Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Kwani na wewe upoupo tu?Jiue umfuate dikteta
Mtu ashaondoka zake bado anakuhusu nini? Au ndo uchawi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani na wewe upoupo tu?Jiue umfuate dikteta
Yeye ni Rais Mstaafu. Apumzike kwenye nyumba aliyojengewa na Serikali. Uliishasikia Obama anaongea na mabalozi walioko Marekani? Anachofanya ni kutojua maana ya kustaafu. Akajifunze Marekani!Ajabu MATAGA hili litawaudhi
Mkuu ndo tushazaliw tz,punguza majunguHili Taifa ni tabu kama tabu wa kule ichwakima[emoji23][emoji23][emoji23]
Raia hawajui wanachokitaka
Viongozi hawajui wanachokifanya
Upinzani hawajui wanacho kipigania
Taifa la kipumbavu kabisa kwenye uso wa dunia.
Yaaani tupotupoo tu....
Una....... bila hata mafutaHuyu ndo Dalali katika Kuuza nchi hii.
Gesi ya Mtwara imefanyaje?! Au nawe ni wale waliolishwa matango pori na JPM kwamba eti gas imeuzwa, huku wengine wakiwadanganya kwamba imeuzwa kwa Mchina!! Yaani mnashindwa hata kujiuliza how come kampuni za Ulaya zitumie millions of dollars kufanya utafutaji gesi halafu waache gesi waliyogundua auziwe Mchina?! Ina maana unawaona Wazungu wapumbavu watake kuwekeza more than $30 Billion kwa ajili ya kiwanda cha kuchakata gesi pale Lindi wakati gesi yenyewe keshauziwa Mchina?Gesi ya Mtwara
Kwa hiyo magonjwa unasemaje sasa? au nawe ndio wale walio hawajui wawaze nini na lini.Hawa makamanda uchwara hawaeleweki. Walimuita Kikwete rais dhaifu na Vasco da Gama hivi sasa eti wanaanza kumsifia, ha ha ha. CCM itawataleni miaka nenda rudi kwa dizaini hii nyie uchwara wa ufipa.
Kabisa huku bavicha wakisubiri hela zimwagwe mtaani ili wawe wanaokota. Na wanaamini watakaozimwaga ni hao mabeberuAjabu MATAGA hili litawaudhi
Msirudi mara ngapi?Wanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.
Machadema yanakwambia huyo Rais bora kabisa kuwahi kutokea hapa tz!Huyu si ndie aliyeuza gesi huyu [emoji23][emoji23]
Ungezaliwa wakati wa vita Baridi na ungefariki kabla ukuta wa Berlin halijavunjwa. Ila kwa mtu wa sasa lugha ya Mabeberu unakuwa huna akili kama MekoNdo mastermind wa awamu hii .mabeberu karibu muda wao ndo huu
Huyu ndo Dalali katika Kuuza nchi hii.
Kauza gesi kwa nani? Lini?Huyu si ndie aliyeuza gesi huyu 😂😂
Hujui kusoma, au?Kwa hiyo magonjwa unasemaje sasa? au nawe ndio wale walio hawajui wawaze nini na lini.
Utakuwa umezaliwa juzi tu wewe....sio gesi ya Oryx ni Gesi ya ya asili huko Mtwara, hadi JWTZ walipelekwa huko, wananchi walitandikwa hasa, watu walikuwa wanalala saa kumi jioni.....watanzania tumeumbwa na usahaulifu!Kauza gesi kwa nani? Lini?
Ajabu MATAGA hili litawaudhi
kuna watu hapa lazima wanune kwa nini Mh. Kikwete anaongea na mabeberu, afu anaongea kama nani kwanza.Wadau wa JF
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani
Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA
mmeanza!! wana CCM hamna jema kabisa.Mzee wa dili.
Lakini maneno hayo usiongee kwa Doctor Ulimboka hatokuelewa kabisa.Kikwete alikuwa binadamu mwenzetu sio kama ile maiti