Rais Mgufuli Mwambie Raila Odinga Asichome KENYA

Rais Mgufuli Mwambie Raila Odinga Asichome KENYA

Phillemon Mikael

Platinum Member
Joined
Nov 5, 2006
Posts
10,557
Reaction score
8,673
Raila anaonekana hataki kukubali matokeo., ni.wakati sasa Rais Magufuli ambaye ni rafiki yake binafsi ajitenge na kusema hamuungi mkono tusikie

Sisi watanzania hatutaki vurugu zitokee Kenya , Aige mfano wa.Edward lowassa ambaye pamoja na ushahidi wa kuibiwa kura kuwepo na vituo vya Tallying centre vya Chadema kuvamiwa na vijana kama 100 wataalamu wa IT kuwekwa ndani bado alijizuia na..kukaa kimya pamoja na wananchi..kuwa tayari kupigania ushindi na...kuandamana kupinga Magufuli kuiba...kura .

Ni unafiki kama...yeye Lowassa hajamzuia...kutawala asimshauri huyo rafiki yake amuache Uhuru...atawale.
Kwanza Raila pia alishiriki kuibia watanzania kura mwaka 2015,..akimtuma.msaidizi wake mmoja...kuongoza timu.ya IT ILIYOKUWA.DOUBLE TREE HOTEL..na kumeletea rafiki..yake pesa za kampeni

Bora wakenya mmemuadhibu Raila . mnhetawaliwa kwa visasi kama..huko Tanzania
Pia raila ni..project ya muda...mrefu...ya kutawala afrika mashariki ya Kagame na Museveni...tayari wamekamata Congo kupitia Kabila.
TANZANIA tumeshatekwa..kupitia..huyu..ndugu yao mwaka 2015 na walitaka kutumia Raila kuteka Kenya
THE BAHIMA EMPIRE SYNDICATE
 
nukta nukta nyiingi sijui inamaana gani!
aliekuambia lowasa alikua akiutaka urais nani? lile lilikua changa la macho mjomba! kusha kucha ndugu.
 
Ukisha mjua huyu mtu ni nani. Nakitu gani alichosema kwenye kikao na NASA baada ya Uhuru kutangazwa mshindi basi huna sababu yakumuusisha Magufuli kwenye hili jambo.Keep quite and watch the game.
IMG_20170811_152528.jpg
 
Raila anataka kuichoma Kenya kama alivyofanya 2007,kuwatumia maskini wa slums na kuonyesha hana imani na taasisi ambazo yeye mwenyewe alisaidia kuziunda. Huyo ni kiongozi mpotovu wa aina gani anayetaka Kenya iharibike sababu ya mtu mmoja?
 
Raila anaonekana hataki kukubali matokeo., ni.wakati sasa Rais Magufuli ambaye ni rafiki yake binafsi ajitenge na kusema hamuungi mkono tusikie

Sisi watanzania hatutaki vurugu zitokee Kenya , Aige mfano wa.Edward lowassa ambaye pamoja na ushahidi wa kuibiwa kura kuwepo na vituo vya Tallying centre vya Chadema kuvamiwa na vijana kama 100 wataalamu wa IT kuwekwa ndani bado alijizuia na..kukaa kimya pamoja na wananchi..kuwa tayari kupigania ushindi na...kuandamana kupinga Magufuli kuiba...kura .

Ni unafiki kama...yeye Lowassa hajamzuia...kutawala asimshauri huyo rafiki yake amuache Uhuru...atawale.
Kwanza Raila pia alishiriki kuibia watanzania kura mwaka 2015,..akimtuma.msaidizi wake mmoja...kuongoza timu.ya IT ILIYOKUWA.DOUBLE TREE HOTEL..na kumeletea rafiki..yake pesa za kampeni

Bora wakenya mmemuadhibu Raila . mnhetawaliwa kwa visasi kama..huko Tanzania
Pia raila ni..project ya muda...mrefu...ya kutawala afrika mashariki ya Kagame na Museveni...tayari wamekamata Congo kupitia Kabila.
TANZANIA tumeshatekwa..kupitia..huyu..ndugu yao mwaka 2015 na walitaka kutumia Raila kuteka Kenya
THE BAHIMA EMPIRE SYNDICATE

Acheni kum drag Magufuli utafikiri yeye ndo kagombea, hivi mkoje ninyi?
Alipo kataa matokeo mara tatu yaliyopita nani mlimwambia amwambie Raila? Mna nini ninyi watu?
 
Raila anaonekana hataki kukubali matokeo., ni.wakati sasa Rais Magufuli ambaye ni rafiki yake binafsi ajitenge na kusema hamuungi mkono tusikie

Sisi watanzania hatutaki vurugu zitokee Kenya , Aige mfano wa.Edward lowassa ambaye pamoja na ushahidi wa kuibiwa kura kuwepo na vituo vya Tallying centre vya Chadema kuvamiwa na vijana kama 100 wataalamu wa IT kuwekwa ndani bado alijizuia na..kukaa kimya pamoja na wananchi..kuwa tayari kupigania ushindi na...kuandamana kupinga Magufuli kuiba...kura .

