Nawao mbea wataanzisha cha kwao baadae wataenda kufungua campus yao Dar es salaam.Badala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Miji inakua, lakini siyo kweli kuwa chuo lazima kiwe katika eno moja contiguous. Likipatikana eneo hilo, basi itakuwa ni jambo zuri, lakini siyo kunyang'aya raia maeneo yao ili kupata eneo contiguous kwa ajili ya chuo miaka 50 ijayo. wakitaka eneo kubwa namna hiyo, wasijenge mjini; Nyerere alijenga UDSM nje kabisa ya mji na kutoa eneo kubwa ililo nalo leo, hakuomba eneo kubwa pale Lumumba kilipokuwa.watu wanaongezeka,miji inakua,teknologia na mahitaji yanatanuka ndio maana wanaforecast long term plan unafikiri mbeya baada ya miaka 20 au 30 itakua hivyohivyo
Tafiti zinahitaji pesa/budget.Naunga mkono, na mpaka sasa huwa najiuliza watu walioplan ardhi ya UDSM main compus,maana nipakubwa mpaka Leo hapajajaa..safi sana.
Sema elimu yetu ya hovyo sana michepuo yetu bado ileile. Tuwekeze zaidi kwenye sayansi na tafiti za kutosha hasa katika kilimo na teknolojia..
Tatizo wengi wanatembea vichwani mwao na sababu za kukariri, hawajui hivyo tunavyoviona leo vilijengwa wakati population ya eneo husika ilikuwa ndogo, sasa hivi miji imekuwa na idadi ya watu imeongezeka.Point nzuri sana; siyo lazima chuo kiwe katika eneo moja tu lililoshikana (contiguous). Madarasa, maabala, maktaba na ofisi vinaweza kuwa sehemu moja, mabweni eneo jingine na vile vile nyumba za waalimu na wafanyakazi zikwa sehemu nyingine tofauti. In fact, mazingira mazuri ya waalimu siyo kuwaweka waishi sehemu moja kama vile wanaishi kwota.
Inaitwa groomingBadala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tawire
chuo sio lazima kijengwa katikati ya mji wanawezakutafuta eneo nje kabisa ya mji ambapo hakuna makazi wakajena pia hii husaidia kitanua miji mfano UDOM wakati wanatega lile eneo kulikua ni porini vibaya mpaka watu wakashangaa lakini saivi kule kumekua mjini huduma zimesogeaMiji inakua, lakini siyo kweli kuwa chuo lazima kiwe katika eno moja contiguous. Likipatikana eneo hilo, basi itakuwa ni jambo zuri, lakini siyo kunyang'aya raia maeneo yao ili kupata eneo contiguous kwa ajili ya chuo miaka 50 ijayo.
Waje Mtwara niwauzie viwanja vya ukooMuhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.
Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.
Kuwa na makazi pekee hakutoshi kufanya eneo lionekane halina mwenyewe, yapo mashamba yenye wenyewe huko porini, na mpaka Kikwete anaambiwa chuo kimeshindwa kupata eneo la ukubwa analotaka maana yake kuna sababu, na sababu mojawapo kubwa ni hiyo, maeneo mengi tayari yako occupied sio mapori tu yasiyo na wenyewe au pasipo na makazi ya watu, ndio maana nawaambia wakiendelea kulazimisha wawe tayari kulipa fidia.chuo sio lazima kijengwa katikati ya mji wanawezakutafuta eneo nje kabisa ya mji ambapo hakuna makazi wakajena pia hii husaidia kitanua miji mfano UDOM wakati wanatega lile eneo kulikua ni porini vibaya mpaka watu wakashangaa lakini saivi kule kumekua mjini huduma zimesogea
J.Kikwete ni visionary sana
Eneo la Tanganyika parkers lipo kubwa tu zaidi ya eka 3000 kwa Nini wasigawe. Halafu liko Mjini kabisaaaMuhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.
Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.
Siyajui maeneo ya Kampasi, lkn kwa vyovyote vile eneo kubwa ni muhimu sana kwa higher learning Institutions zenye hadhi kama UDSM. Let us make a comparison with some USA universities.Muhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.
Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.
