Rais, mchukue Robert Heriel wa JamiiForums awe mwandishi wako wa hotuba 2025

Rais, mchukue Robert Heriel wa JamiiForums awe mwandishi wako wa hotuba 2025

kwa maslahi mapana ya familia hii pana na muhimu sana ya JF, nadhani angebaki humu humu kwenye platform hii ili hatimae aendelee kuibua hisia zenu vizuri zaid kama ambavyo point yako ya pili inavyosema. Akiondoka nani atachochea hisia tena humu jukwaani?

au mbadala wake atakua nani kwa mfanao, na itapendeza zaidi :pulpTRAVOLTA:
Ushaanza zengwe 😄

Ova
 
kwa maslahi mapana ya familia hii pana na muhimu sana ya JF, nadhani angebaki humu humu kwenye platform hii ili hatimae aendelee kuibua hisia zenu vizuri zaid kama ambavyo point yako ya pili inavyosema. Akiondoka nani atachochea hisia tena humu jukwaani?

au mbadala wake atakua nani kwa mfanao, na itapendeza zaidi :pulpTRAVOLTA:
Mbadala ni wewe na Lucas, mnatububujisha machozi ya furaha
 
Nakushukuru Mkûu Kwa mambo yafuatayo;
1. Kuvutiwa na maandiko na Kazi zangu.
2. Kuonyesha kujali na kutambua Kazi zangu waziwazi mbele za umma ningali mzima.
3. Kunipromoti na kunipa hadhi ya kuonwa na taasisi ya Urais. Kwangu hiyo ni heshima kûbwa

4. Kûtumia Muda wako kuandika Makala ndefu kuonyesha HISIA, maonî, mtazamo na matamanio yako juu yàngu.

Hukujali kama Wengine watasemaje lakini wewe ukajali Uhuru wako wa kutoa maonî.

Nawashukuru na wôte ambao hutumia Muda waô kuwasiliana na Mimi na kunipa pongezi Kwa njia ya Kúpiga Simu, Kûtuma SMS, Kûtuma zawadi, n.k.

Mungu akubariki Sana.
Ahsante sana
 
Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni
UMETUMWA?? au ndiye mwenyewe kwa ID nyingine???
Yaweza kuwa self promotion 😃😃🤣Vituko!!
 
the way anavyompamba rais samia,the way anavyo record,na kufuatilia matukio ya mh. rais samia na tunavyojua urais ni taasisi nyeti na haitakiwi kusemewa vibaya hata kama inafanya vibaya namna gani,luka yeye kiukweli anastahili cheo hiki.
 
Back
Top Bottom