Rais mrejeshe Kalemani wizara ya nishati Uchumi ukue

Rais mrejeshe Kalemani wizara ya nishati Uchumi ukue

Kwa heshima na taadhima ninakuomba umrudishe Mhe. Kalemani kuongoza Wizara ya Nishati.

Nakuapia haitafika Mei, 2024 adha hii ya umeme itakuwa imekwisha kabisa. Aliyepo sasa hivi apelekwe Wizara nyingine hawezi kuvaa viatu vya Kalemani.
 
Hawezi kufanya kama alivyofanya Huyo Kalemani 🐼

Ukienda Vitani ukirudi nyumbani lazima ukute mambo yamebadilika 😀😀
 
Kwa heshima na taadhima ninakuomba umrudishe Mhe. Kalemani kuongoza Wizara ya Nishati.

Nakuapia haitafika Mei, 2024 adha hii ya umeme itakuwa imekwisha kabisa. Aliyepo sasa hivi apelekwe Wizara nyingine hawezi kuvaa viatu vya Kalemani.
Ndio ww Kalemani nini umekuja kujipigia promo? Hicho unachoweza kufanya umeme usikatike kamwambie aliye kwenye nafasi afanye. Au lazima ukae ww kwenye hiyo position?
 
Kwa heshima na taadhima ninakuomba umrudishe Mhe. Kalemani kuongoza Wizara ya Nishati.

Nakuapia haitafika Mei, 2024 adha hii ya umeme itakuwa imekwisha kabisa. Aliyepo sasa hivi apelekwe Wizara nyingine hawezi kuvaa viatu vya Kalemani.
Umetumwa siyo? Mwambie hana adabu uwaziri hataupata tena.
 
Maendeleo nchi hii yatachelewa sana kama wananchi wenyewe ndiyo nyie
Mawaziri na watendaji TANESCO siyo tatizo hata kidogo tatizo ni rais
Waziri yuko pale kumbebea rais lawama tu

Mwenendo wa Kalemani TANESCO ni msimamo wa rais Magufuli
Kalemani aliondolewa ili aletwe mwingine apewe msimamo mpya kutoka kwa rais mpya

Kwahiyo mwenendo wa TANESCO ya leo ni msimamo wa Samia

Unafikiri ni nani anaweza kufanya mambo hovyo kwa kiasi hichi unachoona kwenye umeme kumuadibi rais sifa na akabaki salama
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
RC wa Dar Chalamila ameshatangazia umma kuwa umeme upo wa kutosha ila Miundombinu iliyopo haina uwezo wa kubeba umeme hivyo mgao utaendelea hadi mwisho wa dunia.
 
Ulichokitoa kwa hila huwa ngumu kukirudisha. Hata mke ukimuacha kwa hila huwa shida sana kumrudisha, utam face vipi humo ndani? Kila mtu anajua rekodi ya Dr. Kalemani..ajisemeacho Makonda kuwa watu walimfuata mama kizimkazi alipoapishwa tu na kumuambia fulani mtoe sio mtu mzuri, muweke fulani pale.

Mama kashtukia ila kuna baadhi anashindwa kuwarudisha sababu ya aibu. Hizi stress za sasa wala zisingekuwepo..aliwatoa kina Kabudi, kina Lukuvi kule ardhi, kina Kalemani sababu alihisi watakuwa maarufu kuliko yeye.

Hawa watu japo wamepotezwa ila ni maarufu mno. Mfano mdogo ni makonda tu. Alivyorudi mmeona umaarufu wake. Hawa watu walisaidia kukiweka chama mahali pazuri.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Makonda Tena?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani ifike mahali tukubali kama taifa kuwa tulijikwaa pakubwa (tulikosea sana) kumuondoa Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB toka kwenye Baraza la Mawaziri na Wizara ya Nishati.

Hali tuliyo nayo ya nishati ya umeme Tz ni wazi kuwa hatuwezi kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi tu ya uwekezaji mdogo mdogo wa wanyonge.

