ujinga ni mzigo,Nataka umfate Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujinga ni mzigo,Nataka umfate Magufuli
Jinga weweJiue umfuate dikteta
Umenena jambo la busara sana. Hakuna kitu kibaya kama kuomba au kujiona huwezi kufanya maendeleo yako bila kuomba. Iwe ni nchi au mtu binafsi. Mbona kuna nchi ndogo ambazo hazina raslimali kama sisi na population ya watu around milioni 5 lakini hazilii njaa kama sisi? Hili la kusingizia kila nchi inaomba ni kukwepa wajibu wetu. Mimi sikumkubali kabisa Magufuli lakini kwenye kujiamini kuwa tunaweza kufanya sisi wenyewe bila kutegemea misaada mingi nitamkumbuka sana. Tatizo nilaloanza kuliona kwa mama Samia ni kuamini kuwa wawekezaji ndiyo watainyanyua nchi yetu na tunatakiwa tuwapigie magoti. Hili linatia shaka kubwa na tuombe Mungu tusirudi hali iwe kama kipindi cha Kikwete ambacho tulikuwa tunakumbatia hata wauza unga kwa kuona ni kama wawekezaji.Mimi nakubaliana na wewe, Ila aina ya misaada ambayo israel inaomba US ni tofauti na sisi.
Hata hivyo kupenda kusaidiwa saidiawa sio sifa, naamini hata wewe hapo unapoishi hupendi kabisa kwenda kuomba msaada kwa jirani tajiri
Mezani kuna kitabu cha JK, sio ndio alichopeleka hapo?Yeye kama nani? Labda kama wamekutana kama marafiki, sio katika capacity ya kibalozi
My best and favorite President ever folowed by Madam Prezida...!Wadau wa JF
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani
Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
Waache waumane. Sisi yetu macho.Ajabu MATAGA hili litawaudhi
Nlihisi hili ndo tatizo mlilo nalo kwenu. Umethibitisha kama ambavyo ulishawahi andika kuwa unaomba msaada upewe ushauri unahisi mmerogwa.😁Madhara ya kuchungulia mama yako akiwa analiwa na kubadilisha pedi lazima akili izame
It’s true kuna makosa. Kikwete alikuwa na makosa yake na mwenda zake pia tunachokataa ni kutorudia makosa .mama aachwe atakapokosea tutamsema tena kwa sauti kubwaa Nan uzuri ni ana sikiliza sauti zetu .tunahitaji kujiamini na kujisimamia kama nchi .kati ya mambo mazuri mwenda zake tutamkumbuka ni kujiamini . We do not need to bow down to anyone for expense of our natural resources .kuna wajinga wana argue ati wameleta misaada mingi poor people wasijue ndo madhara tuliyoyaona awamu ya Nne ya mkwere. Nchi zetu hizi ukishaona vi meeting meeting mshenzi hivi ujue ndo unaingia 18 za beberu
Nina mashaka makubwa na tunakoelekea. Ngoja tumalize hizi siku 100 za mwanzo, pengine mwanga tutauona.Wanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.
Usijue kuwa amekwenda Ubalozi wa US kuhemea chanjo, si tumeambiwa chanjo (brands) za Pfizer-BioNTech/AstraZeneca zimeletwa kwa ajili ya mabalozi na wafanyakazi kwenye balozi zao hapa nchini? Si mnajua 'mtoto wa mjini' huwa hana aibu!Wadau wa JF
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani
Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
Acha watawale tu, bora nitawaliwe na upuuzi wa CCM kuliko ujinga wa hao majamaa.Hawa makamanda uchwara hawaeleweki. Walimuita Kikwete rais dhaifu na Vasco da Gama hivi sasa eti wanaanza kumsifia, ha ha ha. CCM itawatawaleni miaka nenda rudi kwa dizaini hii nyie uchwara wa ufipa.
[emoji106][emoji106][emoji120]Hao “mabeberu” huwa hawatulazimishi kuwagawia bure rasilimali zetu. Ni viongozi wa serikali ya CCM hupenda kuandaa na kusaini mikataba ya kifisadi na “mabeberu”, period. “Beberu” akidai mkataba safi usio na ufisadi ananyimwa fursa na kutangaziwa kila aina ya mipasho.
Wapinzani wakidai mikataba ijadiliwe bungeni wanashambuliwa kwamba hizo ni “siri za nchi”. Kufichua ufisadi ni usaliti kwa taifa; eti unalivua nguo taifa! Ndio sababu hadi leo CHADEMA inatambulika na serikali na manazi wake kama “public enemy number one”. Mwendazake alitaka kuiangamiza na viongozi wake literally.
Huu ujinga wa kudai “mabeberu” wanataka kutuibia ni aibu kubwa sana ya awamu ya 5. Hata corona: eti nayo ni njama za mabeberu kutaka kutuibia rasilimali zetu; wtf! [emoji35] Hakuna mkoloni anayemshikia bunduki mtu siku hizi. Mnajipeleka wenyewe na propoza zenu za kiwizi halafu mnadai mmebakwa! Mbona nchi makini zinasaini mikataba ya maana sana?
Kama aliyowapa Magufuli. Wazalendo hamtakaa muutue huoujinga ni mzigo,
Mhhhh hyu mzeee hata aibu hanaWadau wa JF
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani
Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
Kwan wwe unasemaje?Ajabu MATAGA hili litawaudhi