Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri gani huu,kwani kafa kuku,hivi una mtoto hata wakusingiziwa kweli wee?mkuu... mimi nakushauri muache mtoto apumzike. unaweza ukafanyika uchunguzi lakini haitobadilisha ukweli kuwa hivi sasa tunaomboleza.
hivyo ni vigumu mtu yeyote kukubali kirahisi ràhisi kupokea kifo cha mpendwa wake. ila ninacho kushauri liache hilo lipite Muda utaleta jibu...!
Samahani mkuu, kwanza nikuulize tu kama una mtoto??
Maana nisje nikakuonea bure kumbe haujui hata uchungu wa mtoto kwa mzazi.
(Ma)saa (ma)tatuMwanza - Dar kwa ndege ni kiasi gani?
Mkuu huku mtu anaweza andika kitu Kama muhusika ila asiwe yeye ila Ni raia mwema anataka toa taarifa ya tukio maana anajua kilicho tendekaMtoto kafia Lindi, mzazi kalazwa Bugando (Mwanza), mwili ukaletwa Dar es Salaam kwa mzazi.
Mzazi yupo wapi?
Ushauri mzuri na waBusaramkuu... mimi nakushauri muache mtoto apumzike. unaweza ukafanyika uchunguzi lakini haitobadilisha ukweli kuwa hivi sasa tunaomboleza.
hivyo ni vigumu mtu yeyote kukubali kirahisi ràhisi kupokea kifo cha mpendwa wake. ila ninacho kushauri liache hilo lipite Muda utaleta jibu...!
Mwili kufantiwa uchunguzi kubaini sababu ya kifo ni kumtendea haki marrhemu na familia yake.mkuu... mimi nakushauri muache mtoto apumzike. unaweza ukafanyika uchunguzi lakini haitobadilisha ukweli kuwa hivi sasa tunaomboleza.
hivyo ni vigumu mtu yeyote kukubali kirahisi ràhisi kupokea kifo cha mpendwa wake. ila ninacho kushauri liache hilo lipite Muda utaleta jibu...!
Na pengine hela ndio imekuwa chanzo cha kifo kwani yawezekana alicheleweshewa matibabu kisa pesa…ni lazima matron hapa aeleze huyu mtoto alianza kuumwa lini?Intelegensia inaonyesha kijana alikuwa anaumwa, na mzazi alituma fedha kwa matibabu ya kijana, lakini yaelekea kijana fedha hizo hazikumfikia kumtibu hivyo zilipigwa juu kwa juu, - matron- anamajibu yote!
Wapi kasema umeletwa Dar. Wacha ujuaji kwenye kila.kitu wewe dogo. Kama mzazi alipata taarifa ya kifo cha mwanaye akiwa Mwanza either kikazi au ndio asili yao na alienda huko huku makazi yake yakiwa Dar je? Pumbavu mkubwa wewe. Mtu ana msiba alafu unaleta usela mavi.Mtoto kafia Lindi, mzazi kalazwa Bugando (Mwanza), mwili ukaletwa Dar es Salaam kwa mzazi.
Mzazi yupo wapi?
"KWA NINI MKUU WA WILAYA ALILAZIMISHA MWILI KUPAKIWA KULETWA DAR HOPSTALI YA TEMEKE PASIPO RIDHAA YA MAANDISHI KUTOKA LINDI KUJA DAR?". Wewe ni tatizo kwenye jamii.Wapi kasema umeletwa Dar. Wacha ujuaji kwenye kila.kitu wewe dogo. Kama mzazi alipata taarifa ya kifo cha mwanaye akiwa Mwanza either kikazi au ndio asili yao na alienda huko huku makazi yake yakiwa Dar je? Pumbavu mkubwa wewe. Mtu ana msiba alafu unaleta usela mavi.