Elimu ni gharama na uwekezaji suala la kufidia ni sehemu ya uwekezaji bro mbona ni simple logic, ninavyojua miradi karibu yote serikali inapotaka kuwekeza huwa wanalipa fidiaKuwa na makazi pekee hakutoshi kufanya eneo lionekane halina mwenyewe, yapo mashamba yenye wenyewe huko porini, na mpaka Kikwete anaambiwa chuo kimeshindwa kupata eneo la ukubwa analotaka maana yake kuna sababu, na sababu mojawapo kubwa ni hiyo, maeneo mengi tayari yako occupied sio mapori tu yasiyo na wenyewe au pasipo na makazi ya watu, ndio maana nawaambia wakiendelea kulazimisha wawe tayari kulipa fidia.
Umeskia wapi?Hivi kwa nini wanaendelea kukipanua hiki chuo wakati wameshindwa hata ku manage na kutoa huduma bora kwa wanafunzi walionao. Kwa nini wasianzishe vyuo vipya vinavyojitegemea?
Nasikia ni mwezi sasa toka chuo kimefunguliwa ila mitandao yao ya usajili uko hovyo, wanafunzi wanasoma bila usajili.
Kikwete kapiga bull.Rais wa awamu ya nne, Dk Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) amekataa kupokea ekari 50 ambazo Serikali ya Mkoa wa Mbeya imezitoa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Chuo Kikuu cha Dar es Saalam kampasi ya Mbeya na kutaka wapewe eneo lenye ukubwa wa ekari 500 au 1,000.
Kikwete amesema kama mkoa huo hautawapa eneo wanalolihitaji watahamishia chuo hicho katika mkoa mwingine ambao utakuwa tayari kuwapa ardhi yenye ukubwa wanaouhitaji.
Kauli hiyo ameitoa leo Jumamosi, Novemba 27,2021 wakati wa mahafali ya 51 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Ndaki ya Afya na Sayansi Shirikishi kampasi ya Mbeya yaliyofanyika jijini hapa.
Kikwete amesema hawawezi kukubali kupokea ekari 50 walizopewa kwakuwa chuo hicho kina hadhi kubwa hivyo wanahitaji ekari 500 hadi 1000 kwa ajili ya kujenga hosteli, makazi ya wahadhiri, wafanyakazi na hospitali.
Kauli hiyo ameitoa baada ya hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho, Mwanaidi Mtanda kusema kuwa ukosefu wa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ni miongoni mwa changamoto zinazowakabili licha ya kuwasilisha maombi yao kwa Serikali ya mkoa tangu mwaka jana.
"Ingawa simuoni hapa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (Juma Homera) lakini naamini viongozi wa Mkoa watamfikishia ujumbe, tunaomba kiwanja tujenge chuo cha kisasa na hili lipewe kipaumbele" amesema Mwanaidi.
Mara baada ya hotuba hiyo, Kikwete amesema hawawezi kukubali kupokea ekari 50 walizopewa kwakuwa hazikidhi mahitaji yao
"Hii siyo sekondari kupewa ekari 50, tunataka eneo kubwa la ekari 500 hadi 1000 tenga hata kule Forest, mkishindwa tunahamia mkoa mwingine utakaoweza kutoa eneo kubwa, huu ni ujumbe kwa nyie viongozi" amesema Kikwete.
Sababu nchi hii kila kitu lazima atafutwe wa kulaumiwaMnafanya siasa, Mbeya University of Science and Technology (MUST) imejengwa kule Iyunga na Sistila na wakapewa eneo kubwa tu na watu wakalipwa fidia. Halafu eneo ambao wanalopewa siyo eneo ambalo linakaliwa na watu, ni eneo ambalo litakuwa wazi tena ardhi yake haiko chini ya Granted Right of Occupancy. Kwanini mnahisi kwamba kila kitu anachofanya Mzee Kikwete ni dhulma tu ???
Mkuu kaongea vizuri kama Mbeya hawana ardhi ya kutosha ekari 500 basi hilo tawi la UDSM litaenda kuanzishwa mikoa mingine kama Rukwa, Katavi na kwingineko kwenye mapori meengii tuu yasiyo na mwenyewe.Muhimu wasilazimishe kutafuta hizo hekari 500 kwa kuwapora wanyonge ardhi yao, wakitaka kuzipata wawe tayari kuwalipa fidia wote watakaoathirika na hili wazo la Kikwete.
Sioni sababu kwanini wasijenge vitu vichache vya msingi kwa eneo lililopo, hizo nyumba za wahadhiri, hosteli, na hospitali vinaweza kuwa sehemu nyingine bora pasiwe mbali sana na chuo, kuliko kulazimisha vyote viwe pamoja kama chuo kimekuwa mbuga ya wanyama.