Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Hapo kasema maneno murua Kabisa, "Mtu kwao".
Nashangaa kuna ''misukule'' kila kukicha inawazia ulaya, wakati hao ulaya wenyewe wanawadharau zaidi kuliko takataka za jalalani. Tatizo wengi hawawafahamu wazungu wamekuwa malimbukeni. ''charity begins at home.''