Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sasa kumbe n hvyo kama yy ndo amiri jesh mbona asijiamin tu yaishe [emoji23][emoji23]Labda Kwa taarifa alizonazo zinaonesha watu wa eneo hilo ndio wamekuwa obstacle Kwa Mambo mengi..kuwaogopa sidhani kwakuwa Ni Ngumu Sana Kwa Taasisi anayoingoza kuogopa mtu, kikundi /jamii ya watu au Taasisi yoyote ndani ya Jamuhuri hii.
DuuuhManeno yake tu ni kama mtu aliyeishiwa pumzi na yupo mbioni kukata roho..
Rais wa hovyo sana huyu...yaani CCM wanajuta kukichukua hiki kirusi na kukipa madaraka ya juu ya nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchochezi ππDuuuh
ππππMchochezi ππ
.Mimi nina mashaka na yeye pia,Anaonekana ametoka kupona,ila kikohozi bado,amekohoa si chini ya mara5 hivi,alijifanyia Self isolation..
Mnapenda kuminya watu mbupu ?