Au chuo cha Uyole, wana ekari zaidi ya elfu tatu na wapo mjini kabisa. Pale ndiyo eneo zuri kabisa. Watoe ekari 500 UD wajenge chuo.Eneo la Tanganyika parkers lipo kubwa tu zaidi ya eka 3000 kwa Nini wasigawe. Halafu liko Mjini kabisaaa
Siyajui maeneo ya Kampasi, lkn kwa vyovyote vile eneo kubwa ni muhimu sana kwa higher learning Institutions zenye hadhi kama UDSM. Let us make a comparison with some USA universities.
1. Berry College
With 27,000 acres (110 km2),
2. United States Air Force Academy
This College has approximately 18,455 acres which makes it the 2nd largest campus in the USA
3. US Military Academy
The area of this largest campus is approximately 16,080 acres. This biggest academy has taken 3rd position by the site in the USA.
4. University of the South
With the 13,000 acres, the campus has taken 4th place by area in the USA.
Pennsylvania State University
The region of this University campus is approximately 8,556 acres
6. Stanford University
It has the largest university campus in America, which contains 8180 acres
7. Liberty University
The University area has to take 7,000+ acres which reach the 7th position by area in the USA.
8. Michigan State University
With the 5,239 acres, the campus has taken8th place by area in the USA.
9. Texas A&M University
With the 5,115 acres, the largest university campus has taken 9th position by area in the United States and the biggest university in Texas.
10. Tuskegee University
It has another largest university campus in America, which contains 5,000 acres.
11. University of Minnesota
With the 2730 acres, the campus has taken 11th place by area in the USA.
12. Ohio University
The University area has to contain 1764+ acres, taking the 12th position by area in the USA.
Eneo kubwa ni muhimu.....
Ndio prezoo hujui?Na yeye ameanza kuvimba
Labda waliahidiwa eneo, halafu leo wanaambiwa wanapewa 50acres. Maan vyuo vingi vimepewa maeneo Mbeya. Mzumbe na CBE wote wamepewa eneo.Nina swali fikirishi je hicho chuo ni kwamba kilianzishwa bila kuwa na 'plan' ?
Maana kama plan ilikuepo why wategemee sandakalawe ya kipande cha ardhi kama ujenzi ulikuwa planned?
Mkuu, yaani unaizungumzia CBE mbele ya UDSM?Labda waliahidiwa eneo, halafu leo wanaambiwa wanapewa 50acres. Maan vyuo vingi vimepewa maeneo Mbeya. Mzumbe na CBE wote wamepewa eneo.
Yoda acha siasa kwenye maswala ya Elimu tafadhali.Vyuo vingine vikubwa duniani kama Havard huwa vinakuwa na branches nyingi nyingi katika nchi zao?
Business orientedKama wanavyo tayari kwa nini UDSM inaenda kufungua tawi huko? Hizo pesa kwa nini wasizitumie kuboresha miondombinu na kutoa scholarships za chuo????
Naunga mkono hoja ya Jakaya Kikwete mbeya wakipata campus ya udsm mkoa utaendelea sana kijamii na kiuchumi...kuna chuo kikuu tayari.
..lakini watakuwa mabwege wakiichezea fursa hii iliyowaangukia.
..kuna mikoa na maeneo mengi hapa Tz yanamezea mate fursa ambayo Mbeya wameipata.
"Hii siyo sekondari kupewa ekari 50, tunataka eneo kubwa la ekari 500 hadi 1000 tenga hata kule Forest, mkishindwa tunahamia mkoa mwingine utakaoweza kutoa eneo kubwa, huu ni ujumbe kwa nyie viongozi" amesema Kikwete.
Kwaiyo Mzumbe kuwa na tawi Mbeya haina shida, ila UDSM ndio sio sawa ?Mbeya tayari kuna vyuo vya serikali vya MUST na Mzumbe kwa nini visipanuliwe hivyo na viwe vikubwa kama UDSM badala ya kuendelea kuhamishia matawi ya vyuo vingine huko?
Nimewaza hivyo pia mie.Badala ya kujenga UDSM kampasi ya Mbeya kwa nini kisijengwe chuo kikuu cha Mbeya?
Kwa nini Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mkoa wa Mbeya?
Mie sipendi yaan khaaahNajiuliza kwa nini wasijenge chuo kikuu kingine kijitegemee kiitwe Mbeya University. Kaka wanataka kukifanya Udsm kuwa chuo cha mikoa yote basi wabadili jina waite Tanzania University ili wajenge campus kila mkoa kuliko jina la mkoa mmoja kuingia mkoa mwingine.
Nadhani una kitu "personal" na UDSM.Kwa nini Muhimbili ambao wamebobea kwenye udaktari wasiende kufungua tawi huko huko badala UDSM?