bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Ph.D za UDSM ni kiboko kwa kweli.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ph.D za UDSM ni kiboko kwa kweli.
Anaziona wapi wakati tv zote zinaonyesha yeye tu. Kumbe na yeye ana chungulia kama sisi, kweli Lissu ni kibokoHayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Si kweli acheni upotoshaji jamani mbona Vyama vinginr vinarusha matangazo??....Si wao waliwafukuza TBCHeshima yangu yote kwa huyu mtu nimeifuta rasmi.
Drone akataze, kurusha hata kwenye taarifa ya Habari TBC akataze, leo anaongea upupu namna hii?
Rais mzima anajisifia mafuriko ya wananchi? Tena yakutengeneza?
Kwa mujibu wa taarifa za wasaidizi wake Jpm zile ni edited pictures. Sasa nashangaa kwanini halali yuko kwenye kampeni tangu saa 12asubuhi. Hadi ana pigishwa magoti na wasanii walio soma KkkKwaiyo na zile video zinazoonesha lissu akitoa speech akiwa jukwaani huku maelfu ya watu wakimshangilia nazo zimefojiwa?
Magufuli kiboko yao.Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Ila wanao mzunguka wana faidi kwa kumdanganya kwamba ana kubalika na ana pendwa.. Tukutane 28/10magu haelewi tabia za wananchi anao waongoza,kwanza kajaribu kuleta ubaguzi wa kikabila na kikanda ili uwe rahisi kujiongezea muda Amefeli vibayakwenye hilo
Edited video.Kwaiyo na zile video zinazoonesha lissu akitoa speech akiwa jukwaani huku maelfu ya watu wakimshangilia nazo zimefojiwa?
Tatizo huyu mzee hana siri. Mambo wanayofanya CCM ndo kaja kuyasema kuwa yanafanywa na Chadema.Hayo kayasema asubuhi hii Tabora
View attachment 1576965
Live kwa CCM kwani ndiyo husomba watu na mafuso mpaka wanafunzi husombwa hata walimsomba mama maria nyerereHajui kama sasa kila kitu laivu