Rais mpya wa Kenya, William Ruto anaonyesha dalili zote za kutokuwa kiongozi mzuri tangu mwanzo

Rais mpya wa Kenya, William Ruto anaonyesha dalili zote za kutokuwa kiongozi mzuri tangu mwanzo

Mpumbavu huyu, wakenya wameamua kumchagua na mahakama yao ambayo wanaiamini imemthibitisha. Ila yeye yuko huko Nachingwea anaumia.
Lakini kasema kweli ni kama lile debe tupu lenu la chato.
 
Wakenya niliwashauri mumchague Ruto ila ningependa tena kusema hatakuwa kiongozi mzuri kama nilivyokuwa namfikiria. Poleni.

Ameanza kuwanunua wapinzani wake jambo ambalo ni baya sana katika ustawi wa demokrasia, ili nchi yenu iendelee kuwa demokrasia imara mnahitaji watu wenye misimamo na watakaotoa upinzani imara serikali, anachokifanya Ruto ni kuuvunja upinzani uti wa mgongo.

Anaonekana ni mgawanya watu zaidi kuliko kuwa muunganishaji. Kiongozi mzuri anapaswa kuwa mtu muunganishaji. Nimemuona akitoa hotuba huku akimfanyia kebehi Kenyatta, hakuna ulazima wa hilo jambo tena kwa sasa, ni vyema angekaa kimya tu kuliko kumzungumzia kwa mzaha.

Anaonekana muda mwingi sana akiitumia kwenye mambo ya kidini, kwenye makongamano, akihubiri, akiimba, akifanyiwa maombi n.k. Mojawapo ya dalili ya viongozi wabovu na "incompetent" ni kujificha chini ya kivuli cha mambo ya kidini na mara nyingi wakimtaja sana Mungu ili kujionyesha ni watu wema. Bahati mbaya sana hii ni propaganda ambayo hununuliwa na raia wengi wenye akili ndogo.
Wewe inaonyesha huna uelewa wa kupiga kura, wakenya wana uelewa mkubwa sana hawadanganyiki na kipande cha mkate kama nynyi huku au kama wewe unachojaribu kufanya hapa. Ruto mpaka majjaji wote saba tena kwa kauli moja wamemkubali jambo ambalo sio kawaida halafu unaleta uswahili.

Usiyempenda kawa Rais.
 
Una uswahili mwingi sana na maneno matupu ya khanga.
Huwezi chagua jirani, unajifunza kuishi na jirani. Unataka umchagulie jirani baba wa familia? Haitatokea
 
Mmeanza
Kenya ni more developed country usiwaze mambo ya kuilinganisha na bongo
Developed country with many people dying of hunger every year, developed country but depends on food donations from desert countries (UAE), developed country with 60% of it's population can't afford 3 meals a day?[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unafahamu maana ya kuwa na jirani anayejielewa?

Unajua maisha ya Tundu Lissu yaliponea chupuchupu Nairobi na Lema alienda uhamishoni Canada kupitia Nairobi ? Hao walikuwa Wakenya?
Miguna Miguna amefurushwa nchini kwake licha ya mahakama kutoka amri ya kurudishwa Kenya bila masharti yoyote.

Tanzania ndio kimbilio la raia wengi wa Kenya wa kawaida huja kutafuta matibabu Bora na "affordable", bila Tanzania, raia wa Taveta na Mombasa wangekufa kwa wingi kwa kukosa huduma za matibabu.

Tanzania ndio tegemeo la Kenya kupata chakula kwa Bei nafuu, bila chakula toka Tanzania, wakenya wengi zaidi watakufa kwa njaa

Tanzania ndio nchi yenye kuwahifadhi wakenya wengi wenye kufanya kazi na kutuma Nyumbani kwao "remittances" kuliko nchi yoyote hapa Afrika, "without Tanzania, life in Kenya is almost impossible"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wakenya niliwashauri mumchague Ruto ila ningependa tena kusema hatakuwa kiongozi mzuri kama nilivyokuwa namfikiria. Poleni.

Ameanza kuwanunua wapinzani wake jambo ambalo ni baya sana katika ustawi wa demokrasia, ili nchi yenu iendelee kuwa demokrasia imara mnahitaji watu wenye misimamo na watakaotoa upinzani imara serikali, anachokifanya Ruto ni kuuvunja upinzani uti wa mgongo.

Anaonekana ni mgawanya watu zaidi kuliko kuwa muunganishaji. Kiongozi mzuri anapaswa kuwa mtu muunganishaji. Nimemuona akitoa hotuba huku akimfanyia kebehi Kenyatta, hakuna ulazima wa hilo jambo tena kwa sasa, ni vyema angekaa kimya tu kuliko kumzungumzia kwa mzaha.

Anaonekana muda mwingi sana akiitumia kwenye mambo ya kidini, kwenye makongamano, akihubiri, akiimba, akifanyiwa maombi n.k. Mojawapo ya dalili ya viongozi wabovu na "incompetent" ni kujificha chini ya kivuli cha mambo ya kidini na mara nyingi wakimtaja sana Mungu ili kujionyesha ni watu wema. Bahati mbaya sana hii ni propaganda ambayo hununuliwa na raia wengi wenye akili ndogo.
Ukiwa na mtu, mnataka kufanya biashara kila mara anataja Mungu/Dini Unnecessarily kuwa muangalifu
Sisi +255 tume experience hiyo kitu, kulikuwa na Leader ktk kila speech yake alikuwa akisistiza tumuweke "Mungu Mbere"
Ni njia rahisi sana kuhadaa wananchi wa kawaida
Huko kwingine sina la kuchangia la kutahadharisha tu kuna maneno nayo yamekuwa yakitumiwa sana na Madikteta:

Wazawa
Wanyonge
Wazalendo
Wavuja Jasho
Mabeberu

Ukiona kiongozi anatumia sana misamiati hiyo ktk hotuba zake kuwa Muangalifu
Sikiliza hotuba nyingi za Madikteta duniani walikitumia sana maneno hayo kuwapumbaza na kuwahadaa wananchi wa kawaida
 
Walishawahi kukufanyia Kisasi?

