Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Sio mwandiko wake.Ningesema ni yeye anajipigia promo ila siwezi kusema hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mwandiko wake.Ningesema ni yeye anajipigia promo ila siwezi kusema hivo
Tatizo mtu hata uwe na IQ kubwa kiasi gani ukienda CCM tu ujue wanafubaza akili yako ili uwe kama wao.Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri juu ya mambo ya kiongozi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu pendwa. Mh Rais.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.
Nisamehe mkuu Robert! Nakuombea aisee Ukipata shavu usinisahau ndugu yangu kitaaa kugumu.Ndo shida yenu wanajamiii forum mtu akiongea ukweli mnaanza matusi badala ya kutoa hoja anafaa au hafai ova,alafu mnajiita critical thinker?
hoja yako ungeijenga kwenye msingi wa hao wengi,Wapo wengi wanaoibua

Wafanya masikhara nini. Kuna mama lishe naendaga kula hapa Misungwi anasema anakaribia kufunga genge maana watu siku hizi wanakula mara moja tu hata haelewi nini kimetokea. Mtaani kunazidi kuwa kugumu; na wakati huo huo uchumi unakua kwa kasi, TRA wanavuka malengo ya makusanyo na mikopo mikubwa mikubwa inazidi kutiririka. Tatizo liko wapi? Ni mafisadi yanakomba pesa zote na hazifiki mitaani ama? 😲Mtaani pagumu sana.
Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri juu ya mambo ya kiongozi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu pendwa. Mh Rais.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.
Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri juu ya mambo ya kiongozi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu pendwa. Mh Rais.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.
Nilikua naitafuta hii comment 🤣Ningesema ni yeye anajipigia promo ila siwezi kusema hivo
Huyo chizi , hafai hata kua mjumbe wa nyumba kumiRais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri juu ya mambo ya kiongozi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu pendwa. Mh Rais.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.
Ukiangalia ni njaa tu, anatafuta ulaji tu kwa mrija. Hakuna maslahi ya Taifa hapo ama sivyo asingeomba kujiunga na serikali inayowapoteza wapinzani wake.Huyo chizi , hafai hata kua mjumbe wa nyumba kumi
Swali la nyongeza huyo Robert unayempigia chapuo amezindikwaa usije ukamponza mtoto wa watu.Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri juu ya mambo ya kiongozi kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu pendwa. Mh Rais.
Rais najua una macho mengi yamo humu ndani yanakusaidia kuangalia kinachoendelea ndani ya utawala wako.
Rais ikikupendeza nakuomba umteue huyu ROBERT HERIEL wa humu Jamiiforums akusaidie kukuandikia hotuba za kitaifa.
Rais nimeamua kuandika hili kwa sababu nimeona team Yako inayokuandikia hotuba haipo vizuri sana kiasi kwamba kuweza kuwavuta watu waache Kazi zao, na kuja kukusikiliza wewe, nimesikiliza hotuba nyingi sana zako, hazina mvuto, sana hazigusi hisia za makundi mbalilmbali, kama watu chini, masikini, wamachinga, wafanyakazi, wafanya biashara n.k
Rais ningetamani sana kuona watu wanavutiwa na hotuba zako zaidi kwa kugusa hisia za wananchi mbalimbali ndani ya Taifa letu pendwa la Tanzania.
Rais kwanini umteuwe huyu ROBERT HERIEL?
1. Ni mwandishi mzuri sana wa mambo ya kijamiii, kisiasa, kiuchumi, na kn, ameandika makala mbalimbali zinahusu mambo mbalilmbali.
2. Huyu mtu ni gifted namna ya kutumia lugha inaweza kuibua hisia za watu wa rika na makundi mbalilmbali.
3. Mtu huyu anajua mambo mengi yanahusu jamii, changamoto na anatoa soluhisho zake.
4. Amewai pewa tunzo na jukwaa hili la jamii forum, ya kuwa miongoni mwa wandishi bora zaidi ya expects 100000 wa humu ndani .naomba mods mniwekee huo uzi unaonesha huyo ROBERT HERIEL akichukua tunzo.
5. Anawezo mkubwa wa kufanya uchambuzi wa maswala mbalilmbali ya kijamiii, kiusalama,kisiasa,kiuchumi nk.
6. Mtu huyu Mh.rais hafungamani na CHAMA chochote hii ni baada ya kuona makala zake alizoandika. Nisikuchoshe sana mh.raisi
Bila shaka hata wajumbe wa humu jamii forum wanakubaliana na mimi kuwa huyu mtu ni special gifted in writing skills. Nakuomba kwa unyenyekevu mkubwa mh rais fanya nae Kazi huyo mtumishi wa Mungu , sina wasifa wake ( cv) ila najua mods watakuwa wanajua cv yake.
Namba yake ya simu nitaiweka hapa chini hii namba huwa anaweka karibia kila makala yake, jamani mm sio Robert msiseme najipigia debe ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania na kumsaidia mama.
"Nakuomba mods" niwekee badhi ya links za nyuzi zake za huyu ROBERT HERIEL I'li mh. Rais aone kwa macho yake mwenyewe
Pia naomba mods uzi huu ukae angalau siku tatu au zaidi ikiwapendeza utawala wenu I'li mh raisi aupate. Hii ni kwa ajili ya kuwamotivate wanajamiii forum,Lakini pia cv yake ni muhimu sana muweke hii ni kwa ajili ya masilai mapana ya taifa na wanajamiii forum wote nawasilisha .
By mwinjilist Gabeji.
Ni kweliMwamba kajq na ID nyingine kujipigia Promo!...