Rais mpya wa Kenya, William Ruto anaonyesha dalili zote za kutokuwa kiongozi mzuri tangu mwanzo

Incompetent leader huwa na tabia za kujifichia kwenye dini Ili kuwahadaa watu
 
Ndio vizuri avuruge Kunyaland kama Mwendazake alivyofanya Ili na sisi tuwakaribie kwenye uchumi
 
Hawezi kuivuruga Kenya kama alivyofyanya mwendazake, Katiba na mifumo ya nchi hiyo haimpi hiyo fursa.
Ndio vizuri avuruge Kunyaland kama Mwendazake alivyofanya Ili na sisi tuwakaribie kwenye uchumi
 
Hizi mbwembwe za kijinga hazikuwahi msaidia Mwendazake 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221111-210723.png
    157.8 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…