Rais Mstaafu Jakaya Kikwete amlilia Bernard Membe

Tunashukuru Mungu anazidi kutuliza bahari kunatatizo limeondoka tyr
 
Nimependa vile umeandika. Hakuna aijuaye siku yake ya kutwaliwa. Kuna kipindi walisema Lowasa Hana muda afe lakini bado anadunda na majira yake yakifika atatwaliwa katika Dunia hii.
 
"Familia zetu, na mapito ya maisha yetu yamehusiana sana"

MAPITO ya MAISHA yamehusiana sana. Mimi bwana mahusiano na mapito na Marehemu nayasema past tense or past perfect na sio present CONTINUES tense.....)
Umekurupuka mkuu...
 
Duh.
 
Sure lango la kuzimu limeshafunua domu liwale na wao pia
 
Hata siku aliyokufa Magufuli aliandika hivi kweli?
Wasukuma na msemo wetu; 'Yachimaga nkundi'.
 
Amina. Apumzike kwa amani
 
amekufa tu.sasa hivi nae ni mwendazake .kibaya zaidi hajatubu,kafa na chuki zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…