Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Kwasasa dunia imekua kijiji...ningumu ujitegemee lazima mtegemeane....mfugaji wakuhama hama yule alitufanya tuonekane vituko sana
Umenikumbusha rafiki yangu mmoja Mboswana aliniambia taabu yenu mlichagua mfuga ng'ombe ndio maana anawatenda atendavyo kwa sababu kwake yeye ninyi ni kama ng'ombe tu.
 
Issue si kutoshirikiana.issue ni he tunarudi kushirikiana Kwa mtindo wa awamu ya nne .kuwa vichwa boga huku resources tunagawa bure. Every one knows hata wewe unajua kuwa ni very sensitive issue ngozi nyeusi kuwa na mutual benefit na mabeberu nao wanalijua. Mwenda zake alilijua ndo maana alegeukwa nao Ila pia na watu kama nyie
Naomba nitofautiane nawe. Resources za nchi hii tunaibiwa kutokana na MIKATABA MIBOVU ambayo sisi wenyew tulisaini hasa katika kipindi cha BWM NA JK. Mmoja wa washauri na mtaalamu wa sheria za madini ni waziri katika serikali ya awamu ya tano na sita, tena ana PHD katika sheria ya Madini.
JPM alilijua hilo na hakutaka kufuta au kubadilisha mikataba hiyo akabaki akilalamika tu kuwa "Tunaibiwa sana" na kuunda tume zisizokuwa na tija yoyote ile. Alimtuma Palamagamba Kabudi apeleke muswada wa sheria bungeni ya "Kulinda raslimali za nchi", lakini cha ajabu ni kuwa sheria hiyo " HAITAHUSISHA MIKATABA ILIYOPITA". Kwa nini hakutaka au kwa nini serikali za CCM huwa hawataki kuifumua mikataba hii dhalimu? Nafikiri jibu liko wazi.
JPM angekuwa mzalendo angefumua mikataba yote ya madini, gesi na makaa ya mawe, angeanzisha soko la madini hapa hapa Tanzania na kikubwa zaidi angetengeneza Sera mpya ya madini ambayo ndiyo ingekuwa dira ya maendeleo ya sekta hiyo kwa faida ya nchi.
" Huwezi ukatatua tatizo kwa kutumia mbinu zile zile ambazo ndiyo zilizosababisha tatizo lililopo" - Albert Einstein
 
Vasco da Gama, bingwa wa kuuza madawa ya kulevya...
IMG-20210606-WA0005.jpg
 
Naomba nitofautiane nawe. Resources za nchi hii tunaibiwa kutokana na MIKATABA MIBOVU ambayo sisi wenyew tulisaini hasa katika kipindi cha BWM NA JK. Mmoja wa washauri na mtaalamu wa sheria za madini ni waziri katika serikali ya awamu ya tano na sita, tena ana PHD katika sheria ya Madini.
JPM alilijua hilo na hakutaka kufuta au kubadilisha mikataba hiyo akabaki akilalamika tu kuwa "Tunaibiwa sana" na kuunda tume zisizokuwa na tija yoyote ile. Alimtuma Palamagamba Kabudi apeleke muswada wa sheria bungeni ya "Kulinda raslimali za nchi", lakini cha ajabu ni kuwa sheria hiyo " HAITAHUSISHA MIKATABA ILIYOPITA". Kwa nini hakutaka au kwa nini serikali za CCM huwa hawataki kuifumua mikataba hii dhalimu? Nafikiri jibu liko wazi.
JPM angekuwa mzalendo angefumua mikataba yote ya madini, gesi na makaa ya mawe, angeanzisha soko la madini hapa hapa Tanzania na kikubwa zaidi angetengeneza Sera mpya ya madini ambayo ndiyo ingekuwa dira ya maendeleo ya sekta hiyo kwa faida ya nchi.
" Huwezi ukatatua tatizo kwa kutumia mbinu zile zile ambazo ndiyo zilizosababisha tatizo lililopo" - Albert Einstein
Nyie si ndio mlisema tutashtakiwa MIGA nyie? Leo mnaongea nini tena?!
 
Nyie si ndio mlisema tutashtakiwa MIGA nyie? Leo mnaongea nini tena?!
Nikukumbushe kuwa MIGA tuliingia wenyewe kwa hiari na JPM hakulirekebisha hilo. Alitunga sheria ya " Arbitration " bila kutoka MIGA kitu ambacho hakina madhara yoyote kwa mwekezaji. Kutopelekwa MIGA ni good will tu kwa upande ule. At the end of the day wao ndiyo walioshika mpini.
 
