Rais, Mawaziri, Wabunge wa maafisa/watumishi wengine wa Serikali hawalipi kodi lakini ndiyo wanapangia wengine kiasi cha kodi cha kulipa

Rais, Mawaziri, Wabunge wa maafisa/watumishi wengine wa Serikali hawalipi kodi lakini ndiyo wanapangia wengine kiasi cha kodi cha kulipa

Hebu tuangalie Tafsiri hizi juu ya kodi kisha tuendelee kujadiliana: Tafsiri ya kodi kwa kiswahili (kwa mujibu wa wikipedia) "Kodi (ushuru) ni malipo ya lazima ya pesa au aina nyingine ya malipo yanayotozwa na taasisi ya serikali kwa mujibu wa sheria kutoka kwa mlipakodi (mtu binafsi au chombo kingine cha kisheria) ili kufadhili matumizi mbalimbali ya umma"

Na ile ya Kiingereza "a compulsory contribution to state revenue, levied by the government on workers' income and business profits, or added to the cost of some goods, services, and transactions"

Ukiangalia hiyo Tafsiri ya kiingereza hapo nilipokoleza wino inaweka wazi kuwa "on workers'income" kwa maana hiyo hata wafanyakazi wa umma wanalipa kodi. Ile tafsiri ya kiswahili japo haijaweka wazi lakini hapo nilipokoleza wino pia " chombo kingine cha kisheria" inaweza kuwa na maana kutoka taasisi zinazotambuliwa rasmi na serikali, kwa maana hiyo kodi pia hutozwa kwa wafanyakazi wa taasisi hizi.
Soma vizuri hapo. Levied by goverment on worker's income. Hiyo goverment inayotoza kodi ni ipi? Ndiyo wabunge, Rais, mawaziri na wafanyakazi wa serikali. So, serikali(Rais, mawaziri, wabunge na watumishi wa serikali,) ndiyo inayotoza wengine kodi. Wao wanaitumia kwa kufanya shughuli, kutoa huduma na kulipana mishahara. Kuhusu kodi wao hawalipi hata mia.


Na sina hakika sana, lakini wafanyakazi wa serikali ni civil servants, sidhani kama ni workers wale wazalishaji.
 
Watumishi wa serikali ni watu muhimu sana. Na kwa kuona umuhimu huo ndiyo maana watu wapo tayari kutumia kodi zao kuwalipa mshahara. Lakini ukweli ni kuwa wao hawalipi kodi.

Huwezi tumia mshahara uliotokana na kodi kulipa kodi. Ongezeko kwenye makusanyo ya kodi kutoka kwenye mishahara ya watumishi wa umma ni sifuri.
Moja ya matumizi ya serikali ni pamoja na malipo ya watumishi, ujenzi wa miundombinu na manunuzi ,matengenezo n.k. Je wewe unapomlipa house girl wako unakuwa umemuhonga au ni haki yake? Hawa ni watumishi wa uuma na serikali haina chanzo cha mapato zaidi ya kodi na mikopo sasa ulitaka iwalipe kwa kutumia nini au ulitaka wajilipe kwa njia ya rushwa?
 
Moja ya matumizi ya serikali ni pamoja na malipo ya watumishi, ujenzi wa miundombinu na manunuzi ,matengenezo n.k. Je wewe unapomlipa house girl wako unakuwa umemuhonga au ni haki yake? Hawa ni watumishi wa uuma na serikali haina chanzo cha mapato zaidi ya kodi na mikopo sasa ulitaka iwalipe kwa kutumia nini au ulitaka wajilipe kwa njia ya rushwa?
Malipo hayo ni stahiki yao kabisa kwa kazi walizofanya. Lakini shida ni pale wanapotaka kusema na wao wanalipa kodi. Rais, mawaziri, wabunge, na wafanyakazi wengine wote wa serikali hawalipi kodi hata mia. Wao wanatumia kodi. Ubaya ni pale haohao wanapopangia wanaolipa kodi kiasi cha kulipa.