Ni unafiki kama...yeye Lowassa hajamzuia...kutawala asimshauri huyo rafiki yake amuache Uhuru...atawale.
Kwanza Raila pia alishiriki kuibia watanzania kura mwaka 2015,..akimtuma.msaidizi wake mmoja...kuongoza timu.ya IT ILIYOKUWA.DOUBLE TREE HOTEL..na kumeletea rafiki..yake pesa za kampeni

Bora wakenya mmemuadhibu Raila . mnhetawaliwa kwa visasi kama..huko Tanzania
Pia raila ni..project ya muda...mrefu...ya kutawala afrika mashariki ya Kagame na Museveni...tayari wamekamata Congo kupitia Kabila.
TANZANIA tumeshatekwa..kupitia..huyu..ndugu yao mwaka 2015 na walitaka kutumia Raila kuteka Kenya
THE BAHIMA EMPIRE SYNDICATE
Chadema haikuibiwa kura na CCM na wala haitatokea. CCM ilishinda mchana kweupe. Acheni siasa zenu za kitoto na huyo mamvi wenu. Angalia idadi ya wabunge wa CCM na CHADEMA ndiyo urudi ufikirie. Hata hizo kura mlizopqta CHADEMA mliiba sema waliwashtukia katikati. Hakuna mtu anaweza penda Lowa wenu na kumpa NCHI. Mnapoteza muda may be mtafute mwingine na si yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raila anaonekana hataki kukubali matokeo., ni.wakati sasa Rais Magufuli ambaye ni rafiki yake binafsi ajitenge na kusema hamuungi mkono tusikie

Sisi watanzania hatutaki vurugu zitokee Kenya , Aige mfano wa.Edward lowassa ambaye pamoja na ushahidi wa kuibiwa kura kuwepo na vituo vya Tallying centre vya Chadema kuvamiwa na vijana kama 100 wataalamu wa IT kuwekwa ndani bado alijizuia na..kukaa kimya pamoja na wananchi..kuwa tayari kupigania ushindi na...kuandamana kupinga Magufuli kuiba...kura .

Ni unafiki kama...yeye Lowassa hajamzuia...kutawala asimshauri huyo rafiki yake amuache Uhuru...atawale.
Kwanza Raila pia alishiriki kuibia watanzania kura mwaka 2015,..akimtuma.msaidizi wake mmoja...kuongoza timu.ya IT ILIYOKUWA.DOUBLE TREE HOTEL..na kumeletea rafiki..yake pesa za kampeni

Bora wakenya mmemuadhibu Raila . mnhetawaliwa kwa visasi kama..huko Tanzania
Pia raila ni..project ya muda...mrefu...ya kutawala afrika mashariki ya Kagame na Museveni...tayari wamekamata Congo kupitia Kabila.
TANZANIA tumeshatekwa..kupitia..huyu..ndugu yao mwaka 2015 na walitaka kutumia Raila kuteka Kenya
THE BAHIMA EMPIRE SYNDICATE
Tukulize ulikuwamo alipo mzuia au ni mawazovyako mgando kama babycare ndio yamekutuma uposti hu ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisha mjua huyu mtu ni nani. Nakitu gani alichosema kwenye kikao na NASA baada ya Uhuru kutangazwa mshindi basi huna sababu yakumuusisha Magufuli kwenye hili jambo.Keep quite and watch the game.View attachment 565138
Mim nashangaa hawa vijana wa chadema kisa kiongozi wao wamemsaport uhuru sasa wanafikiri magu anaupumbavu wa kuingilia ya watu mzee wawatu kakaa kimya tangu harakati za uchaguzi ziaze nyie ufipa mwashwa juu yake kazi imoo kwenuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raila anaonekana hataki kukubali matokeo., ni.wakati sasa Rais Magufuli ambaye ni rafiki yake binafsi ajitenge na kusema hamuungi mkono tusikie

Sisi watanzania hatutaki vurugu zitokee Kenya , Aige mfano wa.Edward lowassa ambaye pamoja na ushahidi wa kuibiwa kura kuwepo na vituo vya Tallying centre vya Chadema kuvamiwa na vijana kama 100 wataalamu wa IT kuwekwa ndani bado alijizuia na..kukaa kimya pamoja na wananchi..kuwa tayari kupigania ushindi na...kuandamana kupinga Magufuli kuiba...kura .

Ni unafiki kama...yeye Lowassa hajamzuia...kutawala asimshauri huyo rafiki yake amuache Uhuru...atawale.
Kwanza Raila pia alishiriki kuibia watanzania kura mwaka 2015,..akimtuma.msaidizi wake mmoja...kuongoza timu.ya IT ILIYOKUWA.DOUBLE TREE HOTEL..na kumeletea rafiki..yake pesa za kampeni

Bora wakenya mmemuadhibu Raila . mnhetawaliwa kwa visasi kama..huko Tanzania
Pia raila ni..project ya muda...mrefu...ya kutawala afrika mashariki ya Kagame na Museveni...tayari wamekamata Congo kupitia Kabila.
TANZANIA tumeshatekwa..kupitia..huyu..ndugu yao mwaka 2015 na walitaka kutumia Raila kuteka Kenya
THE BAHIMA EMPIRE SYNDICATE
Ushauri huu ungeanza kumpatia maalim
 
Raila ulishiriki kuiba kura za lowasa ona sasa na wewe umeibiwa na Kenyatta

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Wewe mzee bila shaka umelewa wakati unauleta huu uzi, yaani wazee wa CDM ndio nimeishiwa hadi kuleta propaganda za kitoto hizi.
 
Ukisha mjua huyu mtu ni nani. Nakitu gani alichosema kwenye kikao na NASA baada ya Uhuru kutangazwa mshindi basi huna sababu yakumuusisha Magufuli kwenye hili jambo.Keep quite and watch the game.View attachment 565138
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9]
 
Back
Top Bottom