Whiteman confusing
JF-Expert Member
- Sep 12, 2020
- 328
- 279
Jiwe hana msimamo,
Hanaendahenda tuu.. Kama vichaa wengine
Hanaendahenda tuu.. Kama vichaa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuH Bado hujaridhika.....!Tiyari ameanza kukubali taratibu, nilivyokuwa nasikia namna anavyozungumza Majaliwa kwenye Msiba wa Balozi kijazi nikajua kabisa anasafisha njia kwa Jiwe kukubali Corona ipo nchini na watu wanapaswa kuchukua taadhari
Mimi nashauri angehutubia Taifa moja kwa moja kuhusu hili suala linalogharimu maisha ya watu na siyo kujificha makanisani kutoa matamko ya chini kwa chini kwa Jambo serious kama hili
Ni hatari kubwa wagonjwa wa corona kutibiwa kwenye zahanatiWahanga wa cororna walitakiwa wawe traced na watibiwe eneo maalum sio kujichanganya hospital na wagonjwa wengine. Na pia ukishajua huyu ni mgonjwa wa corona unatakiwa atibiwe kwa tahadhari lakini imekuwa kinyume. Wagonjwa wa covid wametapakaa kwenye zahanati
Wafadhili ndio nao mmewajibu kwa nyodo, msaada wa corona ndo basi tena. Kkila mwananchi apambane kivyake.
Wale wazee wasio na hata hela ya kula wakiumwa wakimbilie wapi?
Ni hatari
Serikali ya ovyo
Kama kachanganyikiwa vile.Siamini yuko sawa kuongea vile kanisanjIla jamaa ameisha
Hata mimi sijasikia nataka kujua unauza wapi hiyo nyanya chungu je inalipa. Tupige hela kabla covid haijatumalizaSijasikia je kazungumzia na Nyungu hapo kanisani ama. Nipo Kimamba nalima nyanya Chungu hapa Rudewa.
Cha ajabu waliomsifia wakati akisema hakuna corona hata kwenye hili watamsifia tena !Ameongea vizuri mno Mh. Rais hongera sana
Hujaelewa na hautaelewa.Yeye huo ufanisi ameupimaje?
hujielewi, kama ni free rider na unaogolea kwenye anasa za uongozi huu mbovu, omba, tena omba sana, haka kamdudu Mungu afanye jambo kaondoke, ama sivyo huyu mtu wenu hakakwepi this time around.Sema una ombwe kwa sababu wewe siyo msemaji wa Watanzania. Je, wewe umezuiiwa kuifuata hiyo miongozo?
Tulishqnyimwa tulipoinhia kwenye.mkutano wa serikali pale Dodoma.Walisema wazi mkiingia msiingie na Barakoa.mkuu apendi kuona hivyo .Sasa tukajiuliza sisi.ni watu wa afya
Misongamano na kukaribiana na kuchanganyika,Pia watu waliokufa kwa Corona wanazikana hovyo na kuongeza maambukizi mara dufu!
Wewe ni mjinga wa kiwango cha kumzidi shetani kabisa. Serikali kama serikali ule ni ufalme uliosimikwa na Mungu, mambo yote unayoyaona usije dhani yapo kwa bahati mbaya, ni calculated. Uzuri rais wetu anahofu ya Mungu na anamuamni Mungu ndiye mponyaji wa taifa, so ujinga wenu wala si kitu kwake.He is now coming to his sense.
Alikuwa anawasifia watu wasipovaa barakoa sasa akili inaanza kumrudia.
Alisema corona haipo sasa akili inamrudia kuwa huu msala upo na hauna utani.
Nimesikia sasa anakimbilia kwenye vita ya uchumi, eti hii ni vita ya uchumi, corona ni vita ya uchumi, uchumi gani?
Nilitaka ku laik hii comment naogopa sasa kwenda hela.hujielewi, kama ni free rider na unaogolea kwenye anasa za uongozi huu mbovu, omba, tena omba sana, haka kamdudu Mungu afanye jambo kaondoke, ama sivyo huyu mtu wenu hakakwepi this time around.
hakuna mtu amewahi cheza na moto usimuunguze.
Huyu Jiwe sidhani anajua hata anachongea ni nini?Magufuli kupinga watu kuvaa barakoa labda iltaka kumuua.View attachment 1708031
Kama unakumbuka siku ile akiwa na yule waziri wa china kule chato aliongea vizuri zaidi?Ameongea vizuri mno Mh. Rais hongera sana
Nadhani kijazi anamtokea ndotoni.Huyu Jiwe sidhani anajua hata anachongea ni nini?
Ukivaa vizuri ukivua vizuri 🦍, ana weweseka hovyo kwa kusababisha vifo vya watu wengi
Safari hii hadithi ya pneomonia imebuma