Hivi mchungaji ambaye mshahara wake unatokana na sadaka, akilipa sadaka kutakuwa na ongezeko lolote la sadaka iliyolipwa? Je ni sawa kwa mchungaji anayelipwa kutokana na sadaka kupewa mamlaka ya kuamua na kupanga kiasi cha Sadaka kinachopaswa kulipwa na kila mtu? Si siku zote atataka sadaka iwe juu?!
 
Soma vizuri hapo. Levied by goverment on worker's income. Hiyo goverment inayotoza kodi ni ipi? Ndiyo wabunge, Rais, mawaziri na wafanyakazi wa serikali. So, serikali(Rais, mawaziri, wabunge na watumishi wa serikali,) ndiyo inayotoza wengine kodi. Wao wanaitumia kwa kufanya shughuli, kutoa huduma na kulipana mishahara. Kuhusu kodi wao hawalipi hata mia.


Na sina hakika sana, lakini wafanyakazi wa serikali ni civil servants, sidhani kama ni workers wale wazalishaji
Nimekuelewa vizuri hoja yako asante
 
Salama.

Huwa viongozi na watumishi wa serikali wakijinasibu kuwa wanalipa kodi, lakini kilogic watu hawa hawalipi kodi hata kidogo, badala yake ni watumia kodi.

Wataalamu waliochunguza swala hili walikuja na mfano ufuatao. Ikitokea nchi ikakusanya kodi sifuri, basi kuanzia Rais, Waziri, Mbunge, na watumishi wa Serikali mishahara yao itakuwa 0, na hiyo kodi wanayodai kulipa kutoka kwenye mshahara itakuwa sifuri.

Watu hawa wanasubiria kodi iwape mshahara ndiyo 'eti' walipe kodi! Hawa ni watumia kodi na si walipa kodi. Mtu akisema mshahara wangu ni 1,000,000 halafu nalipa kodi 100,000, ni kuwa huyu halipi kodi yoyote na mshahara wake ni 900,000. Haongezi pesa yoyote kwenye kodi ya nchi. Tofauti na mfanyakazi wa sekta binafsi ambaye anazalisha bidhaa au huduma, anauza na kulipa kodi. Huyu ndiye anachangia kwenye kodi/utajiri wa nchi.

Sasa basi, hawa wala kodi siku zote watataka kodi iongezeke ili wapate kikubwa zaidi cha kutafuna. Na ubaya ni kuwa wamepewa mamlaka ya kuamua nani alipe kodi kiasi gani, matokeo yake kila siku kodi na tozo vitaongezeka.

Inabidi hili suala liangaliwe vizuri. Kodi kwenye mazao, biashara, madini nk isibadilishwe bila kushirikisha wadau wa sekta hizo. Kuna vyama vya wafanyabiashara, wakulima, wafugaji nk, wanatakiwa wote kuhusishwa na michakato ya kodi. Si sawa kwa anayefaidika na kodi kupangia wengine kodi ya kulipa.
sijajua kama kweli una abc za taxation.mm naamini haitatokea nchi ikakusanya kodi zero.ss tumeadapt mifumo ya kodi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea.mfanyakazi analipa kodi kama hujui pekua vitabu zaidi upanue wigo wa maarifa yake.
 
sijajua kama kweli una abc za taxation.mm naamini haitatokea nchi ikakusanya kodi zero.ss tumeadapt mifumo ya kodi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea.mfanyakazi analipa kodi kama hujui pekua vitabu zaidi upanue wigo wa maarifa yake.
Wafanyakazi wanaolipa kodi ni wale walioajiriwa sekta binafsi. Na kwa nchi nyingi, hata hapa kwetu ndiyo wengi. Ukitoa wanajeshi, wafanyakazi wa Umma nchi hii hawafiki laki sita. Hili la kusema mtu kama Rais au mawaziri na wabunge wanalipa kodi ni udanganyifu.
 
Kwa akili yako mbovu unadhani wafanyakazi wa serikali ndio serikali yenyewe.

Kwahiyo wanatakiwa kufanya kazi BURE bila malipo yoyote.
 
Salama.

Huwa viongozi na watumishi wa serikali wakijinasibu kuwa wanalipa kodi, lakini kilogic watu hawa hawalipi kodi hata kidogo, badala yake ni watumia kodi.

