Rais, Mama Samia ni kweli tuna utaalamu na wataalamu wa kisayansi kujiridhisha kama chanjo za corona zinafaa au hazifai?

Rais, Mama Samia ni kweli tuna utaalamu na wataalamu wa kisayansi kujiridhisha kama chanjo za corona zinafaa au hazifai?

..njia pekee ya kujiridhisha Kama chanjo inafaa ni kufanya clinical trial...Kwa kuwapa watu chanjo na kuangalia matokeo yake...Jambo ambalo tz hawajafanya...huwezi kujua ufanisi wa chanjo Kwa maneno ...tz siasa za kishenzi zitazidi kutuponza..Huku watu wakifa...na sasa mashehe wanajipanga kwenda macca hijja....na wao ndio wapinga chanjo wakubwa..tuone Kama hawatachanjwa....mana bila chanjo hamna safari ya hijja...
Umeongea kweli tupu! Ni clinical trial, basi mengine ni siasa! tena siasa za kishenzi...
 
Uko sahihi , siyo lazima uwe mbabe, then you are informed and then you act! Mama anasema tutajiridhisha, Kwenye hard science unanzia wapi? Lazima uwe mbabe kwenye eneo husika! Kuna kuwa knowledgeable na kuwa informed..... We need to be knowledgeable in science rather than being informed.... All in all, let us act from WHO information, be informed..... to me nilivyomuelewa Mama anasema apart from such authorities, tutajiridhisha zaidi, HOW?
Braza nadhani hiyo ni ile ya nipe jibu nitafakari kumbe hutaki kuonekana umekubali haraka. Inawezekana vigezo vya kwenda Ulaya vikawa chanjo ni lazima kama vile ile ya manjano. Hivyo wataalam lazima waje na jibu la ndio
 
means hata wahadhiri wa Universities zetu wako kwenye mkumbo huo ie 60% ni incompetent..............kama ni hivyo ni disaster. Hao ndio wajue kama chanjo inafaa au haifai? Never!
60% Ni kwa ujumla. Kiidara kuna asilimia zake.
Inawezekana vyuo wakawa juu au chini ya hiyo
 
Braza nadhani hiyo ni ile ya nipe jibu nitafakari kumbe hutaki kuonekana umekubali haraka. Inawezekana vigezo vya kwenda Ulaya vikawa chanjo ni lazima kama vile ile ya manjano. Hivyo wataalam lazima waje na jibu la ndio
umenena haswa! na ndicho wanachokifnya wana siasa! Nimetafakari sana eti tutajiridhisha, How? where do you start?
 
Simply hatuna wataalamu wa kubaini kama chanjo inafaa au haifai kwetu! Haya mambo siyo rahisi kama wanavyokuaminisha. Hatuna Investigators brochure (IB) za hizo chanjo, then how do you judge the safety of an investigational product? (sidhani kama J&J, Moderna, Pfizer utawalazimisha wakupe hizo IB zao)
Kama jamaa wanashinda kwenye panya pale SUA badala ya kuhangaikia chanjo ya kwetu wenyewe unategemea nini?
Kama wanasiasa wanakwenda kukutana na akina Bill Gates halafu wanakuja kuishauri serikali inunue chanjo unategemea tutatoboa mwanangu!!!?
 
means hata wahadhiri wa Universities zetu wako kwenye mkumbo huo ie 60% ni incompetent..............kama ni hivyo ni disaster. Hao ndio wajue kama chanjo inafaa au haifai? Never!
Ni disaster kweli kweli,

Wahadhiri wenyewe kina Dr.Bashiru na kina Palamagamba mzee wa jalalani
 
Simply hatuna wataalamu wa kubaini kama chanjo inafaa au haifai kwetu! Haya mambo siyo rahisi kama wanavyokuaminisha. Hatuna Investigators brochure (IB) za hizo chanjo, then how do you judge the safety of an investigational product? (sidhani kama J&J, Moderna, Pfizer utawalazimisha wakupe hizo IB zao)
Do we have national competent authorities with the requisite expertise to make a final word on these vaccines' safety?
Wataalamu may be wanaweza kuwepo, lakini Je wana "nyenzo" za kubaini kama chanjo zinafaa? Unaanzia wapi kusema kuwa haifai au inafaa? This is hard science ambayo haina ubabaishaji....
Tuanze sasa ku invest katika hizi hard sciences, say Muhimbili kuwa na vaccinology dept ambayo itakuwa na ubia na makampuni makubwa ya vaccines and the like!
Kwani Corona yenyewe hata ipo basi, njaa tu za madalali hizi.., 😂😂
 
..njia pekee ya kujiridhisha Kama chanjo inafaa ni kufanya clinical trial...Kwa kuwapa watu chanjo na kuangalia matokeo yake...Jambo ambalo tz hawajafanya...huwezi kujua ufanisi wa chanjo Kwa maneno ...tz siasa za kishenzi zitazidi kutuponza..Huku watu wakifa...na sasa mashehe wanajipanga kwenda macca hijja....na wao ndio wapinga chanjo wakubwa..tuone Kama hawatachanjwa....mana bila chanjo hamna safari ya hijja...
Clinical trial ndo njia pekee ya ku-prove any medical substance efficacy and safety, tofauti na hapa hii kamati itatuingiza chaka tu when it comes to vaccine ..labda waje na solution nyingine tofauti na vaccine or any medical substance.
 
Back
Top Bottom