Ndo mastermind wa awamu hii .mabeberu karibu muda wao ndo huu

Wamarekani wanajua udhaifu wake wa kupenda kubembea na watampata hapo hapo!!! Huyu ni COMPRADOR mkubwa!!!!
Alipokuwa Mwenyekiti wa OAU, Marehemu Robert Mugabe alimpasha kuwa " ALIKUWA MNAFIKI KWANI AKIWA NA WAZUNGU LUGHA YAKE NI TOFAUTI NA PALE ANAPOKUWA NA WAAFRIKA WENZAKE!!"
 
Issue si kutoshirikiana.issue ni he tunarudi kushirikiana Kwa mtindo wa awamu ya nne .kuwa vichwa boga huku resources tunagawa bure. Every one knows hata wewe unajua kuwa ni very sensitive issue ngozi nyeusi kuwa na mutual benefit na mabeberu nao wanalijua. Mwenda zake alilijua ndo maana alegeukwa nao Ila pia na watu kama nyie
Hao “mabeberu” huwa hawatulazimishi kuwagawia bure rasilimali zetu. Ni viongozi wa serikali ya CCM hupenda kuandaa na kusaini mikataba ya kifisadi na “mabeberu”, period. “Beberu” akidai mkataba safi usio na ufisadi ananyimwa fursa na kutangaziwa kila aina ya mipasho.
Wapinzani wakidai mikataba ijadiliwe bungeni wanashambuliwa kwamba hizo ni “siri za nchi”. Kufichua ufisadi ni usaliti kwa taifa; eti unalivua nguo taifa! Ndio sababu hadi leo CHADEMA inatambulika na serikali na manazi wake kama “public enemy number one”. Mwendazake alitaka kuiangamiza na viongozi wake literally.
Huu ujinga wa kudai “mabeberu” wanataka kutuibia ni aibu kubwa sana ya awamu ya 5. Hata corona: eti nayo ni njama za mabeberu kutaka kutuibia rasilimali zetu; wtf! 😡 Hakuna mkoloni anayemshikia bunduki mtu siku hizi. Mnajipeleka wenyewe na propoza zenu za kiwizi halafu mnadai mmebakwa! Mbona nchi makini zinasaini mikataba ya maana sana?
 
Wanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.
It’s true kuna makosa. Kikwete alikuwa na makosa yake na mwenda zake pia tunachokataa ni kutorudia makosa .mama aachwe atakapokosea tutamsema tena kwa sauti kubwaa Nan uzuri ni ana sikiliza sauti zetu .tunahitaji kujiamini na kujisimamia kama nchi .kati ya mambo mazuri mwenda zake tutamkumbuka ni kujiamini . We do not need to bow down to anyone for expense of our natural resources .kuna wajinga wana argue ati wameleta misaada mingi poor people wasijue ndo madhara tuliyoyaona awamu ya Nne ya mkwere. Nchi zetu hizi ukishaona vi meeting meeting mshenzi hivi ujue ndo unaingia 18 za beberu
 
Hao “mabeberu” huwa hawatulazimishi kuwagawia bure rasilimali zetu. Ni viongozi wa serikali ya CCM hupenda kuandaa na kusaini mikataba ya kifisadi na “mabeberu”, period. “Beberu” akidai mkataba safi usio na ufisadi ananyimwa fursa na kutangaziwa kila aina ya mipasho.
Wapinzani wakidai mikataba ijadiliwe bungeni wanashambuliwa kwamba hizo ni “siri za nchi”. Kufichua ufisadi ni usaliti kwa taifa; eti unalivua nguo taifa! Ndio sababu hadi leo CHADEMA inatambulika na serikali na manazi wake kama “public enemy number one”. Mwendazake alitaka kuiangamiza na viongozi wake literally.
Huu ujinga wa kudai “mabeberu” wanataka kutuibia ni aibu kubwa sana ya awamu ya 5. Hata corona: eti nayo ni njama za mabeberu kutaka kutuibia rasilimali zetu; wtf! 😡 Hakuna mkoloni anayemshikia bunduki mtu siku hizi. Mnajipeleka wenyewe na propoza zenu za kiwizi halafu mnadai mmebakwa! Mbona nchi makini zinasaini mikataba ya maana sana?
We don’t care awe CCM am all nani .issue hatutaki ku squander mali zetu anymore .tunahitaji yoyote aliye Safi .tunasubiri hao ccm awtuletee ngonjera za awamu ya nne
 
Back
Top Bottom