Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Rais mwislamu, waziri mkuu mwislam kwanini unataka waende kanisani?Nimependa kuona salam za Christmas's za viongozi wa Kitaifa. Ningependa kusikia kauli zao kuhusu upungufu wa maadili, kuongezeka mauaji, kero za huduma ikiwemo upungufu wa umeme. Lakini bado sijaweza kusikia salamu zao rasmi.Au awajashiriki misa ya Christmas's? Au watazungumza nasi jioni?
Merry Christmas kwenu nyote; tupendane na kuvumiliana
Vuta subra, soon utazisikia tuu !.Nimependa kuona salam za Christmas's za viongozi wa Kitaifa. Ningependa kusikia kauli zao kuhusu upungufu wa maadili, kuongezeka mauaji, kero za huduma ikiwemo upungufu wa umeme. Lakini bado sijaweza kusikia salamu zao rasmi.Au awajashiriki misa ya Christmas's? Au watazungumza nasi jioni?
Merry Christmas kwenu nyote; tupendane na kuvumiliana
Maadili sio jambo linalopaswa kushughulikiwa na serikali hasa ngazi ya kitaifa. Maadili yanapaswa kuzungumzwa katika ngazi za dini, koo, makabila na kidogo serikali za vijiji.Nimependa kuona salam za Christmas's za viongozi wa Kitaifa. Ningependa kusikia kauli zao kuhusu upungufu wa maadili, kuongezeka mauaji, kero za huduma ikiwemo upungufu wa umeme.
Lakini bado sijaweza kusikia salamu zao rasmi. Au awajashiriki misa ya Christmas's? Au watazungumza nasi jioni?
Merry Christmas kwenu nyote; tupendane na kuvumiliana
Kama hujuwi endelea kutotaka kujuwa.....Nimependa kuona salam za Christmas's za viongozi wa Kitaifa. Ningependa kusikia kauli zao kuhusu upungufu wa maadili, kuongezeka mauaji, kero za huduma ikiwemo upungufu wa umeme.
Lakini bado sijaweza kusikia salamu zao rasmi. Au awajashiriki misa ya Christmas's? Au watazungumza nasi jioni?
Merry Christmas kwenu nyote; tupendane na kuvumiliana
Hata weye P hujuwi NtumeeeeVuta subra, soon utazisikia tuu !.
P