mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Mtoto wa mbowe ana Corona mpaka sasaCorona ukipona unaweza kuugua tena
Hivi Chadema Kwanini Wengi mpo hamjitambui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa mbowe ana Corona mpaka sasaCorona ukipona unaweza kuugua tena
Hivi Chadema Kwanini Wengi mpo hamjitambui?
Umewahi kuona wapi misukule ikajitambua?Corona ukipona unaweza kuugua tena
Hivi Chadema Kwanini Wengi mpo hamjitambui?
Kwa sababu mijitu ya moshi ina ukabila sana!Mbona huwa anaogopa sana Moshi na watu wa Moshi huko n kutokujiamini [emoji1787][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akibinywa mbupu uje umchekelee hivi hivi tena[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28],hapo mwisho dawa za kumtibu mamako au?Hahahaaaaaaa,JF bhana!
Umewahi kuona wapi misukule ikajitambua?
Kwanini abinywe?Halafu abinywe na nani?Kumbe kuna watu wanatesa wenzao jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi?Kumbe wasiojulikana mnawajua?
Kuna uwezekano Mkubwa hajui kwanini anajisikia rahaKwa nini unasikia raha!!??
Najisikia amani na raha kubwa kuwa na Rais makini kama huyu,Mungu mbariki JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yake kaingiaje? Dahh jamani kuweni na breki Basi.Dalili za mtu aliyechanganyikiwa na kukata tamaa ni hizi
kutokuwa consistency
kushindwa kukumbuka aliyosema
•corona hakuna tunatishana
•ligi iendelee tu
•huku shule umefunga
•natuma ndege ikalete dawa za corona Madagascar- sasa hakuna corona, halafu dawa za kumtibu mamako au?
Hapo ndio patamu kakaUkisema unakamatwa unasekwa ndani
Yaaani rais wa nchi aiogope Moshi? Chadema mmechanganyikiwa kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]Mbona huwa anaogopa sana Moshi na watu wa Moshi huko n kutokujiamini [emoji1787][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufa na wewe uwe miongoni mwa hao 1000, unadhani wewe ndiyo mtazamaji kwenye hii show?Nayamani watu wafe hata 1000 kwa siku ndo mtajua kuwa mnasifu ujinga kwa kutafuta vyeo
Sent using Jamii Forums mobile app
ukisikia rais kuchanganyikiwa ndiko huku!“Wengine wanasema nipo Chato, kwani waliambiwa Chato sitakiwi kuwepo?, hapa si ndio nilipozaliwa na hata nikifa nitazikwa hapa kuna ubaya gani nikiwa Chato? , nikienda Moshi watasema nipo Moshi nimekimbia sijui wapi!, tuache siasa za ajabu” -JPM
•
“Wengine wako DSM wanasema Watu wasiende Bungeni, na nimeagiza wasilipwe posho maana utalipwa kwa kazi uliyofanya, kuna mambo ya ajabu yanafanyika, sina imani na Mkuu wa Mabaara ya Taifa maana haiwezekani tupeleke sampuli za papai zioneshe zina corona” -JPM
#MillardAyoCORONATZ
#JPMChato