekani.
na mbaya zaidi analazimisha wananchi waamini the same.
na mtu yoyote aliekaribu nae asipoamini hivyo basi lazima afukuzwe ateuliwe mwingine.
Baadhi ya ndugu zangu walokole mnajazana sana upepo wa ujingaKwani wapi amesema havina maana?
Mbona unataka kumlisha maneno???
Amesisitiza maombi kwa sababu Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure!
Maombi ndiyo msingi wa yote..tukifanya hayo mengine yote tukasahau maombi itakuwa kazi bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia Bwana asipoulinda mji waulindao wanakesha bure.Umejuaje kuwa mafanikio ya mwaka 2020 yalitokana na maombi na wala siyo kutokana na sababu nyingine kama vile zile hatua tulizochukua kipindi kile ambapo kipindi hiki hatujazichukua,labda ilitokana na kirusi cha Corona variant 1 ambacho hakikuwa kikali kwetu na sasa hivi labda tuna variant 2 ambacho ni kikali zaidi,e.t.c?
Umesoma nilichomjibu?Baadhi ya ndugu zangu walokole mnajazana sana upepo wa ujinga
Nimebeza wapi?Mimi nahoji masuala!Unaposema kuwa ingekuwa kuchukua hatua peke yake wenzetu wangeshinda kwani umejuaje kuwa hakuna wenzetu waliomtanguliza Mungu mbele?Nimekwambia Bwana asipoulinda mji waulindao wanakesha bure.
Ingekuwa kichukua hatua pekee kunatosha basi mataifa ya wenzetu wangekuwa wanaishinda Corona.
Kuchukua tahadhari pekee hakutoshi,ndiyo maana Rais anasisitiza maombi na Mungu ni mwaminifu atatenda tena.
Wewe endelea kubeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kujazana ujinga mitandaoni na uraiani wakati rais wenu anachukua tahadhari ya daraja la kwanzaUmesoma nilichomjibu?
Umesoma comment Yake?
Basi onyesha wewe ni wapi Rais amesema kuchukua tahadhari hakuna maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu anajibu kwa kadiri ya mapenzi yake na kwa wakati wake sahihiNimebeza wapi?Mimi nahoji masuala!Unaposema kuwa ingekuwa kuchukua hatua peke yake wenzetu wangeshinda kwani umejuaje kuwa hakuna wenzetu waliomtanguliza Mungu mbele?
Wajinga ni nyie mnaombeza kwa sababu amesema tuombe.Endeleeni kujazana ujinga mitandaoni na uraiani wakati rais wenu anachukua tahadhari ya daraja la kwanza
Huyo Mungu anaeacha watu wapukutike kwanza halafu aje baadae kwa wakati wake sahihi kuja kujibu maombi huyo ni mungu mnafiki na mzandiki!Mungu anajibu kwa kadiri ya mapenzi yake na kwa wakati wake sahihi
Umebeza maombi tangu mwanzo