Wanifanyie mimi wananijua?

Swali la kimatacor sana

These are the same people in the same political circles,they beef each other....how do I know?Wanachoongea na kudhalilishana on public...

Nimeonea public,kwa maneno yao na vitendo vyao....

Unachobisha wewe maiti ni nini?

Ruto hamdharau na kumsema vibaya Uhuru?Likewise Gachagua anamsema sana Uhuru na familia yake,au mpaka tukupe campaign videos,ambazo zipo youtube for free?

Shut the butt up
 
Wanao mshauri wamwambie ayatengeneze na wapinzani yake. Lakini akianza kwa kutukana kama alivyomtukana Atwoli imekula kwake mazima yaani imekula kwake bigtime, ukweli mchungu huu. Asizani kuongoza watu ni kama kuongoza ngombe. Hakuna mtu mbaya kama anaye tenda dhidi yako akiwa anajilinda ili uhai wake usije ukachezewa. Na anaoshindana nao wana nguvu za kimadaraka na fedha za kutosha. Fedha zilimnunua Yesu Kristo ooowiiii!!!
 
Wanao mshauri wamwambie ayatengeneze na wapinzani yake. Lakini akianza kwa kutukana kama akivyomtukana Atwoli imekula kwake mazima yaani imekula kwake bigtime, ukweli mchungu huu. Asizani kuongoza watu ni kama kuongoza ngombe. Hakuna mtu mbaya kama anaye tenda dhidi yako akiwa anajilinda ili uhai wake usije ukachezewa.
hivi nyie watu mnafahamu jinsi uhuru na raila walivyomdhalilisha Ruto toka mwaka 2018?,

Ruto kadhalilishwa sana, katukanwa sana, kadharauliwa sana na kambi ya uhuru, alafu leo mnamwona Ruto ndio mkorofi au ana roho mbaya ila uhuru ana roho nzuri?

nadhani mnapenda awe mbaya kama alivyokua uhuru +raila
 
Ruto ameanza kujihusisha na dini kabla ya kuingia na siasa!! Ninewahi sikia yeye mwenyewe alikuwa mhubiri yaani Kama wale wanaoweka spika mitaani na kuhubiri
Wakenya niliwashauri mumchague Ruto ila ningependa tena kusema hatakuwa kiongozi mzuri kama nilivyokuwa namfikiria. Poleni.

Ameanza kuwanunua wapinzani wake jambo ambalo ni baya sana katika ustawi wa demokrasia, ili nchi yenu iendelee kuwa demokrasia imara mnahitaji watu wenye misimamo na watakaotoa upinzani imara serikali, anachokifanya Ruto ni kuuvunja upinzani uti wa mgongo.

Anaonekana ni mgawanya watu zaidi kuliko kuwa muunganishaji. Kiongozi mzuri anapaswa kuwa mtu muunganishaji. Nimemuona akitoa hotuba huku akimfanyia kebehi Kenyatta, hakuna ulazima wa hilo jambo tena kwa sasa, ni vyema angekaa kimya tu kuliko kumzungumzia kwa mzaha.

Anaonekana muda mwingi sana akiitumia kwenye mambo ya kidini, kwenye makongamano, akihubiri, akiimba, akifanyiwa maombi n.k. Mojawapo ya dalili ya viongozi wabovu na "incompetent" ni kujificha chini ya kivuli cha mambo ya kidini na mara nyingi wakimtaja sana Mungu ili kujionyesha ni watu wema. Bahati mbaya sana hii ni propaganda ambayo hununuliwa na raia wengi wenye akili ndogo.
 
hivi nyie watu mnafahamu jinsi uhuru na raila walivyomdhalilisha Ruto toka mwaka 2018?,

Ruto kadhalilishwa sana, katukanwa sana, kadharauliwa sana na kambi ya uhuru, alafu leo mnamwona Ruto ndio mkorofi au ana roho mbaya ila uhuru ana roho nzuri?

nadhani mnapenda awe mbaya kama alivyokua uhuru +raila

Tunampenda Ruto ndio maana tuna mshauri vizuri. Asishupaze shingo kwa kushauriwa na Gachaua, Kuria, Murokomeni, yule Mwarabu koko nk. Ruto ndiye itakula kwake wapambe wanahamia kwengine wanaanza kuita Baba. Sisi tunauzoefu wa JPM aepuke pressure zisizo za lazima na kujitakia.
 
Kila la kheri kwa hustler ruto. Wacha tutazame mambo zake.
 
Hebu niambieni hali ya babu Odinga ikoje baada ya kuangukia pua mahakamani? Alijitahidi kufurukuta lakini haikuwezekana! Yeye mwenyewe alijua ameshindwa maana kura zake alikuwa nazo mkononi na za Ruto alikuwa nazo mkononi!!
 
Hivi Uhuru Kenyata anajisikiaje baada ya kutumia nguvu zake zote kumpinga Ruto asiwe rais lakini hakuweza!!
 
Back
Top Bottom