Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Wadau wa JF


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani

Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
Ukistaafu unastaafu kweli, hii ni nini au kwa vile Rais ni mama
 
Wadau wa JF


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani

Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
Wameshajua nani ni Kiongozi wa nchi hii awamu ya Sita. Wamarekani ni mafukunyuku sana.
 
Kwasasa dunia imekua kijiji...ningumu ujitegemee lazima mtegemeane....mfugaji wakuhama hama yule alitufanya tuonekane vituko sana
Kwa hiyo kupewa sifa pekee wakati watu wana njaan ni ujanja?
Watanzania kama wewe ni mzigo kwa taifa.
Nilizani kaja na wawekezaji kumbe ni sifa tu.
Mnapenda sifa za kijinga saana.
 
Lazima ampongeze kwa kuwapa dhahabu na Kigamboni kwa bei ya nyanya.Labda anamwambia kuna dili jingine.
 
Utakuwa umezaliwa juzi tu wewe....sio gesi ya Oryx ni Gesi ya ya asili huko Mtwara, hadi JWTZ walipelekwa huko, wananchi walitandikwa hasa, watu walikuwa wanalala saa kumi jioni.....watanzania tumeumbwa na usahaulifu!
𝙷𝚊𝚑𝚊𝚑𝚊 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚞𝚜𝚒𝚔𝚞𝚖𝚋𝚞𝚜𝚑𝚎 𝚌𝚘𝚜 𝚔𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍𝚒 𝚑𝚒𝚌𝚑𝚘 𝚗𝚒𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝙼𝚝𝚠𝚊𝚛𝚊 𝚊𝚒𝚜𝚎𝚎𝚎 𝚢𝚊𝚕𝚒𝚙𝚒𝚐𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚋𝚘𝚖𝚞 𝚖𝚊𝚣𝚒𝚝𝚘 𝚊𝚛𝚍𝚑𝚒 𝚢𝚘𝚝𝚎 𝚢𝚊 𝙼𝚝𝚠𝚊𝚛𝚊 𝚒𝚕𝚒𝚝𝚒𝚔𝚒𝚜𝚒𝚔𝚊, 𝙰𝚜𝚞𝚋𝚞𝚑𝚒 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚎𝚖𝚞𝚞𝚕𝚒𝚣𝚊 𝚊𝚗𝚊𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚕𝚒𝚕𝚒𝚙𝚒𝚐𝚠𝚊 𝚔𝚊𝚛𝚒𝚋𝚞 𝚗𝚊 𝚗𝚢𝚞𝚖𝚋𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚔𝚞𝚖𝚋𝚎 𝚠𝚊𝚙 𝚗𝚊𝚜𝚒𝚔𝚒𝚊 𝚢𝚊𝚕𝚎 𝚖𝚊𝚍𝚞𝚍𝚎 𝚢𝚊𝚕𝚒𝚛𝚞𝚜𝚑𝚒𝚠𝚊 𝚋𝚊𝚑𝚊𝚛𝚒𝚗𝚒.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona nchi inavyo chanja mbuga! chadema hawamini macho yao uwezi amini
 
Wanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.
tatizo ni ccm wameshindwa kuongoza nchi tuangalia njia mbadala tusizunguke mbuyu kwa moja wetu wanaweza
 
Kikwete alikuwa binadamu mwenzetu sio kama ile maiti
Soon na wewe utakuwa maiti unafikiri hutakuwa maiti jidanganye maana unajitoa ufahamu ili kujifurahisha lakini kumbuka kama sio wewe ni wazazi wako, watotot wako au mkeo atakuwa maiti soon note my word.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Sidhani hata kama hata unaelewa ulichokiandika. Tatizo lenu kuwa ni Umaskini na Ukosefu wa elimu.[emoji16]
Mimi nakulisha wewe na familia yako na elimu yangu ipo juu sio kama ya baba yako. Una utajiri gani ngiri maji wewe na elimu ipi? Changia acha kubeza usie mjua ninauwezo wa kukumiliki wewe na mkeo na kila mkeo akienda siku zake namnunulia pedi.
 
Wadau wa JF


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani

Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
Huyu ndiye anaongoza nchi kwa sasa,mama ni remoted tu! Wamarekani wameona mbali saaaana! Daaah aliyekuzidi kakuzidi tu;
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Back
Top Bottom