Wataalamu waliochunguza swala hili walikuja na mfano ufuatao. Ikitokea nchi ikakusanya kodi sifuri, basi kuanzia Rais, Waziri, Mbunge, na watumishi wa Serikali mishahara yao itakuwa 0, na hiyo kodi wanayodai kulipa kutoka kwenye mshahara itakuwa sifuri.

Watu hawa wanasubiria kodi iwape mshahara ndiyo 'eti' walipe kodi! Hawa ni watumia kodi na si walipa kodi. Mtu akisema mshahara wangu ni 1,000,000 halafu nalipa kodi 100,000, ni kuwa huyu halipi kodi yoyote na mshahara wake ni 900,000. Haongezi pesa yoyote kwenye kodi ya nchi. Tofauti na mfanyakazi wa sekta binafsi ambaye anazalisha bidhaa au huduma, anauza na kulipa kodi. Huyu ndiye anachangia kwenye kodi/utajiri wa nchi.

Sasa basi, hawa wala kodi siku zote watataka kodi iongezeke ili wapate kikubwa zaidi cha kutafuna. Na ubaya ni kuwa wamepewa mamlaka ya kuamua nani alipe kodi kiasi gani, matokeo yake kila siku kodi na tozo vitaongezeka.

Inabidi hili suala liangaliwe vizuri. Kodi kwenye mazao, biashara, madini nk isibadilishwe bila kushirikisha wadau wa sekta hizo. Kuna vyama vya wafanyabiashara, wakulima, wafugaji nk, wanatakiwa wote kuhusishwa na michakato ya kodi. Si sawa kwa anayefaidika na kodi kupangia wengine kodi ya kulipa.

Fnn4deYWYAE-Pmf.jpeg
 
Salama.

Huwa viongozi na watumishi wa serikali wakijinasibu kuwa wanalipa kodi, lakini kilogic watu hawa hawalipi kodi hata kidogo, badala yake ni watumia kodi.

Wataalamu waliochunguza swala hili walikuja na mfano ufuatao. Ikitokea nchi ikakusanya kodi sifuri, basi kuanzia Rais, Waziri, Mbunge, na watumishi wa Serikali mishahara yao itakuwa 0, na hiyo kodi wanayodai kulipa kutoka kwenye mshahara itakuwa sifuri.

Watu hawa wanasubiria kodi iwape mshahara ndiyo 'eti' walipe kodi! Hawa ni watumia kodi na si walipa kodi. Mtu akisema mshahara wangu ni 1,000,000 halafu nalipa kodi 100,000, ni kuwa huyu halipi kodi yoyote na mshahara wake ni 900,000. Haongezi pesa yoyote kwenye kodi ya nchi. Tofauti na mfanyakazi wa sekta binafsi ambaye anazalisha bidhaa au huduma, anauza na kulipa kodi. Huyu ndiye anachangia kwenye kodi/utajiri wa nchi.

Sasa basi, hawa wala kodi siku zote watataka kodi iongezeke ili wapate kikubwa zaidi cha kutafuna. Na ubaya ni kuwa wamepewa mamlaka ya kuamua nani alipe kodi kiasi gani, matokeo yake kila siku kodi na tozo vitaongezeka.

Inabidi hili suala liangaliwe vizuri. Kodi kwenye mazao, biashara, madini nk isibadilishwe bila kushirikisha wadau wa sekta hizo. Kuna vyama vya wafanyabiashara, wakulima, wafugaji nk, wanatakiwa wote kuhusishwa na michakato ya kodi. Si sawa kwa anayefaidika na kodi kupangia wengine kodi ya kulipa.
ndugu yangu hapa umelikoroga kweli na sijui unatumia principle gani hiyo ya kiuchumi.kwamba mtumishi halipi kodi!unamainisha nini hasa mm bado sijaielewa hoja yako ya msingi.kwa hiyo mfano kiwanda kimeajiri wafanyakazi na hao wafanyakazi wakikatwa kodi kwenye mishahara hiyo siyo kodi.labda tuweke sawa tukuelewe.
 
Back
Top Bottom