Ukitathmini tija ya Mhe. Dkt. Kalemani, ya Mhe. January Makamba na ya Mhe. Dkt. Dotto Biteko NWM unaweza kujuwa uamue nini kwa maslahi ya taifa.

Ni wazi utagundua kwamba rekodi ya Mhe. Dkt. Kalemani MB inamsemea bila kuhitaji msaada.

Mhe. David Cameron waziri mkuu mstaafu amerudi kwenye Baraza la Mawaziri la Mhe. Rishi Sunak (PM) akiwa kama Waziri wa Mambo ya Nje.

Mhe. Vladmir Putin aliwahi kuwa waziri, rais, waziri mkuu, rais tena.

Mhe. Dkt. Medard Kalemani MB ni nani kulinganisha na Putin na Cameron hadi tupate shida kumrejesha nishati!?

Tutakapogundua kwamba kumbe tunahitaji zaidi umeme kwa maendeleo ya taifa badala ya kuhitaji mbwembwe za teuzi zisizo makini tutakuwa tumesalimisha taifa.
Maybe uko sawa, lakini kuna kitu kinaitwa “politics”, hili hufanya hata wale best performers kutokuchaguliwa. Ni kweli record zinambeba, lakini je wakubwa watamruhusu?
 
Tatizo ni Rais, Rais hana uchungu na wananchi wake kabisa, kutwa kusafiri nje ya nchi wakati wananchi wake wanateseka. Sijawahi kumuona huyu Rais hata siku moja walau anaenda field kujionea mambo yakoje, yeye ni wa kuletewa ripoti tu na kufanya maamuzi kitu ambacho ni upuuzi mtupu. Mama unaambiwa mabwawa hayana maji, nenda kajihakikishie ni kweli?, Urais wa kukaa tu ofisini kusubiri ripoti ulishapitwa na wakati. Kipindi hiki cha serikali ya awamu ya sita ndo watu wanajipigia mipesa serikalini bila stress.
 
Swala hadi linaongelewa kwa msisitizo na kujibiwa kwa hisia n maneno makali sana, ni dhahiri hii imekua changamoto sugu sasa. Hivi wanaosimamia hii wizara ya nishati, wanahisi nini wanapoona wizara yao imeangukia pua nchi nzima?? Kweli hii changamoto ipo au imetengenezwa?? Hivi hamjiskii aibu kusema mbele ya taifa hamjui lini hii changamoto mtaitatua?? Sipendi kuikejeli na kuilaumu serikali kwa ujumla, ila kwa hili ni dhahiri nyinyi viongozi sio waadilifu. Sisi sio wajinga kiasi cha kutounganisha picha kujua kinachoendelea. Ni mwaka wa2 sasa rufiji hcl ipo asilimia90. Sisi ndio power house wa gesi asilia east n Central africa, lastly kwa sasa ndio tunaumalizia msimu wa mvua. Kwaivyo, gesi ipo, maji yanayohitajika kuzalisha umeme yapo baada ya mvua nyingi za mafuriko n nchi nzima ni shahidi, ila umeme wa uhakika hamna. Kama umeme wa uhakika ulikuwepo hapo awali, vyanzo vya sasa ndio vinazidi kuboreshwa n ingine kuongezeka, basi viongozi waliopo kwenye wizara ndio shidaaah. Mbadilike pia. Mnalipwa pesa nyingi ila matokeo ya kazi zenu ni below average, shame on you. You're an enthusiastic n effortful disappointment to the whole of leadership community. Jiuzuru au badilika. Inaniuma kufikiria kuwa kauli uliyoitoa inamaanisha hata mwezi wa6 utapofika, uwepo wa umeme wa uhakika ni 50%. Kama wewe mwenye wizara hujui, sisi unatuweka katika hali gani??
 
nhi imewekwa chiniya ulinzi (state capture) na genge la watu 8. ..
 
Back
Top Bottom