Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri juu ya mambo ya kiongozi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu pendwa. Mh Rais.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.